Serikali ya Tanzania inapaswa kutekeleza shughuli zake zote za kiuchumi/maendeleo kupitia wasomi wazawa

Serikali ya Tanzania inapaswa kutekeleza shughuli zake zote za kiuchumi/maendeleo kupitia wasomi wazawa

fundi radio

Member
Joined
Apr 2, 2023
Posts
61
Reaction score
104
Hivi sasa Tanzania ina miaka Zaidi 60 tokea tupate Independence, ina wasomi mbalimbali na wataalamu kwenye different sectors.

kwa mujibu wa sensa ya 2022 umri kati 18-35 ni 77% ya watu wote nchini. eeh nguvu kazi ni ya kutosha.

kupitia vyuo vikuu , vyuo vya kati, ufundi(VETA), SIDO na waatalamu/wabunifu wazawa.
serikali inapaswa kuwekeza kwa hao wanataaluma, inawezekana ikawa kwa groups or individuals.

kwenye hizo institutions nilizozitaja hapo juu , huwa pana ibuliwa mawazo ya kiuchumi , kibiashara , security, Techonogy almost kila changamoto inayo face jamii yetu, basi kuna solutions huwa zina ibuliwa na wabunifu na wanataaluma wetu wazawa.

kila projects , miradi ya kimaendeleo inayoanzishwa na serikali inapaswa kuwashirikisha wanataaluma na vijana kuanzia hatua ya kwanza ya wazo/ideas mpaka hatua ya utekelezaji/ implementation.

mfano mradi wa cctv camera katika miji za sehemu mbalimbali ie mipakani ya nchi, hii inaweza kuwa ni wazo la serikali au wabunifu , wasomi, lakini wanatakuwa collaborate Pamoja kwanzia hatua ya ideas mpaka implementation. hii itawezesha kutoa fursa kwa wasomi wetu kutumia ujuzi wao kwa vitendo.pia serikali itakuwa ime create more jobs kwa vijana wake.

mfano mradi wa jangwani je wasomi wetu(wasomi wa Ardhi na wahandisi mmbalimbali) walishirikishwa tangia mwazo wa ideas mpaka utekelezwaji wake? maana wasomi ni haki yao kujua ni nini kinaendele kwenye nchi yao , kwakuwa wao ndio waangalizi, wasimamizi na waendelezaji wa hiyo miradi.

mfano BRT je, lilikuwa ni wazo la wasomi wetu ? serikali ikishirikiana na wasomi wazawa watasaidia ku identify specific challenges, na kuja na prospective solutions.
wasomi wangesema kwamba tu implement urban planning coz huwezi kufanya mradi mkubwa kama huu bila jiji kupimwa kisasa.

Barabara zingepanuliwa kwanza ziwe 4*4 or 5*5 kwenye barabara zenye traffic kubwa hii ingesaidia kupunguza foleni , kuna maeneo hata flyover zisingejengwa , barabara inatakiwa inyooke isiwe kona kona kama uchochoro. maeneo kama keko, karikoo , posta ni kituko tu , barabara ni nyembamba zinasababisha ajali na kupelekea vifo . na maanisha huo mradi kwenye hayo maeneo uondolewe.ibaki barabara ya 4*4 or 5*5.hata SGR ilipaswa kuishia Pugu na sio kufika mpaka Posta.

alafu baada ya hapo sasa wasomi wangefanya tathimi ya kuja na BRT , wasomi wangesema mabasi ya BRT yatatumia umeme(kupunguza cost of production) , ilikupunguza uchafuzi wa mazingira coz hili jiji lina msongamano kubwa wa shuguli za watu, pia majengo ya kupokea abiria yawe installed na solar panels ili ku store power za batters za mabasi. huu mradi ulipaswa kufanywa na wa Tanzania wenyewe kwa 100%.

hizi zote zingekuwa fursa kwa wasomi na vijana , sio kama ilivyo sasa tumekuwa saidia fundi kwenye huu mradi yani tushindwe kujenga barabara za zege na sehemu za kupokelea abiria , sasa umuhihmu wa kupata Uhuru na kuwa na wasomi uko wapi?.
 
Mfano mradi wa kuwa na satellite, je mumewashirikisha wasomi wenu wazawa? maana wao ndio watakao endesha huu mradi , ili tuweze kumiliki satellite , inabidi tuwe na lunch pad ,assembly point(hardware and software). sio kila kitu lazima mutengeze from scratch vingine muna nunua , mfano tz tuna kiwanda cha sigara, hatuja kiunda from scratch components zote tumenunua, ila tunatengeneze sigara zenye chapa made in tz. ndio hivyo hivyo kwenye huu mradi na miradi mingine munatakiwa kufanya , ili kuwajengea wasomi wazawa uwezo wa kuviondesha.

Mfano mradi wa kuboresha soko la Samaki ferry , mulijaribu kuwatumia waatalumu wenu wazawa ?
wakaja na ubunifu wa kutumia nishati ya umeme kwa ajili ya kuoka samaki (Baking/Roasting).pia ku kuweka solar panels kwa ajili kupunguza cost of productions, kutunza mazingira.
pia itaboresha afya za walaji cos watakuwa wamepunguza kutumia mafuta ya kupikia ambayo yana kemikali. haya mambo yote yanafanywa na wazawa 100%.

Kama Nchi inaandaa michezo ya kimataifa wazawa ndio wanaopaswa kufanikisha , chakushangaza company za nje zinapewa tenda za kandarasi kwa pesa za walipakodi , alafu munajitokeza na kusoma eti mumeanda mashindano, ukweli ni kwamba alieandaa ni mchina kupitia pesa za walipakodi na sisi tumebaki kuwa ni localhost Tuu. kama hatuwezi kuandaa sisi wenyewe hayo mashindano basi jua hicho sio kipaumbele cha wananchi.

Maendeleo ni progress process hatupaswi kuruka hatua .

Shughuli zote za uchumi zinatakiwa zifanywe na wazawa.(baaabaaa waapeee wafrikaooo wanamatumizi piaaa)
 
Watanzania ni wezi na wana uwezo mdogo sana. Miradi itajengwa sana chini ya kiwango.
 
Watanzania hawahawa ninaowajua mimi? Huwezi kuwa serious......
 
Watanzania ni wezi na wana uwezo mdogo sana. Miradi itajengwa sana chini ya kiwango.
ni kwa sabubu wazawa hawalipwi kwa wakati na miradi yenyewe hawepi mara kwa mara.
sasa apo ndipo ubalozi wa china walipogundua mapungufu ya serikali, kwa kuwapa makubalioani ya MOA , ya kwamba company za china zitatumia pesa zao kutekeleza kandarasi alafu serikali alafu watalipa na muda mwingine with small interest.

sasa kwa mazingira hayo company za wazawa zikawa zinakosa kushiriki kwenye shughuli za maendeleo na kukosa uzoefu
 
Hivi sasa Tanzania ina miaka Zaidi 60 tokea tupate Independence, ina wasomi mbalimbali na wataalamu kwenye different sectors.

kwa mujibu wa sensa ya 2022 umri kati 18-35 ni 77% ya watu wote nchini. eeh nguvu kazi ni ya kutosha.

kupitia vyuo vikuu , vyuo vya kati, ufundi(VETA), SIDO na waatalamu/wabunifu wazawa.
serikali inapaswa kuwekeza kwa hao wanataaluma, inawezekana ikawa kwa groups or individuals.

kwenye hizo institutions nilizozitaja hapo juu , huwa pana ibuliwa mawazo ya kiuchumi , kibiashara , security, Techonogy almost kila changamoto inayo face jamii yetu, basi kuna solutions huwa zina ibuliwa na wabunifu na wanataaluma wetu wazawa.

kila projects , miradi ya kimaendeleo inayoanzishwa na serikali inapaswa kuwashirikisha wanataaluma na vijana kuanzia hatua ya kwanza ya wazo/ideas mpaka hatua ya utekelezaji/ implementation.

mfano mradi wa cctv camera katika miji za sehemu mbalimbali ie mipakani ya nchi, hii inaweza kuwa ni wazo la serikali au wabunifu , wasomi, lakini wanatakuwa collaborate Pamoja kwanzia hatua ya ideas mpaka implementation. hii itawezesha kutoa fursa kwa wasomi wetu kutumia ujuzi wao kwa vitendo.pia serikali itakuwa ime create more jobs kwa vijana wake.

mfano mradi wa jangwani je wasomi wetu(wasomi wa Ardhi na wahandisi mmbalimbali) walishirikishwa tangia mwazo wa ideas mpaka utekelezwaji wake? maana wasomi ni haki yao kujua ni nini kinaendele kwenye nchi yao , kwakuwa wao ndio waangalizi, wasimamizi na waendelezaji wa hiyo miradi.

mfano BRT je, lilikuwa ni wazo la wasomi wetu ? serikali ikishirikiana na wasomi wazawa watasaidia ku identify specific challenges, na kuja na prospective solutions.
wasomi wangesema kwamba tu implement urban planning coz huwezi kufanya mradi mkubwa kama huu bila jiji kupimwa kisasa.

Barabara zingepanuliwa kwanza ziwe 4*4 or 5*5 kwenye barabara zenye traffic kubwa hii ingesaidia kupunguza foleni , kuna maeneo hata flyover zisingejengwa , barabara inatakiwa inyooke isiwe kona kona kama uchochoro. maeneo kama keko, karikoo , posta ni kituko tu , barabara ni nyembamba zinasababisha ajali na kupelekea vifo . na maanisha huo mradi kwenye hayo maeneo uondolewe.ibaki barabara ya 4*4 or 5*5.hata SGR ilipaswa kuishia Pugu na sio kufika mpaka Posta.

alafu baada ya hapo sasa wasomi wangefanya tathimi ya kuja na BRT , wasomi wangesema mabasi ya BRT yatatumia umeme(kupunguza cost of production) , ilikupunguza uchafuzi wa mazingira coz hili jiji lina msongamano kubwa wa shuguli za watu, pia majengo ya kupokea abiria yawe installed na solar panels ili ku store power za batters za mabasi. huu mradi ulipaswa kufanywa na wa Tanzania wenyewe kwa 100%.

hizi zote zingekuwa fursa kwa wasomi na vijana , sio kama ilivyo sasa tumekuwa saidia fundi kwenye huu mradi yani tushindwe kujenga barabara za zege na sehemu za kupokelea abiria , sasa umuhihmu wa kupata Uhuru na kuwa na wasomi uko wapi?.
Sawa ni wazo zuri
 
Wasomi hawa machawa au unasemia wapi ?? Afu umesahau wananunua maphd kama karanga wanawezaje??
 
pia vyuo vya ufundi VETA na SIDO wapewe technology ya kisasa inayoendana na wakati ulipo sasa GEN 6, ili vijana waweze kutengezeza products/Bidhaa/services za kisasa zinazoendana na soko .

pia JKT wawe na technology za wakati uliopo , mfano mifumo ya kisasa ya irrigation system sio kwenda kuwabebesha Watoto wa watu ndoo za kunyeshea bustani eti huo ndio uzalendo, uzalendo sio kuvumilia mateso/shida, bali ni elimu ikiambatana na technology/science za kisasa itakayo waweza vijana kumiliki uchumi wa Nchi yao. Yan jkt pawe ni center of technology and science.


pia miradi inayotekelezwa na wazawa , serikali munapaswa kuwalipa wazawa kwa wakati, mkifanya hivyo mutawajengea wazawa confidence ya kufanya miradi kwa uwadilifu (viwago vyenye ubora), namaanisha msajili wa hazina na wizara Acheni kufanya mafekeche kwenywe fedha za watu.


ilani ya chama inatengenezwa na wasomi wazawa kutoka different sectors? au ni political scientists ndio wanao andaa ilani ya chama ? kuchukua maoni ya wananchi ni hatua ya kwanza , hatua ya pili ni deep analysis ya maoni ya wananchi na mengineyo hapa ndipo wasomi wazawa huja na ideas, to implementation process.

ili Nchi iweze kuendelea inahitaji (muongozo,ilani,Blue Print) proved realistic approaches , na sio utashi wa kisiasa .
 
Wasomi hawa machawa au unasemia wapi ?? Afu umesahau wananunua maphd kama karanga wanawezaje??
wasomi na wanasiasa wakishirikiana kwa pamoja watajenga uchumi imara

No Reform No Development.

Wanachowaza wazawa ni kula tu. Wakiharibu wanabebana
kwa hiyo wazawa sio civilized including wewe apo? wazawa wakishirikiana na wanasiasa kwenye kumiliki uchumi maendeleo yatapatikana kwa haraka.
 
kwenye vyuo vikuu ,vya kati , VETA, SIDO, JKT , huku ndiko idea za biashara , technology zinapo involve , sasa basi kuwepo na fungu la pesa kutoka serikalini kwa ajili ya kuwalea hawa (Startup companya,tech, scienece) (wizara husika isimamie malipo moja kwa moja , musiruhusu taasisi nilizozitaja hapo juu kusimamia malipo )

Njia ya 2 ni serikali inatakiwa kuendelea kushirikiana na hizi (startup company,tech,science)kwenye miradi yake ya maendeleo kwa muda wote.

kupitia miradi ya kimkakati serikali kupitia wanasiasa munaweza kuanzisha miradi ya kiuchumi kwa kushirikiana na wataalumu wazawa. mfano miradi ya kilimo viwanda kilimo cha ngano kwa ajili ya kuzalisha ngano, kilimo cha mchikichi kwa ajili ya mafuta ya kupikia etc, na kwa miradi mingine mingi katika sectors mbalimbali, munaweza mka joint venture ya upande wa serikali kuna wanasiasa upande wapili ni wataalamu wazawa , hii itasaidia ku speedup process ya mradi na mradi kudumu kwa Maisha yote ya serikali. na huo ndio uzalendo .

na hii technique western wanaitumia sana , company zao kubwa zote , nyuma kuna wanasiasa joint venture with local technicians , kwa hiyo ukiigusa company , umeiguza serikali nzima watakushambulia. ndio maana viwanda na bidhaa zao vinaendele ku survive mpaka leo.
 
Hivi sasa Tanzania ina miaka Zaidi 60 tokea tupate Independence, ina wasomi mbalimbali na wataalamu kwenye different sectors.

kwa mujibu wa sensa ya 2022 umri kati 18-35 ni 77% ya watu wote nchini. eeh nguvu kazi ni ya kutosha.

kupitia vyuo vikuu , vyuo vya kati, ufundi(VETA), SIDO na waatalamu/wabunifu wazawa.
serikali inapaswa kuwekeza kwa hao wanataaluma, inawezekana ikawa kwa groups or individuals.

kwenye hizo institutions nilizozitaja hapo juu , huwa pana ibuliwa mawazo ya kiuchumi , kibiashara , security, Techonogy almost kila changamoto inayo face jamii yetu, basi kuna solutions huwa zina ibuliwa na wabunifu na wanataaluma wetu wazawa.

kila projects , miradi ya kimaendeleo inayoanzishwa na serikali inapaswa kuwashirikisha wanataaluma na vijana kuanzia hatua ya kwanza ya wazo/ideas mpaka hatua ya utekelezaji/ implementation.

mfano mradi wa cctv camera katika miji za sehemu mbalimbali ie mipakani ya nchi, hii inaweza kuwa ni wazo la serikali au wabunifu , wasomi, lakini wanatakuwa collaborate Pamoja kwanzia hatua ya ideas mpaka implementation. hii itawezesha kutoa fursa kwa wasomi wetu kutumia ujuzi wao kwa vitendo.pia serikali itakuwa ime create more jobs kwa vijana wake.

mfano mradi wa jangwani je wasomi wetu(wasomi wa Ardhi na wahandisi mmbalimbali) walishirikishwa tangia mwazo wa ideas mpaka utekelezwaji wake? maana wasomi ni haki yao kujua ni nini kinaendele kwenye nchi yao , kwakuwa wao ndio waangalizi, wasimamizi na waendelezaji wa hiyo miradi.

mfano BRT je, lilikuwa ni wazo la wasomi wetu ? serikali ikishirikiana na wasomi wazawa watasaidia ku identify specific challenges, na kuja na prospective solutions.
wasomi wangesema kwamba tu implement urban planning coz huwezi kufanya mradi mkubwa kama huu bila jiji kupimwa kisasa.

Barabara zingepanuliwa kwanza ziwe 4*4 or 5*5 kwenye barabara zenye traffic kubwa hii ingesaidia kupunguza foleni , kuna maeneo hata flyover zisingejengwa , barabara inatakiwa inyooke isiwe kona kona kama uchochoro. maeneo kama keko, karikoo , posta ni kituko tu , barabara ni nyembamba zinasababisha ajali na kupelekea vifo . na maanisha huo mradi kwenye hayo maeneo uondolewe.ibaki barabara ya 4*4 or 5*5.hata SGR ilipaswa kuishia Pugu na sio kufika mpaka Posta.

alafu baada ya hapo sasa wasomi wangefanya tathimi ya kuja na BRT , wasomi wangesema mabasi ya BRT yatatumia umeme(kupunguza cost of production) , ilikupunguza uchafuzi wa mazingira coz hili jiji lina msongamano kubwa wa shuguli za watu, pia majengo ya kupokea abiria yawe installed na solar panels ili ku store power za batters za mabasi. huu mradi ulipaswa kufanywa na wa Tanzania wenyewe kwa 100%.

hizi zote zingekuwa fursa kwa wasomi na vijana , sio kama ilivyo sasa tumekuwa saidia fundi kwenye huu mradi yani tushindwe kujenga barabara za zege na sehemu za kupokelea abiria , sasa umuhihmu wa kupata Uhuru na kuwa na wasomi uko wapi?.
Comrade, unaongea mambo gani haya! Nchi imeshauzwa kitambo. Kwa sasa habari ya mjini Wacina tu na Waarabu.
 
Back
Top Bottom