Serikali tatu bado zatamalaki Dodoma

Serikali tatu bado zatamalaki Dodoma

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Wajumbe wamependekeza uwepo wa Makamu wa Rais watatu. Wa kwanza ni yud ambaye anatokana na Mgombea Mwenza wa Jamhuri ya Muungano. Wa pili ni Rais wa Zanzibar ambaye atakuwa Makamu wa Pili wa Rais. Na wa tatu ni Makamu wa Tatu wa Rais ambaye ndiye atakayekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania Bara.

Sasa CCM inabisha kuhusu nini? Kuna raha gani kubebesha vyeo vingi kwa mtu mmoja? Ubishi mwingine ni usanii tu.

Chanzo: Mwananchi
 
Sikilizeni kwa makini Zanzibar hawataki raisi wao awe makamo wa pili au wa tatu ,mahesabu ni haya chukueni miaka yote Uraisi wa Jamhuri ya Muungano ila makamo wa kwanza ni lazima piga ua galagiza awe ni Raisi wa Zanzibar ,hakuna cha mwenza wala hawara.

na hao Miccm isifikiri kwa kuleta rasimu yao hadharani na kuguzia mambo hayo itawasababishia watu kuona umuhimu wa kurudi huko, huko harudi mtu na watazidi kuondoka posho ikishawatosha ,serikali ni tatu ya Tanganyika ,ya Zanzibar na inayounganisha ya Muungano.
 
Jaman, huku kutapatapa kwa CCM, kisa wazo la serikali tatu lilikuwa la upinzani na warioba basi wameona wakikubali moja kwa moja wataonekana wameshindwa. Wajinga kweli, walishindwa nn kuboresha mapema, walipoteza siku zote za mwanzo kwa ubishi na mbwembwe zote hawana lolote hao.
 
Jaman, huku kutapatapa kwa CCM, kisa wazo la serikali tatu lilikuwa la upinzani na warioba basi wameona wakikubali moja kwa moja wataonekana wameshindwa. Wajinga kweli, walishindwa nn kuboresha mapema, walipoteza siku zote za mwanzo kwa ubishi na mbwembwe zote hawana lolote hao.

Umeelewa kinachosemwa ?
 
mnao shabikia huu uzi wote magamba ila watanganyika wa kweli hatutaki porojo zaidi ya kwanza serikali ya tanganyika iliyo huru na iitwe tanganyika na sio bara kama anavyoita kikwete hiyo serikali ya muungano hata ikiwa dhaifu haina faida kiuchumi
 
Back
Top Bottom