Serikali ya Magufuli nayo ni JIPU jingine

georgemwaipungu

JF-Expert Member
Jul 7, 2015
2,779
589
SERIKALI YA MAGUFULI NAYO NI JIPU JINGINE.
inahitaji kutumbuliwa.

UCHAGUZI MEYA ILALA,KINONDONI NA JIJI LA DAR ES SALAAM.

Mara ya kwanza waliletwa Wabunge viti maalumu toka Zanzibar eti nao wapige kura Kinondoni ili tu CCM ishinde wa guvu.Upinzani wakagoma.

Upinzani wakafungua kesi mahakama kuu kutaka mahakama itoe mwongozo wa tafisri ya sheria kuhusu uhalali wa wabunge wa zanzibar kuletwa Bara kupiga kura kwenye halimashauri wakati serikali za mitaa na tawala za miji na mikoa si mambo ya Muungano kiasi cha kuleta watu wa Zanzibar ama baadae kupeleka wabunge wa bara Zanzibar.

kabla Mahakama kuu haijatoa mwongozo Uchaguzi ukaitishwa tena kufanyika leo Jumamosi.

Upinzani wakaamua kupeleka zuio mahakamani kuwa uchaguzi wa meya ilala na kinondoni usifanyike leo mpaka kesi ya kuhusu tafisri ya kisheria kuhusu uhalali wa wabunge wa zanzibar kupiga kura kinondoni utolewe na ilitegemewa kesi kufanyika 29/01/2016,ili wale tu wanaoruhusiwa kupiga kura ndio washiriki na si vinginevyo.

Mahakama kuu jana ilitupilia mbali pingamizi la wapinzani na kusema uchaguzi unaweza kuendelea hata kama mwongozo kuhusu wabunge wa Zanzibar haujatolewa.

Wapinzani wakaona isiwe tabu, si na wao wana wabunge viti maalumu toka Zanzibar.

Leo wapinzani nao wakaleta wabunge wa viti maalumu toka Zanzibar wakiwemo wa CUF na CHADEMA. Na CCM kama kawaida walileta wale wa mwanzo japo hawakujua kama na wapinzani wamekopi na kupaste staili ile.

Kwa kitendo hiki ilikuwa ama wabunge wote toka Zanzibar waruhusiwe kupiga kura ama wote wasipige kura.

Kama wangepiga kura wote, CCM ingeshindwa.

Kama wasingepiga kura hao wa Zanzibar kitu ambacho ndio sahihi, bado CCM wangeshindwa uchaguzi.

Wakaona hii ishakuwa noma na mipango yao imebuma.

Ghafla zikatolewa taarifa kuwa uchaguzi hautafanyika kwa sababu kuna ZUIO LA MAHAKAMA.

DUUUUUUUUH.nashangaa kwa kweli.

watu wakahoji limetoka wapi na limetolewa lini na liliwekwa na nani?

Majibu yakawa ni kwamba zuio limetolewa na Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu jana Ijumaa na aliyeweka hilo pingamizi ni kada wa CCM. Hiyo ilifanyika kimyakimya(mpango wa siri huu maana haiwezekani wasiseme).

hali kama hii imetokea Ilala.

Lakini maajabu ni kwamba jana Ijumaa MAHAKAMA KUU imetoa ruling yaani mwongozo kuwa uchaguzi uendelee lakini jana hiyohiyo MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU nayo ikatoa pingamizi uchaguzi usiendelee.

sasa uamuzi upi ufatwe?kati ya ule wa Mahakama kuu na ule wa Mahakama ya hakimu mkazi kisutu.

Kisheria Mahakama kuu ina nguvu kuliko Mahakama ya hakimu mkazi.Na maamuzi ya Mahakama kuu pia yana nguvu kushinda maamuzi ya mahakama ya hakimu mkazi. Hivyo maamuzi ya kwamba uchaguzi uendelee yalipaswa kufuatwa.

Chaajabu ni Kwamba Mkurugenzi kafata maamuzi ya Mahakama ya hakimu mkazi iliyo ndogo kimamlaka kuliko Mahakama kuu iliyo na mamlaka makubwa na maamuzi yake HAYAPASWI KUPINGWA NA MAHAKAMA YA CHINI YAKE.

kwa hali ya kawaida Zuio la mahakama ya kisutu halikuwa na nguvu kisheria mbele ya maamuzi ya Mahakama kuu.

Kwa nini haya yanatokea?Jibu ni kwamba serikali ya Magufuli ni JIPU linalotakiwa kutumbuliwa.

Huu ni zaidi ya uhuni kufanywa na Serikali ya Magufuli.Nasema serikali kwa kuwa wote wamekaa kimya toka uhuni wa kwanza na kuruhusu yote haya tena mbele ya mawakala wa serikali akiwemo mkurugenzi.

Kama ccm wangeona leo wapo wengi basi uchaguzi ungefanyika washinde kwa kutumia wabunge wa Zanzibar.Kwa kuwa hawako tayari kuachia manispaa hizi leo tena wakaahirisha uchaguzi baada ya kugundua hawashindi kwa kuleta wabunge wa zanzibar.

Magufuli wakati analihutubia bunge alisema kuna majipu.

wakati anaomba kura alisema atakuwa Rais wa wote.Maana yake atasimamia misingi ya haki.KIKO WAPI? hata bomoa bomoa haizingatii misingi ya haki.

Kitendo cha mizengwe yote katika uchaguzi wa manispaa ya kinondoni na Ilala imedhihirisha pasi na shaka kuwa CCM na serikali ya Magufuli ni JIPU.

serikali ya Magufuli imeendelea kuruhusu uporwaji wa wazi wa Demokrasia pale ambapo inajulikana CCM haistahili kutoa meya ilala wala kinondoni wala meya wa jiji kwa uwiano wa madiwani.

Ni ujinga unaovuka mipaka kwa watu wazima kwenda kuchukua Wabunge toka Zanzibar eti waje kinondoni kupiga kura.

Haya yote yanafanyika kwa mara ya kwanza katika historia ya Nchi hii na yanafanyika chini ta serikali ya Magufuli.

Yako wapi maelekezo ya papo kwa papo kuhusu ukiukwaji huu wa sheria?

Kwa muda wote haya yote yameachwa yafanyike bila mishipa ya aibu.

Huwezi kuwa kiongozi wa kusimamia maovu badala ya kuyakemea ama huwezi kuwa kiongozi ukawa kimya wakati kuna maovu yanatendeka.

Kitendo kinachofanywa na CCM na Serikali ya Magufuli ni KUTENGENEZA AKINA NKURUNZINZA NA NTARAHAMWE NCHINI kitu ambacho ni jipu linalotakiwa kutumbuliwa.

Inaniwia vigumu kuamini kuwa hawa ndiyo waliweza kumpa haki Lowasa kwenye kura za Urais.

Hivi hata aibu hamuoni?Kuanzia Ikulu kwa Rais mpaka kwa waziri na huyo mkurugenzi?
 
Utakuwa hujui maana ya jipu wewe!! Anyway sio kosa lako!!

Kama BOMOA BOMOA haikuzingatia haki weka ushahidi hapa au peleka ushahidi mahakamani. Usipofanya hivyo tutajua hayo ni majungu na ma wivu ya kitoto.

Hivi meya ni kiongozi kweli wa kumfanya Mhe. Rais aache shughuli na kazi ya kuangalia na kutatua kero za msingi kwa wananchi takribani mil 40 kwa ajili ya u meya wa Kinondoni na Ilala??? Hiyo level ni ya chini sana malizaneni huko msimsumbue Mhe. Rais. Who is mayor by the way??!!!!!!

By the way kuna UKAWA wanataka kuipigia kura CCM Kama wale wa Tanga. Sio swala la goli la mkono ila ni mizengwe ndani ya UKAWA wakati wa kumtafuta nani wa kupeperusha bendera kwenye nafasi hiyo (hutaki unaacha!!!!) msijisifie wingi mkapata surprise mkaanza vurugu kuwa mmeibiwa. Mmeshaandika barua za kulia lia kila mahali kuwa mnaonewa!!!

Angalizo - Hatutaki vurugu DSM, JIPANGENI!!!!!

Queen Esther

SERIKALI YA MAGUFULI NAYO NI JIPU JINGINE.
inahitaji kutumbuliwa.

UCHAGUZI MEYA ILALA,KINONDONI NA JIJI LA DAR ES SALAAM.

Mara ya kwanza waliletwa Wabunge viti maalumu toka Zanzibar eti nao wapige kura Kinondoni ili tu CCM ishinde wa guvu.Upinzani wakagoma.

Upinzani wakafungua kesi mahakama kuu kutaka mahakama itoe mwongozo wa tafisri ya sheria kuhusu uhalali wa wabunge wa zanzibar kuletwa Bara kupiga kura kwenye halimashauri wakati serikali za mitaa na tawala za miji na mikoa si mambo ya Muungano kiasi cha kuleta watu wa Zanzibar ama baadae kupeleka wabunge wa bara Zanzibar.

kabla Mahakama kuu haijatoa mwongozo Uchaguzi ukaitishwa tena kufanyika leo Jumamosi.

Upinzani wakaamua kupeleka zuio mahakamani kuwa uchaguzi wa meya ilala na kinondoni usifanyike leo mpaka kesi ya kuhusu tafisri ya kisheria kuhusu uhalali wa wabunge wa zanzibar kupiga kura kinondoni utolewe na ilitegemewa kesi kufanyika 29/01/2016,ili wale tu wanaoruhusiwa kupiga kura ndio washiriki na si vinginevyo.

Mahakama kuu jana ilitupilia mbali pingamizi la wapinzani na kusema uchaguzi unaweza kuendelea hata kama mwongozo kuhusu wabunge wa Zanzibar haujatolewa.

Wapinzani wakaona isiwe tabu, si na wao wana wabunge viti maalumu toka Zanzibar.

Leo wapinzani nao wakaleta wabunge wa viti maalumu toka Zanzibar wakiwemo wa CUF na CHADEMA. Na CCM kama kawaida walileta wale wa mwanzo japo hawakujua kama na wapinzani wamekopi na kupaste staili ile.

Kwa kitendo hiki ilikuwa ama wabunge wote toka Zanzibar waruhusiwe kupiga kura ama wote wasipige kura.

Kama wangepiga kura wote, CCM ingeshindwa.

Kama wasingepiga kura hao wa Zanzibar kitu ambacho ndio sahihi, bado CCM wangeshindwa uchaguzi.

Wakaona hii ishakuwa noma na mipango yao imebuma.

Ghafla zikatolewa taarifa kuwa uchaguzi hautafanyika kwa sababu kuna ZUIO LA MAHAKAMA.

DUUUUUUUUH.nashangaa kwa kweli.

watu wakahoji limetoka wapi na limetolewa lini na liliwekwa na nani?

Majibu yakawa ni kwamba zuio limetolewa na Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu jana Ijumaa na aliyeweka hilo pingamizi ni kada wa CCM. Hiyo ilifanyika kimyakimya(mpango wa siri huu maana haiwezekani wasiseme).

hali kama hii imetokea Ilala.

Lakini maajabu ni kwamba jana Ijumaa MAHAKAMA KUU imetoa ruling yaani mwongozo kuwa uchaguzi uendelee lakini jana hiyohiyo MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU nayo ikatoa pingamizi uchaguzi usiendelee.

sasa uamuzi upi ufatwe?kati ya ule wa Mahakama kuu na ule wa Mahakama ya hakimu mkazi kisutu.

Kisheria Mahakama kuu ina nguvu kuliko Mahakama ya hakimu mkazi.Na maamuzi ya Mahakama kuu pia yana nguvu kushinda maamuzi ya mahakama ya hakimu mkazi. Hivyo maamuzi ya kwamba uchaguzi uendelee yalipaswa kufuatwa.

Chaajabu ni Kwamba Mkurugenzi kafata maamuzi ya Mahakama ya hakimu mkazi iliyo ndogo kimamlaka kuliko Mahakama kuu iliyo na mamlaka makubwa na maamuzi yake HAYAPASWI KUPINGWA NA MAHAKAMA YA CHINI YAKE.

kwa hali ya kawaida Zuio la mahakama ya kisutu halikuwa na nguvu kisheria mbele ya maamuzi ya Mahakama kuu.

Kwa nini haya yanatokea?Jibu ni kwamba serikali ya Magufuli ni JIPU linalotakiwa kutumbuliwa.

Huu ni zaidi ya uhuni kufanywa na Serikali ya Magufuli.Nasema serikali kwa kuwa wote wamekaa kimya toka uhuni wa kwanza na kuruhusu yote haya tena mbele ya mawakala wa serikali akiwemo mkurugenzi.

Kama ccm wangeona leo wapo wengi basi uchaguzi ungefanyika washinde kwa kutumia wabunge wa Zanzibar.Kwa kuwa hawako tayari kuachia manispaa hizi leo tena wakaahirisha uchaguzi baada ya kugundua hawashindi kwa kuleta wabunge wa zanzibar.

Magufuli wakati analihutubia bunge alisema kuna majipu.

wakati anaomba kura alisema atakuwa Rais wa wote.Maana yake atasimamia misingi ya haki.KIKO WAPI? hata bomoa bomoa haizingatii misingi ya haki.

Kitendo cha mizengwe yote katika uchaguzi wa manispaa ya kinondoni na Ilala imedhihirisha pasi na shaka kuwa CCM na serikali ya Magufuli ni JIPU.

serikali ya Magufuli imeendelea kuruhusu uporwaji wa wazi wa Demokrasia pale ambapo inajulikana CCM haistahili kutoa meya ilala wala kinondoni wala meya wa jiji kwa uwiano wa madiwani.

Ni ujinga unaovuka mipaka kwa watu wazima kwenda kuchukua Wabunge toka Zanzibar eti waje kinondoni kupiga kura.

Haya yote yanafanyika kwa mara ya kwanza katika historia ya Nchi hii na yanafanyika chini ta serikali ya Magufuli.

Yako wapi maelekezo ya papo kwa papo kuhusu ukiukwaji huu wa sheria?

Kwa muda wote haya yote yameachwa yafanyike bila mishipa ya aibu.

Huwezi kuwa kiongozi wa kusimamia maovu badala ya kuyakemea ama huwezi kuwa kiongozi ukawa kimya wakati kuna maovu yanatendeka.

Kitendo kinachofanywa na CCM na Serikali ya Magufuli ni KUTENGENEZA AKINA NKURUNZINZA NA NTARAHAMWE NCHINI kitu ambacho ni jipu linalotakiwa kutumbuliwa.

Inaniwia vigumu kuamini kuwa hawa ndiyo waliweza kumpa haki Lowasa kwenye kura za Urais.

Hivi hata aibu hamuoni?Kuanzia Ikulu kwa Rais mpaka kwa waziri na huyo mkurugenzi?
 
Utakuwa hujui maana ya jipu wewe!! Anyway sio kosa lako!!

Kama BOMOA BOMOA haikuzingatia haki weka ushahidi hapa au peleka ushahidi mahakamani. Usipofanya hivyo tutajua hayo ni majungu na ma wivu ya kitoto.

Hivi meya ni kiongozi kweli wa kumfanya Mhe. Rais aache shughuli na kazi ya kuangalia na kutatua kero za msingi kwa wananchi takribani mil 40 kwa ajili ya u meya wa Kinondoni na Ilala??? Hiyo level ni ya chini sana malizaneni huko msimsumbue Mhe. Rais. Who is mayor by the way??!!!!!!

By the way kuna UKAWA wanataka kuipigia kura CCM Kama wale wa Tanga. Sio swala la goli la mkono ila ni mizengwe ndani ya UKAWA wakati wa kumtafuta nani wa kupeperusha bendera kwenye nafasi hiyo (hutaki unaacha!!!!) msijisifie wingi mkapata surprise mkaanza vurugu kuwa mmeibiwa. Mmeshaandika barua za kulia lia kila mahali kuwa mnaonewa!!!

Angalizo - Hatutaki vurugu DSM, JIPANGENI!!!!!

Queen Esther
Malaya wewe
 
Utakuwa hujui maana ya jipu wewe!! Anyway sio kosa lako!!

Kama BOMOA BOMOA haikuzingatia haki weka ushahidi hapa au peleka ushahidi mahakamani. Usipofanya hivyo tutajua hayo ni majungu na ma wivu ya kitoto.

Hivi meya ni kiongozi kweli wa kumfanya Mhe. Rais aache shughuli na kazi ya kuangalia na kutatua kero za msingi kwa wananchi takribani mil 40 kwa ajili ya u meya wa Kinondoni na Ilala??? Hiyo level ni ya chini sana malizaneni huko msimsumbue Mhe. Rais. Who is mayor by the way??!!!!!!

By the way kuna UKAWA wanataka kuipigia kura CCM Kama wale wa Tanga. Sio swala la goli la mkono ila ni mizengwe ndani ya UKAWA wakati wa kumtafuta nani wa kupeperusha bendera kwenye nafasi hiyo (hutaki unaacha!!!!) msijisifie wingi mkapata surprise mkaanza vurugu kuwa mmeibiwa. Mmeshaandika barua za kulia lia kila mahali kuwa mnaonewa!!!

Angalizo - Hatutaki vurugu DSM, JIPANGENI!!!!!

Queen Esther
Queen kichwa butu au unatumikia ma hawala zako ndiyo maana huwezi kuona tatizo hapo.
Ikiwa ccm ndiyo chanzo cha vurugu kuleta mamluki kutoka Zanzibar wewe huoni kama ni tatizo?
lakini siwezi kukushangaa maana ndio upeo wako ulipoishia.

Unaposema Mayor hana umuhimu wowote sijui kama ww ni mtu wa kawaida au ulevi wa ccm unakuchanganya.
 
Wajuzi wa sheria wamepiga kimya, wewe payupayu.., unafikiri wao siyo wajinga?
Akili huna hivi unajua Elimu yangu?
uliza usilolijua.
Kwa akili yako Halimashauri ya Kinondoni au Ilala ni za Muungano?
Elimu inahitajika sana.
Ungekuwa na Elimu ungejua CCM wanafanya Upuuzi uliopita kiwango.
 
Tafakali kabla ya kujibu hoja usijibu ili uonekane umechangia.
cc. Lizaboni, Ritz, Barafuyamoto, Simiyu yetu na Faizfox
 
Mpendwa nimeomba kujua umuhimu wa Meya ktk mazingira yetu, nielimishe badala ya kunitukana.

Queen Esther

Queen kichwa butu au unatumikia ma hawala zako ndiyo maana huwezi kuona tatizo hapo.
Ikiwa ccm ndiyo chanzo cha vurugu kuleta mamluki kutoka Zanzibar wewe huoni kama ni tatizo?
lakini siwezi kukushangaa maana ndio upeo wako ulipoishia.

Unaposema Mayor hana umuhimu wowote sijui kama ww ni mtu wa kawaida au ulevi wa ccm unakuchanganya.
 
Mpendwa nimeomba kujua umuhimu wa Meya ktk mazingira yetu, nielimishe badala ya kunitukana.

Queen Esther
Kauli yako ya awali ilikuwa ya kijuaji sana kulikokutaka kujua.

Kila Halimashauri inakuwa na mpango wa maendeleo pamoja na Budget yake ikiwa ni pamoja na ukusanyaji wa mapato ya Halimashauri husika. Bila Mayor huwezi kufanya chochote katika Harimashauri husika hata wafanyakazi watashindwa kupata pesa zaidi ya watumishi walioko Serikali kuu.
Nadhani mpaka hapa utakuwa umeelewa kwa uchache.
 
Kauli yako ya awali ilikuwa ya kijuaji sana kulikokutaka kujua.

Kila Halimashauri inakuwa na mpango wa maendeleo pamoja na Budget yake ikiwa ni pamoja na ukusanyaji wa mapato ya Halimashauri husika. Bila Mayor huwezi kufanya chochote katika Harimashauri husika hata wafanyakazi watashindwa kupata pesa zaidi ya watumishi walioko Serikali kuu.
Nadhani mpaka hapa utakuwa umeelewa kwa uchache.

Una maana mapato hayakusanywi mpaka meya apatikane???

Naomba job description ya meya.

Ni kutaka kujua tu mtumishi usiwe mkali. Waalimu wangekuwa wakali Kama wewe wengi wetu tusingefaulu darasa la kwanza.

Queen Esther
 
Hadhi ya Mheshimiwa Magufuli itapanda sana ikiwa atachukuawa msimamo wa haki katika mizozo baina ya vyama vya siasa. ukimya wake kuhusu mambo haya unamfanya aonekana ni ile ile staili ' head I win , tail you loose " ni muhimu are mlinzi wa demokrasia na haki kwa watanzania wote.
 
Hauwezi kukusanya mapato ya Harimashauri au kutumia bila baraza la madiwani kuidhinisha.
pia huwezi kuidhinisha pesa bila ya kuwa na Mayor ambaye ni Mwenyekiti wa kikao chochote cha Madiwani
 
Hadhi ya Mheshimiwa Magufuli itapanda sana ikiwa atachukuawa msimamo wa haki katika mizozo baina ya vyama vya siasa. ukimya wake kuhusu mambo haya unamfanya aonekana ni ile ile staili ' head I win , tail you loose " ni muhimu are mlinzi wa demokrasia na haki kwa watanzania wote.
Ni kweli Mkuu maana Rais hatakiwi kuonyesha Bias ya aina yoyote hata kama vinamkwaza.
Ila kwa Magufuli kuzuwia wapinzani wasifanye mikutano ameonyesha udhaifu wa hali ya juu sana.
 
Back
Top Bottom