Sio lazima upate zinazotumia solar tu, unaweza nunua zinatumia umeme wa kawaida yaani ac, kisha ukanunua vifaa vyako vya solar na ukanunua inverter ambayo hubalisha umeme wa solar kuwa wa kawaida yaani ac, na shughul zako zikaendelea kama kawaida, kwa msaada zaidi ni pm.