Serikali ni kikundi cha watu kilichojitwalia madaraka kutoka kwa wananchi

Katika hali ya kupunguza makali ya kikundi hicho (serikali), ukabuniwa utaratibu wa wananchi kujilinda kupitia wawakilishi wao (bunge), na pia wengine wadhibiti kwa kuamua tu haki ya wananchi ni hiii.
Hata hivyo, hali huwa mbaya zaidi inapotokea kwamba wale wawakilishi na waamuzi wa haki, kwa ujinga wao au nia ovu huungana na serikali kumdhibiti mwananchi.
Very sad
 
Kama upo kichwani mwangu vile, nimekuwa nikiwaza kama wewe kihusu utapeli wa serikali kwa watu wake japo nimekuwa tena nawaza je bila serikali haya maendeleo yatafanyikaje? Je majamaa yenye nguvu si yatadhulumu watu yanavyotaka yenyewe!

Mipaka ni kero kubwa sana kwa binadamu, yaani sisi ni kama ng'ombe wa masai ni marufuku kujichunga nje ya zizi la masai.

Kuna uzalendo feki uliopanfikizwa kwa binadamu,eti kuna watu ni wazalendo wanapigania taifa dhidi ya taifa lingine.

Huwa nawaza katika vita kuna watu wanapigana japo baba yao ni mmoja ila mataifa yao tofaufi.

Mfano vita ya Uganda mwanajedhi mganda wa kijaluo alimpiga risasi mwanajeshi mtanzania wa kijaliuo.

Acha nihitimshe hapa ila serikali ni upuuzi ulioanzishwa na wazungu.
Binadamu wote tuamke sio wa nchi hii tu labda Tz No!
1.Askari waache kujiunga na majeshi
2.Wafanyakazi wanaitumikia serikali na system zake waache kazi mara moja.
3. Msifanye kazi kwenye viwanda vinavyotuharibu sisi binadamu na wanayama, mfano viwanda vya mbolea vinatuharibia ardhi yetu.
4. Msifanye kazi kwenye viwanda kama Cocacola, Pepsi, Mo, Azam nk hawa wote wanazalisha sumu ili kuwapa watu watumie eti vyakula na vinywaji.
5. Watu amkeni msitumie dawa za kemikali kwenye miili yenu wala kufanya kazi.
6. Watu wote mnaweza kuamua kutolipa kodi na hakuna magereza itakayotosha kuwafunga wote, hapa umoja ni nguvu.
Nk nk ongezeeni
 
Binadamu wote tuamke sio wa nchi hii tu labda Tz No!
1.Askari waache kujiunga na majeshi
2.Wafanyakazi wanaitumikia serikali na system zake waache kazi mara moja.
3. Msifanye kazi kwenye viwanda vinavyotuharibu sisi binadamu na wanayama, mfano viwanda vya mbolea vinatuharibia ardhi yetu.
4. Msifanye kazi kwenye viwanda kama Cocacola, Pepsi, Mo, Azam nk hawa wote wanazalisha sumu ili kuwapa watu watumie eti vyakula na vinywaji.
5. Watu amkeni msitumie dawa za kemikali kwenye miili yenu wala kufanya kazi.
6. Watu wote mnaweza kuamua kutolipa kodi na hakuna magereza itakayotosha kuwafunga wote, hapa umoja ni nguvu.
Nk nk ongezeeni
Wanaoiamini mfumo wa serikali watapinga na wale wanaonufaika watakuja na hoja ya uzalendo wa nchi wakati ni uongo. Hakuna cha uzalendo wa nchi wala baba yake na nchi.
Huwa nashangaa kwa nini kina J.K.N walikubali kurithi mfumo wa nchi wa wazungu na kuendeleza ukoloni kwa wabantu wenzao.
Ukweli ni kwamba tumefanywa watumwa wa watu wachache tunaowahudumia kila kitu huku sisi maisha yetu magumu.
 
Back
Top Bottom