Sura-ya-Kwanza
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 567
- 10
Kuna thread moja hapo awali ambayo iliuliza..." Kama ungepewa urais ungeanza wapi kunyanyua hali za wananchi?" na kwa mantiki hiyo nikaona kwa nini nisiulize kama...
'Ungepewa Uenyekiti wa Chama- iwe chama tawala au upinzani utatufikisha vipi 2010'?
Je kuongoza chama ni sawa na kuongoza serikali?
Ni nani zaidi katika kuleta Maendeleo ya Jamii, Siasa na Uchumi?-Serikali au Chama?
'Ungepewa Uenyekiti wa Chama- iwe chama tawala au upinzani utatufikisha vipi 2010'?
Je kuongoza chama ni sawa na kuongoza serikali?
Ni nani zaidi katika kuleta Maendeleo ya Jamii, Siasa na Uchumi?-Serikali au Chama?