Serikali, ubinafsi na uislam

Lugombo Nsesi

Senior Member
Jun 16, 2016
126
149
Nimeamua kuandika haya ili kukumbushana machache yanayoendelea kwa sasa.

Kwanza nawatakia waislamu wote mfungo mwema wa Mwezi mtukufu wa ramadhani, ni pongezi kwa kila aliyefunga.
Ila katika hilo, naishangaa Sana serikali kwa kutojali maana ya mwezi mtukufu ni nini kwa sababu ifuatayo!!

Kumeibuka baadhi ya watu kuuchafua uislam na waislam wote kwa kupost picha chafu na maneno machafu juu ya mtume Mohammad bila kujali kwamba tupo kwenye mwezi mtukufu.

Kila mtu ni shahidi na bila Shaka mlishaona na kusoma ujumbe huo.

Swali langu:
1. Je, huu sio uchochezi wa kidini?

2. Sheria ya mitandao ni kwajiri ya nani Kama sio kwa hawa wachochezi?

3. Serikali inataka waislam wamue cha kufanya, jamani Ramadhani ni kwa Amani sio malumbano.

Ninaitaka serikali iwatafute wote wanaoleta upuuzi mitandaoni, lasivyo ituambie sheria ya mitandao ni kwa viongozi tuu, na huku kwingine ni watu watukane.

Wakuu naomba kutoa hoja ila matusi hayaruhusiwi plzzz...
 
Nimeamua kuandika haya ili kukumbushana machache yanayoendelea kwa sasa.

Kwanza nawatakia waislamu wote mfungo mwema wa Mwezi mtukufu wa ramadhani, ni pongezi kwa kila aliyefunga.
Ila katika hilo, naishangaa Sana serikali kwa kutojali maana ya mwezi mtukufu ni nini kwa sababu ifuatayo!!

Kumeibuka baadhi ya watu kuuchafua uislam na waislam wote kwa kupost picha chafu na maneno machafu juu ya mtume Mohammad bila kujali kwamba tupo kwenye mwezi mtukufu.

Kila mtu ni shahidi na bila Shaka mlishaona na kusoma ujumbe huo.

Swali langu:
1. Je, huu sio uchochezi wa kidini?

2. Sheria ya mitandao ni kwajiri ya nani Kama sio kwa hawa wachochezi?

3. Serikali inataka waislam wamue cha kufanya, jamani Ramadhani ni kwa Amani sio malumbano.

Ninaitaka serikali iwatafute wote wanaoleta upuuzi mitandaoni, lasivyo ituambie sheria ya mitandao ni kwa viongozi tuu, na huku kwingine ni watu watukane.

Wakuu naomba kutoa hoja ila matusi hayaruhusiwi plzzz...
Sisi wenye Imani tunaamini Mungu huwa *hapiganiwi* au has aid Wii kupigana. Akiamua huamua mwenyewe kwa nafasi yake na hulipa kisasi mwenyewe kwa jinsi inavyompendeza.
Cool down,
Kazana kusukuma Maombi haja zako zijibiwe.

Kuna watu humu "kutwa" kutukana ukatoliki mwisho wa siku wanaumbuka wenyewe.
"Suala la Dini ni la binafsi au kikundi cha watu Serekali haina Dini.
 
Kwani Mungu wako hawezi kujitetea?Sasa anakutetea vipi kama na yeye ni dhaifu!! Anyway labda umtafute tundu lisu mkamtetee mahakamani.
 
Nimeamua kuandika haya ili kukumbushana machache yanayoendelea kwa sasa.

Kwanza nawatakia waislamu wote mfungo mwema wa Mwezi mtukufu wa ramadhani, ni pongezi kwa kila aliyefunga.
Ila katika hilo, naishangaa Sana serikali kwa kutojali maana ya mwezi mtukufu ni nini kwa sababu ifuatayo!!

Kumeibuka baadhi ya watu kuuchafua uislam na waislam wote kwa kupost picha chafu na maneno machafu juu ya mtume Mohammad bila kujali kwamba tupo kwenye mwezi mtukufu.

Kila mtu ni shahidi na bila Shaka mlishaona na kusoma ujumbe huo.

Swali langu:
1. Je, huu sio uchochezi wa kidini?

2. Sheria ya mitandao ni kwajiri ya nani Kama sio kwa hawa wachochezi?

3. Serikali inataka waislam wamue cha kufanya, jamani Ramadhani ni kwa Amani sio malumbano.

Ninaitaka serikali iwatafute wote wanaoleta upuuzi mitandaoni, lasivyo ituambie sheria ya mitandao ni kwa viongozi tuu, na huku kwingine ni watu watukane.

Wakuu naomba kutoa hoja ila matusi hayaruhusiwi plzzz...
Yaani Matusi anayotukanwa Yesu Kristo Mwana wa nazalet humu mitandaoni, ingekuwa wakristo wanalalamika Kama ww, Kutaka serikali iwafuatilie sijui ingekuwaje, unataka serikali iheshimu uislam wakat ishakuambia haina dini?
 
Nimeamua kuandika haya ili kukumbushana machache yanayoendelea kwa sasa.

Kwanza nawatakia waislamu wote mfungo mwema wa Mwezi mtukufu wa ramadhani, ni pongezi kwa kila aliyefunga.
Ila katika hilo, naishangaa Sana serikali kwa kutojali maana ya mwezi mtukufu ni nini kwa sababu ifuatayo!!

Kumeibuka baadhi ya watu kuuchafua uislam na waislam wote kwa kupost picha chafu na maneno machafu juu ya mtume Mohammad bila kujali kwamba tupo kwenye mwezi mtukufu.

Kila mtu ni shahidi na bila Shaka mlishaona na kusoma ujumbe huo.

Swali langu:
1. Je, huu sio uchochezi wa kidini?

2. Sheria ya mitandao ni kwajiri ya nani Kama sio kwa hawa wachochezi?

3. Serikali inataka waislam wamue cha kufanya, jamani Ramadhani ni kwa Amani sio malumbano.

Ninaitaka serikali iwatafute wote wanaoleta upuuzi mitandaoni, lasivyo ituambie sheria ya mitandao ni kwa viongozi tuu, na huku kwingine ni watu watukane.

Wakuu naomba kutoa hoja ila matusi hayaruhusiwi plzzz...
Tunapozungumzia suala la udini,source yake huwa ni chokochoko zinazoletwa na ndugu zetu wakristo.

Kama unataka kuamini hilo hebu fuatilia mada zinazohusu uislam uone jinsi wanavyokejeli wenzao,then fuatilia mada zinazowahusu wao uone mwitikio wa waislam ukoje.

Hata ktk teuzi wao ndo hupendelea zaid wateuliwe ktk nyadhifa mbalmbali.

Akiteuliwa muislam huwa roho zinawauma sana.
 
Nimependa point number 3.
Sasa hicho kinachowazuia kufanya ni kipi tena jeshi la polisi limepata kiranja mpya anaetaka kujaribu majukumu kama hayo hivyo ruksa kulianzisha.

We love challenges
 
kama unaiamini dini yako ni ya kweli na mitume na manabii wako ni wakweli basi huyo anayewakashifu atakuja ataadhibiwa na Muumba mwenyew huna haja ya kuhangaika haitasaidia kitu........cjui kwann wengine mnakua sensitive hvyo as if hauiamini imani yako!!!
 
Nimeamua kuandika haya ili kukumbushana machache yanayoendelea kwa sasa.

Kwanza nawatakia waislamu wote mfungo mwema wa Mwezi mtukufu wa ramadhani, ni pongezi kwa kila aliyefunga.
Ila katika hilo, naishangaa Sana serikali kwa kutojali maana ya mwezi mtukufu ni nini kwa sababu ifuatayo!!

Kumeibuka baadhi ya watu kuuchafua uislam na waislam wote kwa kupost picha chafu na maneno machafu juu ya mtume Mohammad bila kujali kwamba tupo kwenye mwezi mtukufu.

Kila mtu ni shahidi na bila Shaka mlishaona na kusoma ujumbe huo.

Swali langu:
1. Je, huu sio uchochezi wa kidini?

2. Sheria ya mitandao ni kwajiri ya nani Kama sio kwa hawa wachochezi?

3. Serikali inataka waislam wamue cha kufanya, jamani Ramadhani ni kwa Amani sio malumbano.

Ninaitaka serikali iwatafute wote wanaoleta upuuzi mitandaoni, lasivyo ituambie sheria ya mitandao ni kwa viongozi tuu, na huku kwingine ni watu watukane.

Wakuu naomba kutoa hoja ila matusi hayaruhusiwi plzzz...
Waislam mpunguze pia kulalamika mnajitia unyonge mnaona mnaonewa kila mahali kumbe hamna hata mwenye habari na nyie hisia kama hizo ndio zinakomaa na wenye uwezo wanaanzisha vikundi kigaidi ili kutafuta usawa au heshima wanayodhani haipo kumbe ni bure tu alafu swala la makosa ya kimtandao ni hadi pawe na mlalamikaji peleka kesi mahakamani mshtaki mtu atashuulikiwa ni kama mtaani tu sheria zinavunjwa sana lakini kesi nyingi zinaishia hukohuko mtaani chache tu ndo zinafika kwenye vyombo ndio kama mitandao leo
 
Eti waislam "waamue cha kufanya"
Amueni tu hamtakuwa wa kwanza. Ndugu zenu Nigeria, Somalia na Iraq huko washaamua.
Dini yenu naturally ni dini ya kuleta vita na maafa.
 
Back
Top Bottom