Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
By the way vipi umeshapigiwa simu kwenda lumumba kumuona katibu?Nyinyi mtaendelea kuiombea mabaya serikali, na hamjaanza upuuzi huo jana wala juzi, mnazeeka na ujinga huo.
By the way vipi umeshapigiwa simu kwenda lumumba kumuona katibu?Nyinyi mtaendelea kuiombea mabaya serikali, na hamjaanza upuuzi huo jana wala juzi, mnazeeka na ujinga huo.
Umenena vema mkuu hao ni wale wanao dhani Mungu ni babu yao,Meya wa jiji achaguliwe na wawakilishi toka zanzibar wapi na wapi??sheria zipo lakini hawataki kuzifuata halafu wanataka kuombewa.ni kutubu tu hakuna namna nyingine.1. Mkuu, ni mungu gani huyo wanayemtanguliza!? Maana miungu wengi... Hata Diego Maradona pia ni mungu...
Kama ni huyu Yehova, je ni kweli ana-support
Wizi kama ule wa kura?
Uonevu kama ule wa ZNZ?
Uongo na ulaghai kama huu kwenye chaguzi za Dar!? Mungu ni pendo na mpenda haki... Upendo ni kulaza raia nje sio!?
Hata Hivi naona wanalitaja Bure jina la mungu...
2. Sidhani kama ni busara kutumia mgongo wa Mungu kuficha mapungufu binafsi... Matter of fact, huhitaji taifa zima likuombee ili usimamie haki..
teh,teh,teh,teh Obama awaomba Wamarekani wamwombee teh teh JF bana.....kuna mambo waliyofanya sivyo hadi waombewe kila wakati??...btw...serikali ya TZ huwa haina dini....sasa najiuliza kuomba kuombewa kila mara wana hofu gani??...wakati dola wameshika wao inakuwaje wanaomba nguvu ya asiyeonekana kuwalinda??.....Kwa kawaida kwa mataifa yenye watawala wanaomjali Mungu(kama USA) huwa wanasema God Bless America etc etc na si wao kuombewa individually....hili la watawala wa TZ lina walakini.....
umeona eh eh Mtu ngani mcha Mungu anashangaa kuambiwa niombee, hii ni Pathetic wewe ni wa wapi?kazi ni kuomba au akuombe umpeleke kwa waganga?unaanzisha thread unacomment mwenyewe, mbona lowasa alisema tumuombee hukuanzisha thread?????
Naishangaa sn serikali inayoomba iombewe. Iombewe kwa nani wakat wao wanatawala milele na kufa hawatakufa. Labda tuwaombee waendelee kubaki madarakani. Unaona Halaf unapofusha watu kwa kutaka kuombewa, kwa Mungu gan? Unaona unakusanya vyombo vya habari unadai uombewe. Polen sn kama mndhani sisi ni mazombie!
Waziri Mkuu Kassim Mjaliwa.
Viongozi wa dini nchini wametakiwa kuendelea kuiombea serikali ya awamu ya tano ili iendeleze kazi ya kutumbua majipu ambayo inagusa baadhi ya watu wenye nguvu serikalini.
-------------------------------xxxxx-------------------xxxxx---------
Hivi haijiamini au ni vipi maana haieleweki ! Kila anepata nafasi ya kuzungumza utasikia akiwaambia wasikilizaji tuombeeni maana tuna hili na lile ,,eti jamani hawa waliingia madarakani ili kuja kuombewa ? Mimi nawaombea wasamehewe maana kuna shaka juu ya ushindi wao hivyo addhabu ya kumsshirikisha Mwenyezi Mungu eti aliwasaidia kushinda sio ndogo inabidi hapo ndipo pa kuwaombea ,lakini sio huko kwenye kazi zao ambazo ni wajibu !
sio upagani bro! hivi wakishindwa kazi kisha wajitetee kwamba tumeshitumeshindwa sababu hamkutuombea, utasemaje?Wewe utakuwa mpagani si bure
Jk bado ni mwana ccm hata mkimuandama haitasaidiakituHakuna aibu yoyote inategemea upeo wako wa kuyaelewa mambo ya kidiplomasia. JK aliwalemaza sana kifikra mkafikirie kuwa uongozi huwa wa aina moja tu.
Na kuomba au kuombewa kuna dhambi gn jamani. Mbona wanaleta thread ya mashambulizi kana kwamba kuomba ni dhambi. Mimi nadhani kila mtu anahitaji kuomba na kuombewa dunia hiiHawa watu ni waadilifu tuwaombee maana wanakutana na mambo magumu wanahitaji maombi ili wasonge mbele na utaratibu wa maombi ni wa kawaida tu wa wacha Mungu
Hiyo sio sababusio upagani bro! hivi wakishindwa kazi kisha wajitetee kwamba tumeshitumeshindwa sababu hamkutuombea, utasemaje?
Msiwahukumu kwakuwa wametambua ya kuwa bila maombi kwa mwenyezi MUNGU kuna mambo hutafanikiwa hata uwe jeuri namna gani! Sasa hapa ndugu zangu tuwe makini maana kwa ushabiki wa siasa bila kujielewa unaweza ukakuta unatengeneza uadui hata kuanzisha vita na MUNGU bila kujua, maadamu wamekiri ya kuwa ni MUNGU ndiye atakayewapigania na wanahimiza tuungane katika sala kwa mwenyezi MUNGU basi ni vyema sifa na utukufu tumrudushie muumba wetu nasio kuingilia mipaka yake! Ni hayo tu wandugu
Waziri Mkuu Kassim Mjaliwa.
Viongozi wa dini nchini wametakiwa kuendelea kuiombea serikali ya awamu ya tano ili iendeleze kazi ya kutumbua majipu ambayo inagusa baadhi ya watu wenye nguvu serikalini.
-------------------------------xxxxx-------------------xxxxx---------
Hivi haijiamini au ni vipi maana haieleweki ! Kila anepata nafasi ya kuzungumza utasikia akiwaambia wasikilizaji tuombeeni maana tuna hili na lile ,,eti jamani hawa waliingia madarakani ili kuja kuombewa ? Mimi nawaombea wasamehewe maana kuna shaka juu ya ushindi wao hivyo addhabu ya kumsshirikisha Mwenyezi Mungu eti aliwasaidia kushinda sio ndogo inabidi hapo ndipo pa kuwaombea ,lakini sio huko kwenye kazi zao ambazo ni wajibu !
kwani hujui kazi walizofanya wezi wa pesa za NIDA na yale Mabilion ya marehemu Gadafi ,hata pesa ya Escrow, pesa za kivuko na mabehewa chakavu zimefanya kazi kubwa kuhujumu Ukawa.Hapo ndo utajua kazi alioifanya Kikwete tarehe 25/10/2015, maana FISADI alikuwa na mizizi kila muhimili wa dora! eh MUNGU unaona mbali!
Sidhani Kama mungu alikuwepo kwenye Uchakachuaji huo, mungu hapendi kushirikishwa kwenye unafikiMsiwahukumu kwakuwa wametambua ya kuwa bila maombi kwa mwenyezi MUNGU kuna mambo hutafanikiwa hata uwe jeuri namna gani! Sasa hapa ndugu zangu tuwe makini maana kwa ushabiki wa siasa bila kujielewa unaweza ukakuta unatengeneza uadui hata kuanzisha vita na MUNGU bila kujua, maadamu wamekiri ya kuwa ni MUNGU ndiye atakayewapigania na wanahimiza tuungane katika sala kwa mwenyezi MUNGU basi ni vyema sifa na utukufu tumrudushie muumba wetu nasio kuingilia mipaka yake! Ni hayo tu wandugu
Kwani wewe ni mjanja? Mbona ww ni Rais wa Mbumbumbu Duniani, utetezi upi? Hapa ni kuambiwa Ukweli tu si kutetea kitu, Ukweli mtaambiwa hata kama tafasri zenu ni kinyume kabsa.Chadema wanachofanya kwenye Jamii forum, ndio hicho wanachofanya bungeni.!!!
Yani ccm ya zamani ndio chadema ya sasa, na chadema ya zamani ndio ccm ya sasa.
Wa pumbavu wote sasa hivi mtetezi wao ni chadema!!!
Wanataka uwaombee Mungu awasamehe dhambi ya Uchakachuaji matokeo ya 25/10/2015Mimi mwenyewe mtu anayesema niombee bila kuniambia anachotaka nimwombee huwa siwezi kufanya hivyo
Unaposema uombewe kuwa specific maana mimi naweza kupiga sala Mgumba azae kumbe wewe tatizo lako sio ugumba ni umetoa mimba
Ndio hivyo. Wanataka tuwaone kuwa ni watakatifu.Wanatafuta kiki.. nakujihakikishia uaminifu mbele ya wapigakura