POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,402
Katika rasimu hii hii ya katiba mfumo wa serkali 3 hauwezekani na yeyote anayejiona kuwa ni lazima iwepo basi bila shaka anaota na mi binafsi naona ni bora tu angeamka toka katika usingizi wake mana anajipotezea muda wake,hizo njama za kuvunja muungano tumeshazishtukia hazikubaliki.
Thread za weekend watu na viroba na stress zao, sasa hapa umeandika nini? kwa nini serikari tatu haiwezekani?