Travelogue_tz
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 855
- 1,224
Angalia wale uliokuwa unawatetea leo hii wapo wapi? Naona kama wamekuacha peke yako ukipambana na kesi ilihali ulikuwa na kundi kubwa likikusapoti. Usikate tamaa hii ndiyo Tanzania WANAFIKI KIBAO.
Mkuu hajaachwa peke yake hata gharama za kufuatilia kesi pamoja na wakili zimesaidia kuchangiwa na madaktari wenzake. Hata Dr.Godbless ataweza kuthibitisha hili. Sio uungwana kumwachia peke yake jambo lililopo mbele yetu. Hakuwa anapigania maslahi binafsi.
Ni kweli kabisa fedha zote kwa ajili ya kugharamia kesi zimetokana na michango ya madaktari. Nadhani hii ndio ilikuwa hatua muhimu sana.
Walikufungia kutibu kwa sababu gani?
Ilikuaje wakakufungia kutibu?