Serikali kama imeshindwa industrial revolution tafadhali fanyeni agricultural revolution

bushland

JF-Expert Member
Mar 6, 2015
7,015
4,984
Jamani kulingana na kichwa cha habari hapo juu,

Tafadhali serikali naomba mfanye mapinduzi ya kilimo kwani ya viwanda yametushinda kutokana na uhitaji mkubwa wa gharama za manunuzi ya machine, mitaji pamoja na changamoto nyingine lukuki.

Naomba tufanye kilimo kwani tukifanya mapinduzi ya kilimo ni rahisi pia kupata wawekezaji wa viwanda. Nguvu kazi ya vijana tunayo ya kutosha tena imezidi. Maeneo ya ardhi ya kilimo tunayo mengi tu.

Maji ya mabwawa, Mito maziwa vinatosheleza kuleta mapinduzi ya kilimo. Hatuwezi kufanya mapinduzi ya viwanda ilhali kilimo kimetushinda jamani. Mfano mzuri ni nchi ya America mapinduzi ya viwanda yalianza miaka ya 1820-1870 na yalileta mafanikio makubwa sana wakati huo na hadi sasa.

Serikali itoe maeneo, vifaa vya kilimo, madawa, mbegu kwa vijana kupitia serikali za mitaa waone nguvu ya vijana tulio nao.

Sasa basi naomba tuangalie faida za mapinduzi ya kilimo katika nchi yetu.
1.Ajira, idadi kubwa ya watu wasiokuwa na kazi watajiajiri katika kilimo, na hivo tukaondoa tatizo la ajira nchini.
2.tutakuwa na viwanda vingi ikiwemo vya nguo zitokanazo na kilimo tukifanyacho kama Vile nguo za Sufi, viatu vya ngozi, kutokana na ufugaji. Nk.
3.fedha za kigeni, nchi yetu inaweza pata fedha za kigeni kwa wingi kutokana na kuuza Mazao yetu nje.

4.Msimu WA mavuno Ni msimu mzuri kwa mwaka kwani watu wengi huwa nafuraha kutokana na kwamba mzunguko WA hela unakuwa.vizuri.
5.kilimo Ni chanzo kikubwa cha upatikanaji WA chakula cha kutosha katika nchi na katika familia kwa jumla

.
Hapo juu nimeeleza kwa uchache faida zitokanazo na mapinduzi ya kilimo
Sasa basi baada ya kilimo viwanda vitatokea Tu ,
Hatuwezi waza kujenga viwanda wakati hakuna uzalishaji WA kutosha,
Kuna vitu vya kufanya siasa lakini sio maisha.yetu wenyewe jamani,
 
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(28).jpg
moja ya machine ya kuvunia Mazao katika kilimo kikubwa kwa muda mfupi.
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(26).jpg
 
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(30).jpg
njia ya kisasa ya ukamuaji WA maziwa ambapo tunaweza pata maziwa mengi kwa wakati mmoja
 
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(31).jpg
machine ya kuvuna,
Watanzania tuachane na Habari za siasa kwani wanaofaidika Ni wachache tofauti na wingi wetu , wala tusisubiri viwanda hiyo Ni ndoto za abunuasi kwa sasa.
Mapinduzi ya kilimo ndio huleta mapinduzi ya viwanda hata nchi za magharibi ndivo ilivokuwa.

Kwa sasa serikali isaidiane na wananchi kwa pamoja tulete mapinduzi ya kilimo
 
Jamani kulingana na kichwa cha habari hapo juu,

Tafadhali serikali naomba mfanye mapinduzi ya kilimo kwani ya viwanda yametushinda kutokana na uhitaji mkubwa wa gharama za manunuzi ya machine, mitaji pamoja na changamoto nyingine lukuki.

Naomba tufanye kilimo kwani tukifanya mapinduzi ya kilimo ni rahisi pia kupata wawekezaji wa viwanda. Nguvu kazi ya vijana tunayo ya kutosha tena imezidi. Maeneo ya ardhi ya kilimo tunayo mengi tu.

Maji ya mabwawa, Mito maziwa vinatosheleza kuleta mapinduzi ya kilimo. Hatuwezi kufanya mapinduzi ya viwanda ilhali kilimo kimetushinda jamani. Mfano mzuri ni nchi ya America mapinduzi ya viwanda yalianza miaka ya 1820-1870 na yalileta mafanikio makubwa sana wakati huo na hadi sasa.

Serikali itoe maeneo, vifaa vya kilimo, madawa, mbegu kwa vijana kupitia serikali za mitaa waone nguvu ya vijana tulio nao.

Sasa basi naomba tuangalie faida za mapinduzi ya kilimo katika nchi yetu.
1.Ajira, idadi kubwa ya watu wasiokuwa na kazi watajiajiri katika kilimo, na hivo tukaondoa tatizo la ajira nchini.
2.tutakuwa na viwanda vingi ikiwemo vya nguo zitokanazo na kilimo tukifanyacho kama Vile nguo za Sufi, viatu vya ngozi, kutokana na ufugaji. Nk.
3.fedha za kigeni, nchi yetu inaweza pata fedha za kigeni kwa wingi kutokana na kuuza Mazao yetu nje.
4.Msimu WA mavuno Ni msimu mzuri kwa mwaka kwani watu wengi huwa nafuraha kutokana na kwamba mzunguko WA hela unakuwa.vizuri.
5.kilimo Ni chanzo kikubwa cha upatikanaji WA chakula cha kutosha katika nchi na katika familia kwa jumla.
Hapo juu nimeeleza kwa uchache faida zitokanazo na mapinduzi ya kilimo


Nini tofauti kati ya industrial na agricultural revolution? Unaelewa haya mambo lkn?
 
Tatizo lak
Nini tofauti kati ya industrial na agricultural revolution? Unaelewa haya mambo lkn?
o hapa utaleta siasa maana wewe Ni mmoja Kati Yao, kilimo Ni kilimo na viwanda Ni viwanda.
Nchi nyingi za magharibi mapinduzi ya kilimo yalianza tangy karne ya 13, ndo yakaja mapinduzi ya viwanda,

Hapa tutapiga blah blah za viwanda wakati hata umeme hautoshi na Kuna maeneo mengi umeme haujafika.
 
Tatizo lak
o hapa utaleta siasa maana wewe Ni mmoja Kati Yao, kilimo Ni kilimo na viwanda Ni viwanda.
Nchi nyingi za magharibi mapinduzi ya kilimo yalianza tangy karne ya 13, ndo yakaja mapinduzi ya viwanda,

Hapa tutapiga blah blah za viwanda wakati hata umeme hautoshi na Kuna maeneo mengi umeme haujafika.


Huwezi kutofautisha industrial na agricultural revolution leo hii, unalingsnisha visivyo lingana, hatuishi Karne ya 13 leo ni karne ya 21!
Na ili Kilimo kifanikiwe unahitaji mashine, na ili uwe na Mashine unahitaji kiwanda na ili kilimo kifanikiwe unahitaji umeme na maji na huwezi kufanikisha kuwa na umeme na maji bila ya kuwa na Viwanda!
 
Huwezi kutofautisha industrial na agricultural revolution leo hii, unalingsnisha visivyo lingana, hatuishi Karne ya 13 leo ni karne ya 21!
Na ili Kilimo kifanikiwe unahitaji mashine, na ili uwe na Mashine unahitaji kiwanda na ili kilimo kifanikiwe unahitaji umeme na maji na huwezi kufanikisha kuwa na umeme na maji bila ya kuwa na Viwanda!
Umeme na maji hapo juu nshasema tunayo ya kutosha, tutaanzisha VIP viwanda wakati hatuna raw materials? Hatuna umeme WA kutosheleza, hatuna mitaji ya kutosha kuanzisha mitambo mbali mbali ya viwanda.?
Kwenye kilimo mashine zitzkazoitajika kwa sasa tutagiza nje kwa zile ambazo hatuna uwezo nazo na nyingine VETA itatengeneza.

Japo tupo karne ya 21 lakini kwa maendeleo ya nchi yetu yalipo sasa Ni sawa na ilivikuwa marekani ile miaka ya 1700
 
Umeme na maji hapo juu nshasema tunayo ya kutosha, tutaanzisha VIP viwanda wakati hatuna raw materials? Hatuna umeme WA kutosheleza, hatuna mitaji ya kutosha kuanzisha mitambo mbali mbali ya viwanda.?
Kwenye kilimo mashine zitzkazoitajika kwa sasa tutagiza nje kwa zile ambazo hatuna uwezo nazo na nyingine VETA itatengeneza.

Japo tupo karne ya 21 lakini kwa maendeleo ya nchi yetu yalipo sasa Ni sawa na ilivikuwa marekani ile miaka ya 1700


Unaposema VETA itatengeneza mashine tayari umeshaongelea Viwanda, au labda kwa neno Viwanda unaelewa nini?
 
Huwezi kutofautisha industrial na agricultural revolution leo hii, unalingsnisha visivyo lingana, hatuishi Karne ya 13 leo ni karne ya 21!
Na ili Kilimo kifanikiwe unahitaji mashine, na ili uwe na Mashine unahitaji kiwanda na ili kilimo kifanikiwe unahitaji umeme na maji na huwezi kufanikisha kuwa na umeme na maji bila ya kuwa na Viwanda!

Vyerahani vinne vinahusiana nini na Kilimo?
 
View attachment 513051 moja ya machine ya kuvunia Mazao katika kilimo kikubwa kwa muda mfupi.View attachment 513052

Ni hoja nzuri lakini nchi yetu hakuna thinktank wa kupanga mipango ya nchi, mipango yote inapangwa na raisi hivyo hatuwezi kuwa na mtiririko mzuri wa kimkakati,
JK aliacha Kilimo Kwanza, basi Magu ilimpasa kuiboresha hiyo sera ya Kilimo kwanza na angeifanya ndio ssera yake kuu, na labda ya viwanda ingekuwa vile viwanda vinavyoendana na kilimo tu
 
Agric revolution iliwashinda kama utakumbuka kauli mbiu ya mapinduzi ya kijani. kwetu yamekuwa mapinduzi ya kahawia ndio wakaimbilia huko kwenye mapinduzi ya viwanda
 
Ya
Agric revolution iliwashinda kama utakumbuka kauli mbiu ya mapinduzi ya kijani. kwetu yamekuwa mapinduzi ya kahawia ndio wakaimbilia huko kwenye mapinduzi ya viwanda
Nyuma tuyaache jamani , watanzania kwa sasa tupaze sauti tunahitaji mapinduzi ya kilimo,
Vijana wengi wanasibiria ajira wakati ajira hamna, nguvu kazi tunayo ya kutosha, mapinduzi ya kilimo yataleta viwanda moja kwa moja.
 
Hapa Mimi nazungumzia kilimo, viwanda vitakuja Tu tena zaidi ya hiyo veta


Na mimi ndiyo maana nimesema Karne ya 21 huwezi kutenganisha Viwanda na Kilimo, vyote vinategemeana kwani ili uweze kulima kwa ufanisi unahitaji mbegu, mbolea inayotengezwa na Viwanda kama vile Minjigu au Kiwanda kikubwa cha Mbolea inayotokana na Gesi asilia kinachokaribia kujengwa Mtwara/Lindi, unahitaji madawa ya kuuwa wadudu waharibifu, unahitaji gloves kwa Wakulima, unahitaji Majembe, koleo, Mapanga, unahitaji mabomba ya maji, unahitaji mashine za kuvutia maji, mipira ya kumwagilia n.k. sasa huwezi kufanikiwa kwenye Kilimo chako kama unakwenda kuagiza kila kitu nje ya nchi, ili ufanikiwe ni lazima vingine vizalishwe hapa hapa nchini!

Na ndiyo maana ukienda Chuo Kikuu cha Sokoine Morogoro ambacho kilianzishwa mahsusi kwa ajili ya kilimo kuna Faculty ya Agricultural engineering, ambayo lengo lake ni kutengeneza mashine ambazo unazihitaji kwenye Kilimo!
 
Back
Top Bottom