jaba jumah
Senior Member
- Sep 24, 2015
- 150
- 50
Mpango wa maendeleo ya elimu ya juu wa mwaka 2010 umeandaliwa na utekelezaji wake umechangia wanafunzi wa kidato cha sita wanaojiunga na vyuo vikuu kuongezeka kutoka wanafunzi 34,564 mwaka 2009/2010 hadi wanafunzi 40,452 mwaka 2014/2015 sawa na asilimia 14.6.
utaraibu wa utoaji na urejeshwaji mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu umeboreshwa ambapo;
- Dawati la mikopo limeanzishwa katika kila chuo
- Idadi ya wanafunzi ambao wamepata mikopo imeongezeka kutoka wanafunzi 72,035 mwaka 2009/2010 hadi kufikia 99,928 mwezi machi,2015 sawa na ongezeko la asilimia 27.9
Bajeti kwa ajili ya mikopo ya elimu ya juu imeendelea kuongezeka kutoka shilingi bilioni 186.48 mwaka 2010 hadi shilingi bilioni 328.313,44 mwaka 2015 sawa na ongezeko la asilimia 43.2
utaraibu wa utoaji na urejeshwaji mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu umeboreshwa ambapo;
- Dawati la mikopo limeanzishwa katika kila chuo
- Idadi ya wanafunzi ambao wamepata mikopo imeongezeka kutoka wanafunzi 72,035 mwaka 2009/2010 hadi kufikia 99,928 mwezi machi,2015 sawa na ongezeko la asilimia 27.9
Bajeti kwa ajili ya mikopo ya elimu ya juu imeendelea kuongezeka kutoka shilingi bilioni 186.48 mwaka 2010 hadi shilingi bilioni 328.313,44 mwaka 2015 sawa na ongezeko la asilimia 43.2