Msambwata
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 1,307
- 1,499
Watanzania tunaoishi hapa Ujeruman tumechangia vifaa vya kisasa vya maospitali na fedha taslim ili kuwasaidia wenzetu huko nyumbani na Leo vimekabidhiwa na Ndg Hafidh Nour kwa niaba yetu.
Ila napata wakati mgumu sisi tunaisaidia serikali alafu serikali IPO busy kununua wapinzani kwa fedha nyingi sana wakati bado kunauhitaji mkubwa kwa wananchi masikini.
I still love my country and his people.....
+49 40 361 226 49150
Ila napata wakati mgumu sisi tunaisaidia serikali alafu serikali IPO busy kununua wapinzani kwa fedha nyingi sana wakati bado kunauhitaji mkubwa kwa wananchi masikini.
I still love my country and his people.....
+49 40 361 226 49150