Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,678
- 14,565
Tanzania tumejaliwa kuwa na eneo kubwa la bahari, bahari ni utajiri tosha.Nchi inapoteza mapato mengi kupitia bahari ambapo bahari ingeweza kuleta mapato zaidi ya madini nchini.
Sekta hii imesahaulika sana na kufanya kuwa sehemu ya upigaji mkuu.
Serikali inabidi ianzishe bodi ya bahari ili kusimamia na kushirikiana na kituo cha uwekezaji kuwapa fursa wawekezaji katika sekta ya bahari.
Sekta hii imesahaulika sana na kufanya kuwa sehemu ya upigaji mkuu.
Serikali inabidi ianzishe bodi ya bahari ili kusimamia na kushirikiana na kituo cha uwekezaji kuwapa fursa wawekezaji katika sekta ya bahari.