Dr. Zaganza,
..bidhaa zinazoharibika kwa mfano matunda, na mbogamboga, ni rahisi zaidi kuzisafirisha kwa malori toka shambani mpaka sokoni, au kiwandani.
..Sgr inafaa zaidi kusafirisha mitambo, na bidhaa ambazo haziharibiki. Kwa mfano sementi, nondo, mashine kubwa, magari, etc ni baadhi ya bidhaa ambazo zinafaa kusafirishwa kutumia reli.