#COVID19 Serikali kuanza kampeni ya kuhamasisha watumishi katika taasisi zake kupata chanjo

Kuna mzigo utakuwa umebaki na expiry date inakaribia, hapa majuzi inaelekea beberu atakuwa kapiga sound kuhusu majaribio yake kwenye panya kubuma pale jamhuri ya kosta rika.
 
Mnaotetea huu upuuzi wa kulazimishana chanjo wote Hamna Akili
JamiiForums-293353744.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fedha ya mzungu itawatesa Sana na watu hawachanjwi. Wana CCM ndo wameugomea mpango huu.Wako 8m wangekubali zingeisha kwa siku moja tu.waliodungwa JJ hata laki nne hawafiki.

Hapo mwenyekiti aupime ushawishi wake kwenye chama.
Na apime ushawishi wake kwenye nchi kabla ya kuwaza 2025.
 
Dah mambo mengine bana,putin nchi yake inatoa chanjo lakini ugonjwa umekuja kukamata wasaidizi wake wa karibu na yeye kajitenga kwa muda.
Sasa wao si wana chanjo yao?
 
Kazi simple tu kwa serikali, kama masharti ya mkopo yanalazimisha watu asilimia kadhaa kuchanja wazijaze fomu feki zikionesha Adalah Juma kachanja, agnes chavala nae.!
 
Serikali imesema kwamba kuanzia Oktoba 1, 2021 itaanza kampeni ya chanjo ya UVIKO kwa watumishi wote wa serikali wakianza na sekta ya afya yenyewe

View attachment 1956851
Hata sura yake ni sura ya shari. Huyu anayezungumza ni nani?? Afoleni yeye kwanza na mke wake na watoto wake na wazazi wake na wakwe zake na ndugu zake wote wachanje!! Tujiridhishe kwanza kuwa jkoo wake wote wamechanjwa ndio tufikirie kumsikiliza au kumpuuza!! Sijui kama anajua maana ya neno HIARI!! Mama tumbua hii mtu fasta!!
 
Serikali imesema kwamba kuanzia Oktoba 1, 2021 itaanza kampeni ya chanjo ya UVIKO kwa watumishi wote wa serikali wakianza na sekta ya afya yenyewe

View attachment 1956851
Uzuri, kamusi ya kiswahili inaweka wazi kuwa kuna tofauti kubwa ya kimantiki kati ya maneno " kuhamasisha kuchanja" na "kulazimisha kuchanja". Msemaji kwenye clip katumia maneno "kuhamasisha kuchanja"
 
Back
Top Bottom