Serikali ingeanzia hapa kwa Nabii Olivia

Serikali ingeanzia hapa kwa Nabii Olivia

Dr Guitar tz

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2018
Posts
312
Reaction score
247
Ingawa Mimi ni mkristo lakini nimekua najiuliza miaka mingi uwepo wa mitume na manabii lukuki nchini tena wengi wakiwa raia toka nchi nyingine, wanafika hapa wanaanza shughuli zao, baada ya muda wanajawa na utajiri wa kutisha kitu ambacho kinaleta sintofahamu kama hawa watu ni wa kweli?

Ni nguvu gani wanatumia kushawishi?

Kwanini wao watajirike na waumini wanakua masikini? Mungu amewapa serikali pa kuanzia kupitia Maneno 'yaliyovuja' kwenye mic ya Nabii Olivia wakati akimuombea msichana,,

Na ni wakati sasa serikali kuwapitia wote hawa wanaojiita mitume Na manabii Na wanaoanzisha makanisa kiholela kuona uhalali wao ikibidi mengi sasa yafungwe na watakaobainika walikua wakifanya ujasiliadini wafikishwe ktk vyombo vya sheria.

Natoa hoja.
 
Hapa kwenye dini kuna utapeli uliopindukia kwa kivuli cha dini. Nabii Olivia alipanga uwongo na muumini ili kudanganya waumini. Mungu kaamua kumuumbua mchana kweupe.
 
Fanya yako mkuu, ya Mungu muachie Mungu ashughulike nayo mwenyewe, ana uwezo mkuu kupita vyote, na ya kaisari pia muachie kaisari. Boresha yko.
Ndio shida yetu wabongo,hewala hewala...Mara ooh namwachia mungu..
 
Nime-pause kona, na wine yangu...Nawaonea huruma wasiojua MUNGU yuko wapi.
 
Ingawa Mimi ni mkristo lakini nimekua najiuliza miaka mingi uwepo wa mitume na manabii lukuki nchini tena wengi wakiwa raia toka nchi nyingine, wanafika hapa wanaanza shughuli zao, baada ya muda wanajawa na utajiri wa kutisha kitu ambacho kinaleta sintofahamu kama hawa watu ni wa kweli?

Ni nguvu gani wanatumia kushawishi?

Kwanini wao watajirike na waumini wanakua masikini? Mungu amewapa serikali pa kuanzia kupitia Maneno 'yaliyovuja' kwenye mic ya Nabii Olivia wakati akimuombea msichana,,

Na ni wakati sasa serikali kuwapitia wote hawa wanaojiita mitume Na manabii Na wanaoanzisha makanisa kiholela kuona uhalali wao ikibidi mengi sasa yafungwe na watakaobainika walikua wakifanya ujasiliadini wafikishwe ktk vyombo vya sheria.

Natoa hoja.
Leta picha ya Olivia mkuu. Ni ke?
 
Ingawa Mimi ni mkristo lakini nimekua najiuliza miaka mingi uwepo wa mitume na manabii lukuki nchini tena wengi wakiwa raia toka nchi nyingine, wanafika hapa wanaanza shughuli zao, baada ya muda wanajawa na utajiri wa kutisha kitu ambacho kinaleta sintofahamu kama hawa watu ni wa kweli?

Ni nguvu gani wanatumia kushawishi?

Kwanini wao watajirike na waumini wanakua masikini? Mungu amewapa serikali pa kuanzia kupitia Maneno 'yaliyovuja' kwenye mic ya Nabii Olivia wakati akimuombea msichana,,

Na ni wakati sasa serikali kuwapitia wote hawa wanaojiita mitume Na manabii Na wanaoanzisha makanisa kiholela kuona uhalali wao ikibidi mengi sasa yafungwe na watakaobainika walikua wakifanya ujasiliadini wafikishwe ktk vyombo vya sheria.

Natoa hoja.
Manabii tu ndiyo lukuki! Bongo fleva ni wachache, baa ni chache, casino ni chache, pub ni chache, glossary ni chache, night club ruksa kuongeza ni chache! Mmh hatariiiii. Tunapenda vya shetani zaidi.
 
Manabii tu ndiyo lukuki! Bongo fleva ni wachache, baa ni chache, casino ni chache, pub ni chache, glossary ni chache, night club ruksa kuongeza ni chache! Mmh hatariiiii. Tunapenda vya shetani zaidi.
Hizi ni entertainment ni kawaida dunia yote,swala la kuabudu ni jingine hapa kwetu watu wamegeuza dini ni mradi
Jiulize nchi zilizoendelea mfano kama Japan Mbona mambo haya hakuna?
Hizi njaa mbaya sana
 
Weka ushahidi mkuu. Acha kutulisha matango pori
 
itamshughulikia kwa makosa gani??
kula hela ya mazuzu??
 
Back
Top Bottom