Serikali yapoteza State attorneys kila mwaka

Mwana wa Mungu

JF-Expert Member
Aug 14, 2008
1,003
85
Nimelazimika kuandika suala hili, naweza kusema mimi mdau wa tasnia ya sheria, mwenyezi Mungu amenisaidia nimezunguka maeneo mengi duniani kikazi nikilitumikia taifa, na nimewiwa kutoa maoni yafuatayo kwa serikali iyaangalie kwa makini.

Suala lenyewe linahusu watu wanaoitwa STATE ATTORNEYS au kwa kiswahili, MAWAKILI WA SERIKALI. hawa ni watu walioko chini ya mwanasheria mkuu wa serikali pamoja na mkurugenzi wa mashitaka, ni wadogo zangu, wengine wake zetu. actually kwenye familia yetu tunao wawili. lakini maisha yao hayabadiliki, ni magumu kusema kweli. hivi serikali yao huwa haiwaangalii hawa watu, nimetembea nchi nyingi, kada hii haifanani kabisa na kada zilizoko nchi za wenzetu ambazo ziko kama wao.

1. WAKILI wa serikali ni mtu ambaye ana risky nyingi sana, ni prosecutor wa kesi kubwa za ajabu, lakini analipwa hela kidogo sana.

2. Inakuwaje wakili anayelipwa hela kidogo sana, ukampa aendeshe kesi ya bilioni moja, mbili au hata milioni mia. hawezi kuwa compromised kweli? wakili analipwa hela kidogo, mshitakiwa anaweza kumpa hela inayotosha mafao yake akistaafu, kwanini asile rushwa?

3. Wakili anaishi nyumba mbovu, amezungukwa na washitakiwa, washitakiwa ndio majirani zake, kwanini asishirikiane nao, no wonder anaweza hata kuamua kuwa rafiki wa watenda makosa na kutengeneza network kwasababu analipwa kidogo, anaishi maisha risky mtaa wa wahalifu kwasababu huko ndiko ana afford kulipa kodi na halipwi risky allowances.

4. Wakili hana usafiri, anapewa lift na washitakiwa.

HII NI OFISI PEKEE AMBAYO HAINA MAJENGO YAKE BINAFSI ZAIDI YA JENGO MOJA TU la makao makuu. hivi viongozi haina?

5. Wakili hana hela kuendesha familia, lakini amezungukwa na washitakiwa wanaoweza kumlipia ada ya watoto wake hadi wanamaliza, atashindwaje kuharibu kesi?

6. Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali ni ngumu kufanya kazi na haina msemaji. ni ofisi ya aibu sana kwasababu majengo karibia yote nchini wamepanga, wakati PCCB wamejenga majengo yao karibia kila mkoa. wakati huohuo upo ushahidi kuonyesha kwamba kila mkoa kuna kiwanja ambacho ofisi hii imepewa ili kujenga jengo, sasa angalia hiyo kodi wanayolipa kwa mwezi ni shilingi ngapi ambayo ingewashinda kujenga majengo yao, na ni kwanini wanapenda kupanga tu, huko kupanga kunamfaidisha nani na kunamwathiri nani? je kunamwathiri mtu binafsi au wafanyakazi? ofisi haina marupurupi hivi mnafikiri watu wataendelea kufanya kazi ofisini kwenu kweli, hivi kuna mtu anasoma ili ateseke?

7. Hii ni ofisi ambayo imeshikilia mambo mazito sana yanayoisaidia serikali lakini serikali haiijali hii ofisi. hii ni ofisi inayoishauri serikali mambo ya msingi, hii ndio ofisi inayoshitaki wauaji, majambazi, na wahalifu wote ili raia mkae kwa amani. hii ni ofisi ambayo inatoa ushauri na kusaidia wananchi bure, ni ofisi ya wananchi, lakini serikali haiwathamini kabisa. hivi ni kwanini?

Matokeo yake, kinachoendelea kwa mawakili wa serikali ni kwamba, watu wanakimbia kada. anakaa kidogo akishaona hapafai, anapiga hela za rushwa, halafu ana lala mbele anaenda kuwa mwanasheria wa kujitegemea. mtu kama huyo serikali inakuwa imeshampatia mafunzo mengi/training nyingi sana kwa garama ya serikali, lakini hata kabla hajainufaisha serikali kwa kile alichokisomea, ameona hakuna faida kuwa wakili wa serikali na anaondoka kwenda kuwa mtetezi wa washitakiwa wanaoshitakiwa na serikali. na zaidi ya wengi wanaoondoka, ni wale ambao wamefikia level ya senior, kwa hiyo waliobaki ni wale ambao ni junior tu ambao hawana uwezo mzuri kuendesha kesi na kutetea serikali, matokeo yake serikali inazidi kushindwa kesi kwasababu waliopo ni majunior tu hawana experience, wenye experience wameondoka kukimbia ofisi...na hao majunior wakipata experience na kuwa seniors basi wanaondoka kukimbia kada. hivyo tusishangae kwanini serikali inashindwa kesi kila siku, ni kwasababu waendesha mashitaka waliopo ni juniors , seniors wameondoka wamekimbia ofisi.

Binafsi nawaonea huruma hawa wadogo zangu, wanafanya kazi katika mazingira magumu sana. ninakuomba MAGUFULI, angalia kwa jicho la huruma kwa hii ofisi, kwasababu hawa wakiamua kuharibu kesi serikali isishinde, majambazi wote wataachiwa huru bila kufungwa, hao unaowakamata wala rushwa wataachiwa bila kufungwa, watarudi kwa wananchi na wananchi wataishi bila amani kabisa. hao vibaka watarudi mtaani, hao wabakaji watarudi mtaani, hapo ndipo mtaona ni ya muhimu. angalia mshahara wao, angalia kama kuna allowance zozote, angalia wanakoishi, angalia risky allowance zile unazowapa polisi kwanini hawa hauwapatii wakati nao wako kwenye risky sana? au unataka waharibu kesi ili usipate sifa? na mwanasheria mkuu wa serikali huwa hawaongelei kabisa kuwatetea hawa watu, wakati jaji mkuu anawatetea sana mahakama na mahakama maisha yao yamerahisishwa sana, kwanini mwanasheria mkuu wa serikali hapiganii maslahi ya watu wake? ni kwanini? basi wataondoka wote ili muendelee kuwa na wafanyakazi wasio na uzoefu, nao wakipata uzoefu wakimbie muendelee kupata kazi ya kuwatrain wapya ili nao waje kukimbia badae. kwaheri, hayo ni yangu ya moyoni.
 
Last edited by a moderator:
nimelazimika kuandika suala hili, naweza kusema mimi mdau wa tasnia ya sheria, mwenyezi Mungu amenisaidia nimezunguka maeneo mengi duniani kikazi nikilitumikia taifa, na nimewiwa kutoa maoni yafuatayo kwa serikali iyaangalie kwa makini.

suala lenyewe linahusu watu wanaoitwa STATE ATTORNEYS au kwa kiswahili, MAWAKILI WA SERIKALI. hawa ni watu walioko chini ya mwanasheria mkuu wa serikali pamoja na mkurugenzi wa mashitaka, ni wadogo zangu, wengine wake zetu. actually kwenye familia yetu tunao wawili. lakini maisha yao hayabadiliki, ni magumu kusema kweli. hivi serikali yao huwa haiwaangalii hawa watu, nimetembea nchi nyingi, kada hii haifanani kabisa na kada zilizoko nchi za wenzetu ambazo ziko kama wao.

1. WAKILI wa serikali ni mtu ambaye ana risky nyingi sana, ni prosecutor wa kesi kubwa za ajabu, lakini analipwa hela kidogo sana.

2. inakuwaje wakili anayelipwa hela kidogo sana, ukampa aendeshe kesi ya bilioni moja, mbili au hata milioni mia. hawezi kuwa compromised kweli? wakili analipwa hela kidogo, mshitakiwa anaweza kumpa hela inayotosha mafao yake akistaafu, kwanini asile rushwa?

3. wakili anaishi nyumba mbovu, amezungukwa na washitakiwa, washitakiwa ndio majirani zake, kwanini asishirikiane nao, no wonder anaweza hata kuamua kuwa rafiki wa watenda makosa na kutengeneza network kwasababu analipwa kidogo, anaishi maisha risky mtaa wa wahalifu kwasababu huko ndiko ana afford kulipa kodi na halipwi risky allowances.

4. wakili hana usafiri, anapewa lift na washitakiwa.

HII NI OFISI PEKEE AMBAYO HAINA MAJENGO YAKE BINAFSI ZAIDI YA JENGO MOJA TU la makao makuu. hivi viongozi haina?

5. wakili hana hela kuendesha familia, lakini amezungukwa na washitakiwa wanaoweza kumlipia ada ya watoto wake hadi wanamaliza, atashindwaje kuharibu kesi?

6. ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali ni ngumu kufanya kazi na haina msemaji. ni ofisi ya aibu sana kwasababu majengo karibia yote nchini wamepanga, wakati PCCB wamejenga majengo yao karibia kila mkoa. wakati huohuo upo ushahidi kuonyesha kwamba kila mkoa kuna kiwanja ambacho ofisi hii imepewa ili kujenga jengo, sasa angalia hiyo kodi wanayolipa kwa mwezi ni shilingi ngapi ambayo ingewashinda kujenga majengo yao, na ni kwanini wanapenda kupanga tu, huko kupanga kunamfaidisha nani na kunamwathiri nani? je kunamwathiri mtu binafsi au wafanyakazi? ofisi haina marupurupi hivi mnafikiri watu wataendelea kufanya kazi ofisini kwenu kweli, hivi kuna mtu anasoma ili ateseke?

7. hii ni ofisi ambayo imeshikilia mambo mazito sana yanayoisaidia serikali lakini serikali haiijali hii ofisi. hii ni ofisi inayoishauri serikali mambo ya msingi, hii ndio ofisi inayoshitaki wauaji, majambazi, na wahalifu wote ili raia mkae kwa amani. hii ni ofisi ambayo inatoa ushauri na kusaidia wananchi bure, ni ofisi ya wananchi, lakini serikali haiwathamini kabisa. hivi ni kwanini?

matokeo yake, kinachoendelea kwa mawakili wa serikali ni kwamba, watu wanakimbia kada. anakaa kidogo akishaona hapafai, anapiga hela za rushwa, halafu ana lala mbele anaenda kuwa mwanasheria wa kujitegemea. mtu kama huyo serikali inakuwa imeshampatia mafunzo mengi/training nyingi sana kwa garama ya serikali, lakini hata kabla hajainufaisha serikali kwa kile alichokisomea, ameona hakuna faida kuwa wakili wa serikali na anaondoka kwenda kuwa mtetezi wa washitakiwa wanaoshitakiwa na serikali. na zaidi ya wengi wanaoondoka, ni wale ambao wamefikia level ya senior, kwa hiyo waliobaki ni wale ambao ni junior tu ambao hawana uwezo mzuri kuendesha kesi na kutetea serikali, matokeo yake serikali inazidi kushindwa kesi kwasababu waliopo ni majunior tu hawana experience, wenye experience wameondoka kukimbia ofisi...na hao majunior wakipata experience na kuwa seniors basi wanaondoka kukimbia kada. hivyo tusishangae kwanini serikali inashindwa kesi kila siku, ni kwasababu waendesha mashitaka waliopo ni juniors , seniors wameondoka wamekimbia ofisi.

binafsi nawaonea huruma hawa wadogo zangu, wanafanya kazi katika mazingira magumu sana. ninakuomba MAGUFULI, angalia kwa jicho la huruma kwa hii ofisi, kwasababu hawa wakiamua kuharibu kesi serikali isishinde, majambazi wote wataachiwa huru bila kufungwa, hao unaowakamata wala rushwa wataachiwa bila kufungwa, watarudi kwa wananchi na wananchi wataishi bila amani kabisa. hao vibaka watarudi mtaani, hao wabakaji watarudi mtaani, hapo ndipo mtaona ni ya muhimu. angalia mshahara wao, angalia kama kuna allowance zozote, angalia wanakoishi, angalia risky allowance zile unazowapa polisi kwanini hawa hauwapatii wakati nao wako kwenye risky sana? au unataka waharibu kesi ili usipate sifa? na mwanasheria mkuu wa serikali huwa hawaongelei kabisa kuwatetea hawa watu, wakati jaji mkuu anawatetea sana mahakama na mahakama maisha yao yamerahisishwa sana, kwanini mwanasheria mkuu wa serikali hapiganii maslahi ya watu wake? ni kwanini? basi wataondoka wote ili muendelee kuwa na wafanyakazi wasio na uzoefu, nao wakipata uzoefu wakimbie muendelee kupata kazi ya kuwatrain wapya ili nao waje kukimbia badae. kwaheri, hayo ni yangu ya moyoni.


Ok, nina swali dogo, "hawa wadogo zako mawakili na walimu au madaktari, ni wepi wanastahili kuboreshewa maslahi?" Unapotanguliza maslahi mbele hata ulipwe budget nzima ya nchi peke yako, utakula tu rushwa! Weka uzalendo mbele, achana na maslahi! Pia swala la kulinganisha mawakili wa nje na wabongo, unakosea kidogo Mh, maana level ya uchumi ni tofauti Mh!

Waambie wadogo zako wajitahidi inapokuja mikataba yenye maslahi kwa nchi, wawe wazalendo ili tunufaike nayo! Wasijitazame wao tu na 10%, wajione kuwa kuna maisha baada ya kula rushwa!! Pia wafuate sheria na taratibu za kiutendaji! Maadili yawe dira yao. Wewe ni wakili ila unaonekana huna maadili, unawafundisha wadogo zako wawe wezi na wafanye kazi kimaslahi badala ya weledi!

Ahsante Mh...!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mleta mada umeongea ukweli mtupu. A.G nadhani yupo kimya kuinua maslahi ya watu wake kwa vile yeye hana shida ya hela, analipwa kama mbunge. Kwa kweli kwa sasa mahakama wanajitahidi kuboresha mambo yao.
 
Ok, nina swali dogo, "hawa wadogo zako mawakili na walimu au madaktari, ni wepi wanastahili kuboreshewa maslahi?" Unapotanguliza maslahi mbele hata ulipwe budget nzima ya nchi peke yako, utakula tu rushwa! Weka uzalendo mbele, achana na maslahi! Pia swala la kulinganisha mawakili wa nje na wabongo, unakosea kidogo Mh, maana level ya uchumi ni tofauti Mh!

Waambie wadogo zako wajitahidi inapokuja mikataba yenye maslahi kwa nchi, wawe wazalendo ili tunufaike nayo! Wasijitazame wao tu na 10%, wajione kuwa kuna maisha baada ya kula rushwa!! Pia wafuate sheria na taratibu za kiutendaji! Maadili yawe dira yao. Wewe ni wakili ila unaonekana huna maadili, unawafundisha wadogo zako wawe wezi na wafanye kazi kimaslahi badala ya weledi!

Ahsante Mh...!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hata wachungaji hawafanyi kazi bure, sasa iweje wakili wa serikali afanye kazi kidhiki kwa kizingizio cha uzalendo.
 
nimelazimika kuandika suala hili, naweza kusema mimi mdau wa tasnia ya sheria, mwenyezi Mungu amenisaidia nimezunguka maeneo mengi duniani kikazi nikilitumikia taifa, na nimewiwa kutoa maoni yafuatayo kwa serikali iyaangalie kwa makini.

suala lenyewe linahusu watu wanaoitwa STATE ATTORNEYS au kwa kiswahili, MAWAKILI WA SERIKALI. hawa ni watu walioko chini ya mwanasheria mkuu wa serikali pamoja na mkurugenzi wa mashitaka, ni wadogo zangu, wengine wake zetu. actually kwenye familia yetu tunao wawili. lakini maisha yao hayabadiliki, ni magumu kusema kweli. hivi serikali yao huwa haiwaangalii hawa watu, nimetembea nchi nyingi, kada hii haifanani kabisa na kada zilizoko nchi za wenzetu ambazo ziko kama wao.

1. WAKILI wa serikali ni mtu ambaye ana risky nyingi sana, ni prosecutor wa kesi kubwa za ajabu, lakini analipwa hela kidogo sana.

2. inakuwaje wakili anayelipwa hela kidogo sana, ukampa aendeshe kesi ya bilioni moja, mbili au hata milioni mia. hawezi kuwa compromised kweli? wakili analipwa hela kidogo, mshitakiwa anaweza kumpa hela inayotosha mafao yake akistaafu, kwanini asile rushwa?

3. wakili anaishi nyumba mbovu, amezungukwa na washitakiwa, washitakiwa ndio majirani zake, kwanini asishirikiane nao, no wonder anaweza hata kuamua kuwa rafiki wa watenda makosa na kutengeneza network kwasababu analipwa kidogo, anaishi maisha risky mtaa wa wahalifu kwasababu huko ndiko ana afford kulipa kodi na halipwi risky allowances.

4. wakili hana usafiri, anapewa lift na washitakiwa.

HII NI OFISI PEKEE AMBAYO HAINA MAJENGO YAKE BINAFSI ZAIDI YA JENGO MOJA TU la makao makuu. hivi viongozi haina?

5. wakili hana hela kuendesha familia, lakini amezungukwa na washitakiwa wanaoweza kumlipia ada ya watoto wake hadi wanamaliza, atashindwaje kuharibu kesi?

6. ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali ni ngumu kufanya kazi na haina msemaji. ni ofisi ya aibu sana kwasababu majengo karibia yote nchini wamepanga, wakati PCCB wamejenga majengo yao karibia kila mkoa. wakati huohuo upo ushahidi kuonyesha kwamba kila mkoa kuna kiwanja ambacho ofisi hii imepewa ili kujenga jengo, sasa angalia hiyo kodi wanayolipa kwa mwezi ni shilingi ngapi ambayo ingewashinda kujenga majengo yao, na ni kwanini wanapenda kupanga tu, huko kupanga kunamfaidisha nani na kunamwathiri nani? je kunamwathiri mtu binafsi au wafanyakazi? ofisi haina marupurupi hivi mnafikiri watu wataendelea kufanya kazi ofisini kwenu kweli, hivi kuna mtu anasoma ili ateseke?

7. hii ni ofisi ambayo imeshikilia mambo mazito sana yanayoisaidia serikali lakini serikali haiijali hii ofisi. hii ni ofisi inayoishauri serikali mambo ya msingi, hii ndio ofisi inayoshitaki wauaji, majambazi, na wahalifu wote ili raia mkae kwa amani. hii ni ofisi ambayo inatoa ushauri na kusaidia wananchi bure, ni ofisi ya wananchi, lakini serikali haiwathamini kabisa. hivi ni kwanini?

matokeo yake, kinachoendelea kwa mawakili wa serikali ni kwamba, watu wanakimbia kada. anakaa kidogo akishaona hapafai, anapiga hela za rushwa, halafu ana lala mbele anaenda kuwa mwanasheria wa kujitegemea. mtu kama huyo serikali inakuwa imeshampatia mafunzo mengi/training nyingi sana kwa garama ya serikali, lakini hata kabla hajainufaisha serikali kwa kile alichokisomea, ameona hakuna faida kuwa wakili wa serikali na anaondoka kwenda kuwa mtetezi wa washitakiwa wanaoshitakiwa na serikali. na zaidi ya wengi wanaoondoka, ni wale ambao wamefikia level ya senior, kwa hiyo waliobaki ni wale ambao ni junior tu ambao hawana uwezo mzuri kuendesha kesi na kutetea serikali, matokeo yake serikali inazidi kushindwa kesi kwasababu waliopo ni majunior tu hawana experience, wenye experience wameondoka kukimbia ofisi...na hao majunior wakipata experience na kuwa seniors basi wanaondoka kukimbia kada. hivyo tusishangae kwanini serikali inashindwa kesi kila siku, ni kwasababu waendesha mashitaka waliopo ni juniors , seniors wameondoka wamekimbia ofisi.

binafsi nawaonea huruma hawa wadogo zangu, wanafanya kazi katika mazingira magumu sana. ninakuomba MAGUFULI, angalia kwa jicho la huruma kwa hii ofisi, kwasababu hawa wakiamua kuharibu kesi serikali isishinde, majambazi wote wataachiwa huru bila kufungwa, hao unaowakamata wala rushwa wataachiwa bila kufungwa, watarudi kwa wananchi na wananchi wataishi bila amani kabisa. hao vibaka watarudi mtaani, hao wabakaji watarudi mtaani, hapo ndipo mtaona ni ya muhimu. angalia mshahara wao, angalia kama kuna allowance zozote, angalia wanakoishi, angalia risky allowance zile unazowapa polisi kwanini hawa hauwapatii wakati nao wako kwenye risky sana? au unataka waharibu kesi ili usipate sifa? na mwanasheria mkuu wa serikali huwa hawaongelei kabisa kuwatetea hawa watu, wakati jaji mkuu anawatetea sana mahakama na mahakama maisha yao yamerahisishwa sana, kwanini mwanasheria mkuu wa serikali hapiganii maslahi ya watu wake? ni kwanini? basi wataondoka wote ili muendelee kuwa na wafanyakazi wasio na uzoefu, nao wakipata uzoefu wakimbie muendelee kupata kazi ya kuwatrain wapya ili nao waje kukimbia badae. kwaheri, hayo ni yangu ya moyoni.
Hivi ni mtumishi wa kada gani hasitahili malipo mazuri?
 
Dactari na walimu hizi ndio kada muhimu zaidi ... Hao wengine wasubiri kwanza mpaka hizi kada mbili zikae sawa
 
Sababu za kulipwa kidogo nadhani zipo wazi.. ofisi ya mwanasheria mkuu haijawahi kuleta manufaa ya wazi kwa nchi. Mikataba yote ya kipumbavu na ya kinyonyaji imeingiwa na serikali kwa ushauri wa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali. Zaidi, hata kesi ya ushindi wa wazi wa kesi dhidi ya wavuvi haram bahari kuu au maarufu kama samaki wa Maghufuli, ofisi ya mwanasheria ilishindwa kuitetea nchi. Serikali iliamriwa kuwalipa wezi fedha nyingi takriban TZS 9bn. Ofisi hii haina cha kujivunia kwamba imewatetea watanzania kwa unyonge wao dhidi ya mifumo ya kihuni ya kimataifa. Ofisi hii ipo kwa manufaa ya kulinda chama na watu fulani na wala si wananchi kama mleta mada anavyotaka tuamini. Juzi kati karibu kabisa na uchaguzi mkuu, hii ofisi ilishupalia kuwa ni marufuku wananchi kukaa umbali wowote baada ya kupiga kura, na amini usiamini, ccm ilitumia mwanya huu kuiba kura nyingi sana.

Kwa kuwa wananchi ndo wanawalipa wafanyakazi wa ofisi hii mishahara, ofisi ambayo kiuhalisia haina msaada kwa walipa mishahara, mimi naonelea kuwa wafanyakazi hawa hawana haki ya kudai chochote, kwa njia yoyote. Ni mzigo kwa wananchi maskini wa Tanzania.

Nawasilishaa
 
Kila Kada Ni Muhimu Sana Hapa Nchini
Suala La Kusema Hawa Hivi
Kada Gani? Imeridhika Na Salary Scale
Tunataka Hata Mkulima Alipwe Vizuri
Mchoma Mkaa Pia. .....
 
MwanawaMung leo ndio mnajua fani ya sheria ina risk ?

Askari nao wasemeje. ...usiwaharibu wadogo zako waache watumikie wananchi usipandikize moyo wa tamaa. ..ulitaka walipweje kwa mfano
 
Sababu za kulipwa kidogo nadhani zipo wazi.. ofisi ya mwanasheria mkuu haijawahi kuleta manufaa ya wazi kwa nchi. Mikataba yote ya kipumbavu na ya kinyonyaji imeingiwa na serikali kwa ushauri wa ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali. Zaidi, hata kesi ya ushindi wa wazi wa kesi dhidi ya wavuvi haram bahari kuu au maarufu kama samaki wa Maghufuli, ofisi ya mwanasheria ilishindwa kuitetea nchi. Serikali iliamriwa kuwalipa wezi fedha nyingi takriban TZS 9bn. Ofisi hii haina cha kujivunia kwamba imewatetea watanzania kwa unyonge wao dhidi ya mifumo ya kihuni ya kimataifa. Ofisi hii ipo kwa manufaa ya kulinda chama na watu fulani na wala si wananchi kama mleta mada anavyotaka tuamini. Juzi kati karibu kabisa na uchaguzi mkuu, hii ofisi ilishupalia kuwa ni marufuku wananchi kukaa umbali wowote baada ya kupiga kura, na amini usiamini, ccm ilitumia mwanya huu kuiba kura nyingi sana.

Kwa kuwa wananchi ndo wanawalipa wafanyakazi wa ofisi hii mishahara, ofisi ambayo kiuhalisia haina msaada kwa walipa mishahara, mimi naonelea kuwa wafanyakazi hawa hawana haki ya kudai chochote, kwa njia yoyote. Ni mzigo kwa wananchi maskini wa Tanzania.

Nawasilishaa
nimewachukia ghafla!!!
 
MwanawaMung leo ndio mnajua fani ya sheria ina risk ?

Askari nao wasemeje. ...usiwaharibu wadogo zako waache watumikie wananchi usipandikize moyo wa tamaa. ..ulitaka walipweje kwa mfano
mkuu, askari wanalipwa risky allowances laki tatu unusu kila mwezi. mwalimu sio sawa na askari, mwalimu sio sawa na wakili wa serikali. hawa ni watu ambao umuhimu wake utauona siku majambazi wakikuvamia, wakabaka mkeo na watoto wako, wakawakata mapanga, wakakamatwa, wakili wa serikali akatakiwa ampeleke mbele ya pilato, wakili huyo hana hela na jambazi linataka mtu huyo aliyekatakata mapanga familia yako linataka kumpa rushwa wakili asiye na maslahi mazuri. atakapopokea rushwa hiyo jamaa likarudi tena mtaani ndio utaona umuhimu wa hawa jamaa. najua watu wengi hawaijui hii kada, wengi wakisikia wakili wa serikali wanafikiria tu mikataba mibovu inayoingiwa na serikali, wamesahau kuwa mikataba hiyo inaperuziwa na watu wachache sana walioko juu. mawakili walioko chini hawaju hata unachoongea kuhusu mikataba ya serikali.
 
Kila Kada Ni Muhimu Sana Hapa Nchini
Suala La Kusema Hawa Hivi
Kada Gani? Imeridhika Na Salary Scale
Tunataka Hata Mkulima Alipwe Vizuri
Mchoma Mkaa Pia. .....
kada zote ni muhimu?...kama wewe ni mwalimu unapoenda kufundisha, polisi anaenda kurushiana risasi na jambazi na anaweza kuuawa akifanya mchezo, polisi anakulinda wewe. wakati wewe mwalimu au kada nyingne wanafanya kazi za kawaida, wakili wa serikali amepewa kuendesha kesi ya jambazi sugu, anarogwa, anawindwa na washitakiwa kila iitwapo leo, wakati wewe kazi yako hakuna hata anayekuwinda. ulishawahi kushitakiwa? siku ukishitakiwa ukawa mbele ya hakimu au jaji, wakili wa serikali akawa anakushitaki ndio utaona kuwa hawa wanafanya kazi ngumu sana. kwa waelewa najua wataelewa hili.
 
Ok, nina swali dogo, "hawa wadogo zako mawakili na walimu au madaktari, ni wepi wanastahili kuboreshewa maslahi?" Unapotanguliza maslahi mbele hata ulipwe budget nzima ya nchi peke yako, utakula tu rushwa! Weka uzalendo mbele, achana na maslahi! Pia swala la kulinganisha mawakili wa nje na wabongo, unakosea kidogo Mh, maana level ya uchumi ni tofauti Mh!

Waambie wadogo zako wajitahidi inapokuja mikataba yenye maslahi kwa nchi, wawe wazalendo ili tunufaike nayo! Wasijitazame wao tu na 10%, wajione kuwa kuna maisha baada ya kula rushwa!! Pia wafuate sheria na taratibu za kiutendaji! Maadili yawe dira yao. Wewe ni wakili ila unaonekana huna maadili, unawafundisha wadogo zako wawe wezi na wafanye kazi kimaslahi badala ya weledi!

Ahsante Mh...!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
ni kikundi cha watu hata 20 hakifikii ndio wanahusika na hiyo mikataba, mawakili wa serikali ninaoongelea ni hawa walioko chini ya DPP, wanaoendesha kesi mahakama ya wilaya/mkazi na mahakama za juu. sio wale wa juu, wale hawana shida. hawa ni watoto ambao wanapambana na waganga wa kienyeji wanaokwamisha kesi, kuna ndumba na midubwana ya kila aina, hawa wanapambana na majambazi, wala rushwa na wahalifu wa kila aina wakati wewe upo nyumbani. siku ikipata shida na wahalifu, utajua ninachokisema. kuhusu uzalenzo, na level za uchumi, jilinganishe hata na uganda, rwanda na kenya, mawakili wa serikali au kwa jina lingine ili uelewe watu ninaowalenga (waendesha mashitaka wa serikali), wa tz wako chini sana na ndio maana wanakula tu rushwa na kesi zinashindikana kwasababu wameachwa bila kuangaliwa. mahakama na hawa jama wapo wizara moja wote wapo wizara ya katiba na sheria, lakkni mahakana wapo vizuri sana kwenye kila kitu.
 
Morals: Tusiweke matabaka ya kitaaluma. ...madaktari. ...walimu. ..wote wanafanya kazi muhimu sana. ...kikubwa ni kuondoa mfumuko wa bei na kutengeneza ajira zaidi.


Sidhani kama kuna haja ya kuongeza mshahara kwa kuwa it's an illusion.

Hata wapewe 5M kila mwezi kama inflation iko juu wataona haitoshi tu.

Ushawahi kujiuliza wauza karangà barbarani wanawezaje kumudu maisha?
 
mkuu, askari wanalipwa risky allowances laki tatu unusu kila mwezi. mwalimu sio sawa na askari, mwalimu sio sawa na wakili wa serikali. hawa ni watu ambao umuhimu wake utauona siku majambazi wakikuvamia, wakabaka mkeo na watoto wako, wakawakata mapanga, wakakamatwa, wakili wa serikali akatakiwa ampeleke mbele ya pilato, wakili huyo hana hela na jambazi linataka mtu huyo aliyekatakata mapanga familia yako linataka kumpa rushwa wakili asiye na maslahi mazuri. atakapopokea rushwa hiyo jamaa likarudi tena mtaani ndio utaona umuhimu wa hawa jamaa. najua watu wengi hawaijui hii kada, wengi wakisikia wakili wa serikali wanafikiria tu mikataba mibovu inayoingiwa na serikali, wamesahau kuwa mikataba hiyo inaperuziwa na watu wachache sana walioko juu. mawakili walioko chini hawaju hata unachoongea kuhusu mikataba ya serikali.
Jukumu mmojawapo la mwalimu ni kujenga jamii yenye maadili kwa kuwa taifa hili limedharau kada hii ukiwamo na wewe ndio maana wanasheria wahalifu wanazalishwa, wabakaji majambazi. Acha ubinafsi kila kada ina umuhimu kwa nafasi yake tuwekeze vyema kwenye utumishi wote wa Serikali hii itakuwa ni hatua njema ya kujenga uzalendo na kupiga hatua kimaendeleo binafsi na kwa taifa zima
 
Jukumu mmojawapo la mwalimu ni kujenga jamii yenye maadili kwa kuwa taifa hili limedharau kada hii ukiwamo na wewe ndio maana wanasheria wahalifu wanazalishwa, wabakaji majambazi. Acha ubinafsi kila kada ina umuhimu kwa nafasi yake tuwekeze vyema kwenye utumishi wote wa Serikali hii itakuwa ni hatua njema ya kujenga uzalendo na kupiga hatua kimaendeleo binafsi na kwa taifa zima
mkuu jibizaneni vizuri tu. naamini pia kuwa kuna kazi zingine zina risk kuliko kazi zingine. hizo risk assessment zipo dunia nzima. huwezi kulinganisha polisi na mwalimu. huwezi kulinganisha prosecutor na mwalimu. kuna watu walikuwa waalimu wakaacha wakasoma wakawa wanasheria prosecutors wanathibitisha hilo kwamba kwenye kada aliyotaja mkubwa hapo, risk ni kubwa sana na hauwezi kuliona hilo hadi tatizo linalowahitaji hao likupate. huu ndio ukweli mchungu.
 
Nimelazimika kuandika suala hili, naweza kusema mimi mdau wa tasnia ya sheria, mwenyezi Mungu amenisaidia nimezunguka maeneo mengi duniani kikazi nikilitumikia taifa, na nimewiwa kutoa maoni yafuatayo kwa serikali iyaangalie kwa makini.

Suala lenyewe linahusu watu wanaoitwa STATE ATTORNEYS au kwa kiswahili, MAWAKILI WA SERIKALI. hawa ni watu walioko chini ya mwanasheria mkuu wa serikali pamoja na mkurugenzi wa mashitaka, ni wadogo zangu, wengine wake zetu. actually kwenye familia yetu tunao wawili. lakini maisha yao hayabadiliki, ni magumu kusema kweli. hivi serikali yao huwa haiwaangalii hawa watu, nimetembea nchi nyingi, kada hii haifanani kabisa na kada zilizoko nchi za wenzetu ambazo ziko kama wao.

1. WAKILI wa serikali ni mtu ambaye ana risky nyingi sana, ni prosecutor wa kesi kubwa za ajabu, lakini analipwa hela kidogo sana.

2. Inakuwaje wakili anayelipwa hela kidogo sana, ukampa aendeshe kesi ya bilioni moja, mbili au hata milioni mia. hawezi kuwa compromised kweli? wakili analipwa hela kidogo, mshitakiwa anaweza kumpa hela inayotosha mafao yake akistaafu, kwanini asile rushwa?

3. Wakili anaishi nyumba mbovu, amezungukwa na washitakiwa, washitakiwa ndio majirani zake, kwanini asishirikiane nao, no wonder anaweza hata kuamua kuwa rafiki wa watenda makosa na kutengeneza network kwasababu analipwa kidogo, anaishi maisha risky mtaa wa wahalifu kwasababu huko ndiko ana afford kulipa kodi na halipwi risky allowances.

4. Wakili hana usafiri, anapewa lift na washitakiwa.

HII NI OFISI PEKEE AMBAYO HAINA MAJENGO YAKE BINAFSI ZAIDI YA JENGO MOJA TU la makao makuu. hivi viongozi haina?

5. Wakili hana hela kuendesha familia, lakini amezungukwa na washitakiwa wanaoweza kumlipia ada ya watoto wake hadi wanamaliza, atashindwaje kuharibu kesi?

6. Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali ni ngumu kufanya kazi na haina msemaji. ni ofisi ya aibu sana kwasababu majengo karibia yote nchini wamepanga, wakati PCCB wamejenga majengo yao karibia kila mkoa. wakati huohuo upo ushahidi kuonyesha kwamba kila mkoa kuna kiwanja ambacho ofisi hii imepewa ili kujenga jengo, sasa angalia hiyo kodi wanayolipa kwa mwezi ni shilingi ngapi ambayo ingewashinda kujenga majengo yao, na ni kwanini wanapenda kupanga tu, huko kupanga kunamfaidisha nani na kunamwathiri nani? je kunamwathiri mtu binafsi au wafanyakazi? ofisi haina marupurupi hivi mnafikiri watu wataendelea kufanya kazi ofisini kwenu kweli, hivi kuna mtu anasoma ili ateseke?

7. Hii ni ofisi ambayo imeshikilia mambo mazito sana yanayoisaidia serikali lakini serikali haiijali hii ofisi. hii ni ofisi inayoishauri serikali mambo ya msingi, hii ndio ofisi inayoshitaki wauaji, majambazi, na wahalifu wote ili raia mkae kwa amani. hii ni ofisi ambayo inatoa ushauri na kusaidia wananchi bure, ni ofisi ya wananchi, lakini serikali haiwathamini kabisa. hivi ni kwanini?

Matokeo yake, kinachoendelea kwa mawakili wa serikali ni kwamba, watu wanakimbia kada. anakaa kidogo akishaona hapafai, anapiga hela za rushwa, halafu ana lala mbele anaenda kuwa mwanasheria wa kujitegemea. mtu kama huyo serikali inakuwa imeshampatia mafunzo mengi/training nyingi sana kwa garama ya serikali, lakini hata kabla hajainufaisha serikali kwa kile alichokisomea, ameona hakuna faida kuwa wakili wa serikali na anaondoka kwenda kuwa mtetezi wa washitakiwa wanaoshitakiwa na serikali. na zaidi ya wengi wanaoondoka, ni wale ambao wamefikia level ya senior, kwa hiyo waliobaki ni wale ambao ni junior tu ambao hawana uwezo mzuri kuendesha kesi na kutetea serikali, matokeo yake serikali inazidi kushindwa kesi kwasababu waliopo ni majunior tu hawana experience, wenye experience wameondoka kukimbia ofisi...na hao majunior wakipata experience na kuwa seniors basi wanaondoka kukimbia kada. hivyo tusishangae kwanini serikali inashindwa kesi kila siku, ni kwasababu waendesha mashitaka waliopo ni juniors , seniors wameondoka wamekimbia ofisi.

Binafsi nawaonea huruma hawa wadogo zangu, wanafanya kazi katika mazingira magumu sana. ninakuomba MAGUFULI, angalia kwa jicho la huruma kwa hii ofisi, kwasababu hawa wakiamua kuharibu kesi serikali isishinde, majambazi wote wataachiwa huru bila kufungwa, hao unaowakamata wala rushwa wataachiwa bila kufungwa, watarudi kwa wananchi na wananchi wataishi bila amani kabisa. hao vibaka watarudi mtaani, hao wabakaji watarudi mtaani, hapo ndipo mtaona ni ya muhimu. angalia mshahara wao, angalia kama kuna allowance zozote, angalia wanakoishi, angalia risky allowance zile unazowapa polisi kwanini hawa hauwapatii wakati nao wako kwenye risky sana? au unataka waharibu kesi ili usipate sifa? na mwanasheria mkuu wa serikali huwa hawaongelei kabisa kuwatetea hawa watu, wakati jaji mkuu anawatetea sana mahakama na mahakama maisha yao yamerahisishwa sana, kwanini mwanasheria mkuu wa serikali hapiganii maslahi ya watu wake? ni kwanini? basi wataondoka wote ili muendelee kuwa na wafanyakazi wasio na uzoefu, nao wakipata uzoefu wakimbie muendelee kupata kazi ya kuwatrain wapya ili nao waje kukimbia badae. kwaheri, hayo ni yangu ya moyoni.

From the Biblical Point Of View; 1 Cor 12:14-26"kwa maana mwili si kiungo kimoja...................." uzalendo unaondoa kujihurumia na kulialia ili kupata upendeleo nadhani suala ni mazingira bora ya kazi kwa kila mmoja ili anufaike na matunda ya nchi yake.
 
From the Biblical Point Of View; 1 Cor 12:14-26"kwa maana mwili si kiungo kimoja...................." uzalendo unaondoa kujihurumia na kulialia ili kupata upendeleo nadhani suala ni mazingira bora ya kazi kwa kila mmoja ili anufaike na matunda ya nchi yake.
kazi yako wewe kama mwalimu utailinganisha na mtu anayechoma sindano watu damu ikaruka na akaambukizwa magonjwa? namaanisha doctor? wewe mwalimu utajlinganisha na askari anayerushiana risasi na jambazi ili kukufanya wewe uishi kwa usalama na familia yako, na hao mawakili wa serikali/prosecutors ambao kila siku wanaendesha kesi ili wahalifu waishi gerezeni na wewe mtaani upate amani?..
 
Back
Top Bottom