lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,174
- 33,464
Kwa ujinga, CCM kupitia wanachama wait walioko serikalini IGP na hata majaji msifanye kosa la kumkamata Lissu siku akirudi na kumfungulia vijikesi visivyo na kichwa Wala miguu ili kumkwamisha asigombee Urais.
Mkifanya hivyo mtakua mmefanya makosa makubwa sana ya kiufundi yatakayo wagharimu sana
Mkimkamata na kumfungulia kesi mtakua mmempigia kampeni kitaifa na kimataifa. Mtawafanya watu wawe na huruma nae, hivyo kelele zitapingwa ndani na nje.
Watu wengi watamjua hata wale bao hawakua wakimjua. Watu watakumbuka maumivu aliyoyapata na hivyo kuwachukia nyie zaidi, kumbuka hakuna aliekamatwa juu ya alichofanyiwa.
Umoja wa Mataifa utingilia,
USA itaingilia,
EU itaingilia,
AU itaingilia,
Human Rights Watch wataingilia, n.k
Na mkilazimika kumwachia hamtaweza kumzuia kwa lolote.
Kwa namna yeyote mtakayojaribu kumsumbua ndio mtakua mkimpaisha kitaifa na kimataifa.
Kurudi kwa Lissu kutavutia vyombo vyote vikubwa vya Mabeberu, makondoo dume na majogoo wote duniani.
BBC, DW, CNN, Al Jazeera, SKY NEWS, VOA, FRANCE INT,etc. Bila kusahau watu wa FATOU BENSUDA, CIA, BSS etc
Nawapa ushauri, shauri yenu.
Mkifanya hivyo mtakua mmefanya makosa makubwa sana ya kiufundi yatakayo wagharimu sana
Mkimkamata na kumfungulia kesi mtakua mmempigia kampeni kitaifa na kimataifa. Mtawafanya watu wawe na huruma nae, hivyo kelele zitapingwa ndani na nje.
Watu wengi watamjua hata wale bao hawakua wakimjua. Watu watakumbuka maumivu aliyoyapata na hivyo kuwachukia nyie zaidi, kumbuka hakuna aliekamatwa juu ya alichofanyiwa.
Umoja wa Mataifa utingilia,
USA itaingilia,
EU itaingilia,
AU itaingilia,
Human Rights Watch wataingilia, n.k
Na mkilazimika kumwachia hamtaweza kumzuia kwa lolote.
Kwa namna yeyote mtakayojaribu kumsumbua ndio mtakua mkimpaisha kitaifa na kimataifa.
Kurudi kwa Lissu kutavutia vyombo vyote vikubwa vya Mabeberu, makondoo dume na majogoo wote duniani.
BBC, DW, CNN, Al Jazeera, SKY NEWS, VOA, FRANCE INT,etc. Bila kusahau watu wa FATOU BENSUDA, CIA, BSS etc
Nawapa ushauri, shauri yenu.