Kazimzubwee
Member
- Nov 7, 2016
- 51
- 57
Je uhakiki utapoisha serikali itawalipa watumishi wake mishahara mipya pamoja na malimbikizo tangu mwezi wa saba?
Au uhakiki ni wa kudumu? Maana bunge lilipitisha bajeti tangu mwezi wa saba lakini wanyakazi wanataabika hadi leo maisha yamekuwa tight na hakuna wa kuwafariji,kisa uhakiki hewa unaoendelea au hazina hamna fedha?
Au ndo mwendo kasi. Maana laki tatu kwa mwalimu na millioni 35 kwa baba,hapa ni parefu sana huyu wa chini anaishije?au ni kweli msemo alieshiba hamkumbuki mwenye njaa?
Maana viongozi wetu mishahara yao ni minono wanakula wanasaza hawamjali wa chini maana kwao Tanzania zipo Mbili.
Au uhakiki ni wa kudumu? Maana bunge lilipitisha bajeti tangu mwezi wa saba lakini wanyakazi wanataabika hadi leo maisha yamekuwa tight na hakuna wa kuwafariji,kisa uhakiki hewa unaoendelea au hazina hamna fedha?
Au ndo mwendo kasi. Maana laki tatu kwa mwalimu na millioni 35 kwa baba,hapa ni parefu sana huyu wa chini anaishije?au ni kweli msemo alieshiba hamkumbuki mwenye njaa?
Maana viongozi wetu mishahara yao ni minono wanakula wanasaza hawamjali wa chini maana kwao Tanzania zipo Mbili.