Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Tanzania inasisitiza kwamba haina njaa licha ya utafiti wa hivi karibuni uliotolewa na shirika la Twaweza kuonesha kwamba asilimia 78 ya watu wanakabiliwa na ukosefu wa chakula kuanzia kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Taarifa za utafiti unaonesha kuwepo njaa nchini Tanzania zimekuja katika wakati ambapo Umoja wa Mataifa umekuwa ukizisaidia nchi ikiwemo za Afrika Mashariki kuanzia Kenya,hadi Ethiopia na Somalia kukabiliana na janga la njaa lililosababishwa na ukame uliozikumba nchi hizo kwa muda.
Hata hivyo Tanzania imeendeleza msimamo wake wa kukanusha kuwepo njaa kama alivyobaini waziri wa kilimo Charles Tizeba. Zaidi sikiliza matangazo yetu ya jioni hii.
Chanzo: DW
Taarifa za utafiti unaonesha kuwepo njaa nchini Tanzania zimekuja katika wakati ambapo Umoja wa Mataifa umekuwa ukizisaidia nchi ikiwemo za Afrika Mashariki kuanzia Kenya,hadi Ethiopia na Somalia kukabiliana na janga la njaa lililosababishwa na ukame uliozikumba nchi hizo kwa muda.
Hata hivyo Tanzania imeendeleza msimamo wake wa kukanusha kuwepo njaa kama alivyobaini waziri wa kilimo Charles Tizeba. Zaidi sikiliza matangazo yetu ya jioni hii.
Chanzo: DW