Shabani Kaoneka: Nilitumiwa milioni moja na mtu nisiyemjua

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
14,303
29,874
Mwanamasumbwi aliyewahi kuzichapa na Mandoga na kuibuka na ushindi mzito SHABANI Kaoneka amerekodiwa akiwa Katika mahojiano na clouds TV ambapo amesema Kuna siku alikuwa kachoka Hana hata dinali ya kununua kitunguu huku boss mwenye nyumba akihitaji pesa yake ya kodi ambapo amesema baada ya hapo Kuna kijana alimpigia simu akiwa live kwenye mahojiano akasema anamtumia million moja alipotuma akapotea, yaani anapiga simu inasema namba unayopiga haipo na huyo mtu hakupiga simu tena mpaka Leo na hajui ni nani aliyetuma.

1674043520608.jpg
 
Mwanamasumbwi aliyewahi kuzichapa na mandoga nakuibuka na ushindi mzito SHABANI kaoneka amerekodiwa akiwa Katika mahojiano na clouds TV ambapo amesema Kuna siku alikuwa kachoka Hana hata dinali ya kununua kitunguu huku boss mwenye nyumba akihitaji pesa yake ya kodi ambapo amesema baada ya hapo Kuna kijana alimpigia simu akiwa live kwenye mahojiano akasema anamtumia million moja alipotuma akapotea, yani anapiga simu inasema namba unayopiga haipo na huyo mtu hakupiga simu tena mpaka Leo na hajui ni nani aliyetuma. View attachment 2486248
Anataka irudisha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom