Habarini za mida kama hii...naombeni msaada wenu nilihamisha dish langu LA azam kutoka eneo moja kwenda lingine ..hivyo nimelipandisha juu LiMeleta signal ila Chanel zilizokuja sizo zilizokuwepo...Na hazionyeshi..mnisaidie watu wangu Wa Nguvu.
Habarini za mida kama hii...naombeni msaada wenu nilihamisha dish langu LA azam kutoka eneo moja kwenda lingine ..hivyo nimelipandisha juu LiMeleta signal ila Chanel zilizokuja sizo zilizokuwepo...Na hazionyeshi..mnisaidie watu wangu Wa Nguvu.