Wakuu tangu nitue hapa katikati ya nchi nimeshuhudia hali ya kukatika kwa umeme mara kwa mara na kipindi hiki ni masika je wakuu kuna mtu anatarifa yeyote kuhusiana na tatizo hili katika mkoa huu??
huku mbagala(dsm) kuna eneo lep ni siku ya nne umemehauna nguvu unawaka na kuzimika.
ukiwapigia emergency unit wanasema mafundi wapo njiani.
sasa sijui mpaka leo hii wako wapi maana bado hawajafika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.