change is must
Member
- Aug 1, 2012
- 38
- 5
Binafsi nashangazwa na kitendo cha serikali inayoongozwa na CCM kutokutenda haki kwa vyombo vya habari kwa usawa.
Nina maanisha kitendo cha kulifungia gazeti la Mwanahalisi kwa kukosa weledi wa hali ya juu, wakati kuna chombo cha
habari hapa nchini ambacho kila kukicha kinatoa matamko ya uchochezi wa hali ya juu na kinaachwa huru mpaka leo.
Mwanajamii ukitaka kusikiliza kwa umakini ni yasemayo sikiliza redio imani. Redio hii mara nyingi inazungumza kwa uhuru
sana katika kukashifu dini nyingine tena kwa uwazi na serikali hii inayojiita sikivu haisikii maudhui ya hii redio. Nakama
kweli serikali hii sikivu lazima ijue hata suala la sensa linachochewa na hii redio kuwa waislam wakatae kuhesabiwa.
Samahani kwa wale nilio wagusa katika
hili.
Nina maanisha kitendo cha kulifungia gazeti la Mwanahalisi kwa kukosa weledi wa hali ya juu, wakati kuna chombo cha
habari hapa nchini ambacho kila kukicha kinatoa matamko ya uchochezi wa hali ya juu na kinaachwa huru mpaka leo.
Mwanajamii ukitaka kusikiliza kwa umakini ni yasemayo sikiliza redio imani. Redio hii mara nyingi inazungumza kwa uhuru
sana katika kukashifu dini nyingine tena kwa uwazi na serikali hii inayojiita sikivu haisikii maudhui ya hii redio. Nakama
kweli serikali hii sikivu lazima ijue hata suala la sensa linachochewa na hii redio kuwa waislam wakatae kuhesabiwa.
Samahani kwa wale nilio wagusa katika
hili.