TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,812
- 21,398
Haya madude kuna watu uwaambii kitu aseee!.
Asilimia kubwa wamiliki wake ni wachina flani hivi, wameyasambaza mikoa mingi sana na juzi juzi nimepishana nao Arusha maeneo ya shivaz wakiwa na Krugger yao nyeusi wakila bata.
Wakiwa wamebeba sarafu walizokusanya kwenye hizo machine krugger unaiona imelala daaaa..!!
Asilimia kubwa wamiliki wake ni wachina flani hivi, wameyasambaza mikoa mingi sana na juzi juzi nimepishana nao Arusha maeneo ya shivaz wakiwa na Krugger yao nyeusi wakila bata.
Wakiwa wamebeba sarafu walizokusanya kwenye hizo machine krugger unaiona imelala daaaa..!!