Sasa mbowe yupo serikalini?wewe ni kilazaaaaaaa,,,mkubwa sanaaaaaaaaaaaaa,,,,tumia akili,,,,viongozi walioko madarakani ndio waliotupeleka hapa tulipofikia sasa,,,,waondoke wawapishe watu wenye uwezo wa kuongoza nchi,,,CCM awana jipya tena ndani ya nchi hii,,,,nguvu zao zimeishia hapo,,,,,