Yaani yajayo yanasikitisha.Hali si shwari
Naona 9 nchi hiyo mkuu.. wakati yangu ni 7 inche nipate aliyezoea hiyo kitu.. yaani nakuwa kibamia wa nchi mbiliHabari zenu jamani, nimeumizwa sana na hii biashara ya sex toys yaani midoli ya kufanyia mapenzi, ni hatari kwa sababu itatengeneza kizazi cha watu wasiotoshelezwa na waume zao,
Nimewaza kama mtoto wa shule akianza kutumia sex toys mpaka atakapokuwa mkubwa na kuolewa atakuwa amekubuhu hivyo hawezi kutoshelezwa na mumewe ni lazima apate lile toy, na pia sehemu zake za uk...... Zitakuwa ni kubwa sana kulingana na toy analotumia.
Jambo hili limeanzia America na sasa limeingi Tz, naomba wanawake tuamke sio slama haya matoy, na hata wenye watoto wakike muwaelimishe kabla mambo hayaja haribika.
Jamani mi nimemaliza.
View attachment 827655
hahaaaa mpaka anal plug na vibrator" wameninyoosha aiseeHabari zenu jamani, nimeumizwa sana na hii biashara ya sex toys yaani midoli ya kufanyia mapenzi, ni hatari kwa sababu itatengeneza kizazi cha watu wasiotoshelezwa na waume zao,
Nimewaza kama mtoto wa shule akianza kutumia sex toys mpaka atakapokuwa mkubwa na kuolewa atakuwa amekubuhu hivyo hawezi kutoshelezwa na mumewe ni lazima apate lile toy, na pia sehemu zake za uk...... Zitakuwa ni kubwa sana kulingana na toy analotumia.
Jambo hili limeanzia America na sasa limeingi Tz, naomba wanawake tuamke sio slama haya matoy, na hata wenye watoto wakike muwaelimishe kabla mambo hayaja haribika.
Jamani mi nimemaliza.
View attachment 827655
Tunaonewa sanaHalafu baadaye wanaanza kusingizia wanaume wanavibamia....
Yaani huu mguuu wa mtoto nilio nao haukutoshi?Wapi zinauzwa jamani.
Ndugu urejee instagram kwa waoongoza kupost mambo ya kimbeaMleta mada nae Popoma tu, ulikuwa na haja gani ya kuleta taarifa halafu ukaficha majina ya wahusika ikiwa una nia ya kuibua uhalifu?
Basi akili mbovu na kushauriana ujinga, hivi nikikuuliza "ile kitu" original inambadala kweli Hajar?Yaani yajayo yanasikitisha.
Nimechoka kuna mtu kasema eti wanaazimishana. Duuh.
Mdomo wangu umebaki waziDuuh! Kazi ipo aiseeee.
Haijawahi kuwa na mbadala Sesten sababu pale Uwanjani mkiwa wawili ndio mechi inachezwa ipasavyo.Basi akili mbovu na kushauriana ujinga, hivi nikikuuliza "ile kitu" original inambadala kweli Hajar?
Ufunge tu Sesten sababu ndio hali iliyopo sasa.Mdomo wangu umebaki wazi
Ni kama kujitekenya mwenyewe hata ukicheka inakua unajifanyisha tu lakini sio kama umetekenyeka kiukweliHaijawahi kuwa na mbadala Sesten sababu pale Uwanjani mkiwa wawili ndio mechi inachezwa ipasavyo.
Sasa mambo ya kulia na kujibembeleza mwenyewe. Duuuh. Hapana kwa kweli.
Hahahaaa. Umeonaeeee.Ni kama kujitekenya mwenyewe hata ukicheka inakua unajifanyisha tu lakini sio kama umetekenyeka kiukweli
Sasa anaonya watumiaji alafu anaficha muuzaji...yale yale ya mvuvi wa samaki ambao hawastahili na muuzaji wa nyavu zisizoruhusiwa.....naona kama amepromote hapa badala ya kusaidia.Ungeacha wazi hilo jina la hilo duka ili serikali ijue inaanzia wapi maana hadi bidhaa inafika hapo wakulaum ni mamlaka husika inayoshughulika na mambo hayo