Serikali kufikisha maji vijijini kwa 85%

Serikali kufikisha maji vijijini kwa 85%

hii hii ya jiwe anayekuapua 1.5 bl kwa mwaka ndo atapeleka maji vijijin. Kwan sasa hivi ni asilmia ngap wanatumia
Nadhani haujasoma hata makala yenyewe kuelewa ni jinsi gani watafanikisha kufikisha hiz asilimia 85% za maji vijijini
 
  • Thanks
Reactions: Kop
Hongera sana wizara ya maji, kazi yenu inaonekana, mitaa mingine ilikuwa inasoma tu magazetini maji ya dawasa, lakini sasa tunaona miundo mbinu inawekwa dar nzima. Hongera kitila hongera mbalawa hongera JPM. Kazi unayofanya JPM hakika vizazi vyote daima vitakukumbuka.
 
Hii sirikali ya JIWE inatapakanya fedha kwenye vitu visivyo na tija,maji mtayasikia TBC.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Tatizo takwimu za vijiji zinaishia Dar es salaam?
 
Hizo niporojo tu.Miradi ya Maji inayotekelezea sasa hivi vijijini Mingi ni ya WSDP I ambapo utekelezaji wake ulianza mwaka 2007 na Mingi haijaisha kwa ukosefu wa fedha.Itawezaje kutekeleza kwa miaka miwili????
 
Nadhani haujasoma hata makala yenyewe kuelewa ni jinsi gani watafanikisha kufikisha hiz asilimia 85% za maji vijijini
mimi niko mwanza 1 km kutoka ziwan hatuna maji. na kila tukifatilia tunapgwa danadana.hapo ni tangu nchi ipateuhuru.itakuaje huko shatimbi
 
Kwanini Serikali hii isitumie hizo ndege Mpya kupekekea maji vijijini
 
pumbambavu
wewe
serikari ya nchi gani hiyo iliyofikisha maji kwa 85%?
 
Back
Top Bottom