Asante kwa elimu lakini nilitegemea tuanze kwenda Moro na Dom Kwa dk 60... Na hiyo ingetumika kujifunza kuendesha network zote zitakazoanzishwa. By the way kwa nini network ya mwendokasi posta/kariakoo to kimara ilianza mapema kabla ya mbagala na pugu. Kwa nini tusingesubiria zote zikamilike ndio tuanze,