Mkuu wangu TumainiEL unaweza nifahamisha kampuni ya Richmond ililipwa kiasi gani na Serikali?
Mkuu wangu TumainiEL unaweza nifahamisha kampuni ya Richmond ililipwa kiasi gani na Serikali?
serikali yetu ni bubu.
Kijana kama hujafanya utafiti na kuja na vidhibiti acha kubwabwaja kama mwendawazimu, humpendi Lowassa ni wew na huyo aliyekutuma, usilazimishe watanzania wote wamchukie!
Hayo mabilioni unayoyasema muulize kikwete kwa nn hajamfunga Lowassa kama aliiba?
Soma mstari wangu ya mwisho ktk kuandika then ufute huu usemi. umeandika.
Kijana kama hujafanya utafiti na kuja na vidhibiti acha kubwabwaja kama mwendawazimu, humpendi Lowassa ni wew na huyo aliyekutuma, usilazimishe watanzania wote wamchukie!
Hayo mabilioni unayoyasema muulize kikwete kwa nn hajamfunga Lowassa kama aliiba?
This is best coment according to me
Kama akina nani Mkuu walipigwa pin?Pia nilazima ujuwe hii serikali inakuuwa kimyakimya bila kujuwa, nadhan umesikia meng sana, viongoz wengine wamefia usingizin ukifuwatilia walipigwa pin baada yakufanya ufisadi. So tulia tunausalama wataifa wenye nguvu ya ajabu wanafanya kaz usiku na mchana so utaona result.
Mkuu RUTARE naona kijana anatuletea stori za miaka 4 iliyopita ambazo ni siasa za majitaka chanzo ni kikiwa wana CCM kusaka urais wa 2015. Kikwete mwenyewe alitoa hotuba akasema Richmond hawakulipwa! Kwangu mimi mafisadi wabaya zaidi ni hawa waliopinga Tanesco isinunue mitambo ya Dowans na serikali isilipe gharama za umeme uliozalishwa na mitambo ya Dowans. Tukapelekwa mahakamani,wakaendelea kutuaminisha kwamba tutashinda!This is best coment according to me
Mkuu RUTARE naona kijana anatuletea stori za miaka 4 iliyopita ambazo ni siasa za majitaka chanzo ni kikiwa wana CCM kusaka urais wa 2015. Kikwete mwenyewe alitoa hotuba akasema Richmond hawakulipwa! Kwangu mimi mafisadi wabaya zaidi ni hawa waliopinga Tanesco isinunue mitambo ya Dowans na serikali isilipe gharama za umeme uliozalishwa na mitambo ya Dowans. Tukapelekwa mahakamani,wakaendelea kutuaminisha kwamba tutashinda! Tumeshindwa bado wanadai tusilipe deni,riba inaongezeka sijui ni bilioni ngapi sasa!! Mitambo imeuzwa kwa Simbion na sasa wanazalisha umeme inauziwa Tanesco kwa bei kubwa! Waliotuongopea muda wote huu wako kimya! Tulipoingia ktk mgawao mkali wa umeme wao walikua wanawasha jenereta na kutumia mafuta yanayolipiwa na kodi zetu. Hatukuwasikia wakisema maneno yao kwamba heri nchi iingie ktk giza lakini Tanesco isinunue mitambo ya Dowans!
Mkuu wangu TumainiEL unaweza nifahamisha kampuni ya Richmond ililipwa kiasi gani na Serikali?
Kama akina nani Mkuu walipigwa pin?
Tusiangalie tu pesa ambayo Richmond ingelipwa/ililipwa, kuna mambo mengi zaidi. Inawezekana hatukulipa hata senti moja kwa Richmond ila angalia mambo yafuatayo:
1. Bila mkataba wa utata iliyoingia serikali na kampuni "maruhani", nchi ingekuwa imepunguza muda iliyokaa bila umeme, jiulize ni shughuli kiasi gani ziliathirika na TRA walikosa mapato kiasi gani?
2. Gharama za kisiasa, political costs, tulizoingia baada ya skandali nzima ya Richmond. Inawezekana ni CCM ndio iliwapa tabu lakini kumbuka ndio chama tawala, kuathirika kwake kunaathiri utawala mzima wa serikali. Viongozi badala ya kufikiri ni jinsi gani watatatua matatizo, wanawaza majibu ya Richmond.
3. Imepunguza imani kwa serikali na kuongeza chuki juu yake. Inawezekana jambo hili likawa zuri hasa kama ni kweli serikali inajihusisha na ufisadi lakini likizidi sio zuri pia.
Mkuu RUTARE naona kijana anatuletea stori za miaka 4 iliyopita ambazo ni siasa za majitaka chanzo ni kikiwa wana CCM kusaka urais wa 2015. Kikwete mwenyewe alitoa hotuba akasema Richmond hawakulipwa! Kwangu mimi mafisadi wabaya zaidi ni hawa waliopinga Tanesco isinunue mitambo ya Dowans na serikali isilipe gharama za umeme uliozalishwa na mitambo ya Dowans. Tukapelekwa mahakamani,wakaendelea kutuaminisha kwamba tutashinda!
Tumeshindwa bado wanadai tusilipe deni,riba inaongezeka sijui ni bilioni ngapi sasa!! Mitambo imeuzwa kwa Simbion na sasa wanazalisha umeme inauziwa Tanesco kwa bei kubwa! Waliotuongopea muda wote huu wako kimya! Tulipoingia ktk mgawao mkali wa umeme wao walikua wanawasha jenereta na kutumia mafuta yanayolipiwa na kodi zetu. Hatukuwasikia wakisema maneno yao kwamba heri nchi iingie ktk giza lakini Tanesco isinunue mitambo ya Dowans!
Pia nilazima ujuwe hii serikali inakuuwa kimyakimya bila kujuwa, nadhan umesikia meng sana, viongoz wengine wamefia usingizin ukifuwatilia walipigwa pin baada yakufanya ufisadi. So tulia tunausalama wataifa wenye nguvu ya ajabu wanafanya kaz usiku na mchana so utaona result.