mambo mengi yanayofanywa na serikali yanasababisha wananchi kuichukia CCM na viongozi wake. kwa mfano:-
1. bomu la Arusha watu wamesema polisi wamehusika,kwa nini tume haiundwi kuondoa utata huu?
2. Badala ya kuunda tume wanamtisha Mbowe!
3. Mtwara wanasema watafaidika vipi na gasi iliyogunduliwa katika eneo lao?
Badala ya kutoa elimu wao wanapeleka majeshi yote ya nchi hii kupiga wananchi jamani!
4. Waziri mkuu anaongea bungeni eti serikali imechoka wakaidi wapigwe tu, sasa utawala wa sheria ameufuta?
5
1. bomu la Arusha watu wamesema polisi wamehusika,kwa nini tume haiundwi kuondoa utata huu?
2. Badala ya kuunda tume wanamtisha Mbowe!
3. Mtwara wanasema watafaidika vipi na gasi iliyogunduliwa katika eneo lao?
Badala ya kutoa elimu wao wanapeleka majeshi yote ya nchi hii kupiga wananchi jamani!
4. Waziri mkuu anaongea bungeni eti serikali imechoka wakaidi wapigwe tu, sasa utawala wa sheria ameufuta?
5