Serikali na wabunge wa CCM wakimbia Bunge

Serikali na wabunge wa CCM wakimbia Bunge

Mpitagwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2012
Posts
2,338
Reaction score
1,126
Serikali ya CCM na wabunge wake wamekimbia bunge jioni hii. Kuna mawaziri 3 na wabunge wasiozidi 10 wa CCM. Eti wanakikao cha kuwekana sawa.
 
Peopleeeeeeeeeeeeessss poweeeeer magogoniTunaingia kwa kishindo
 
Lakini wanalipwa kuhudhuria vikao vya bunge sio kufanya vikao vya chama. Huu ni upuuzi mwingine kupoteza rasilimali za taifa kwa kujali chama
 
Back
Top Bottom