HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,109
- 1,432
...taarifa ya kijinga sana hii....na inadhihirisha jinsi wizara yenyewe inavyofanya kazi kimagumashi.....Nawataka wizara hii wanijibu swali moja tu....alafu mengine yote yatakuwa yamejibiwa.....wizara iwaambie watanzania...je kila safari moja ya JK inagharimu kiasi gani???....namaanisha kila safari katika mabara yoote aliyosafiri kwa miaka 10...watuambie gharama za safari.....alafu sisi tutadadavua jumla ya gharama....maana safari zake tuna takwimu zake humu.....wizara waache magumashi.....watupe gharama za kila safari(maana wanajua).....na kama wanawajali kweli watanzania basi pia waseme faida (kimapato)kwa nchi kutokana na safari hizi...
....Nilitegemea wizara wangekuja na mchanganuo wa gharama za kila safari za JK vs faida zake (mapato kwa nchi)....vinginevyo hadithi zote ni blah blah tu...tumewazoea....
Ndugu yangu Nderingosha,hawawezi na hawathubutu kuweka facts hizo humu.Usisahau kwa halisi ilivyo nchini,hakuna wizara wala idara iliyo salama kimaadili.