Mpitagwa JF-Expert Member Joined Feb 10, 2012 Posts 2,338 Reaction score 1,126 Apr 19, 2012 #1 Serikali ya CCM na wabunge wake wamekimbia bunge jioni hii. Kuna mawaziri 3 na wabunge wasiozidi 10 wa CCM. Eti wanakikao cha kuwekana sawa.
Serikali ya CCM na wabunge wake wamekimbia bunge jioni hii. Kuna mawaziri 3 na wabunge wasiozidi 10 wa CCM. Eti wanakikao cha kuwekana sawa.
R resiro Member Joined Apr 2, 2012 Posts 10 Reaction score 0 Apr 19, 2012 #2 Peopleeeeeeeeeeeeessss poweeeeer magogoniTunaingia kwa kishindo
Ernesto Che JF-Expert Member Joined Jan 7, 2011 Posts 1,114 Reaction score 293 Apr 19, 2012 #3 Lakini wanalipwa kuhudhuria vikao vya bunge sio kufanya vikao vya chama. Huu ni upuuzi mwingine kupoteza rasilimali za taifa kwa kujali chama
Lakini wanalipwa kuhudhuria vikao vya bunge sio kufanya vikao vya chama. Huu ni upuuzi mwingine kupoteza rasilimali za taifa kwa kujali chama