Na bado wanataka kuendelea kuitawala nchi, miaka 53 mmeshindwa kuleta mabadiliko hata mkipewa 100 bado ni hadithi tupu, jamani wapisheni na wengine nao tuone mabadiliko yao!:A S cry::A S cry: Inaumiza sana maana wao wanaishi mijini adha ya barabara mbovu twaipata sie wananchi hasa wa kipato kidogo. CCM yatosha sasa.