Mkuu wangu ukiona hivyo ujue wengi tumeshikwa pabaya kwa uamuzi huo.Ila watumishi wa Umma wamekosa maadili: barua imegongwa muhuri wa SIRI halafu inaonekana humu imeanikwa looooo! yaani sijui kwa kweli!
Usitamani kuona hizo page nyingine,unaweza kufa na pressure .Asante mkuu Itegamatwi, naomba utuwekee. page zinazofuata hii ni muhimu sana. JF standards zinarudi. Kujua ya uvunguni ni muhimu sana.
Usitamani kuona hizo page nyingine,unaweza kufa na pressure .
Kuna kipingele kinasema ,kama ulichukua likizo bila malipo na unataka kurudi kazini(baada ya mkataba kuhisha huko ulikoenda) hakuna kurudi ,unaombwa uwe mpole.
mkuu vpi kuhusu mtu anaetaka kuhama kituo cha kazi(esp. mkoa kwa mkoa)Usitamani kuona hizo page nyingine,unaweza kufa na pressure .
Kuna kipingele kinasema ,kama ulichukua likizo bila malipo na unataka kurudi kazini(baada ya mkataba kuhisha huko ulikoenda) hakuna kurudi ,unaombwa uwe mpole.
Usitamani kuona hizo page nyingine,unaweza kufa na pressure .
Kuna kipingele kinasema ,kama ulichukua likizo bila malipo na unataka kurudi kazini(baada ya mkataba kuhisha huko ulikoenda) hakuna kurudi ,unaombwa uwe mpole.
inaruhusiwa kuhama,lakini kama unahama na kwenda kupata post yenye mshahara mkubwa kuliko ulionao sasa hawaruhusu uhamisho wa hivyomkuu vpi kuhusu mtu anaetaka kuhama kituo cha kazi(esp. mkoa kwa mkoa)
Ndio ilivyo,Hapana mkuu! inawezekana hiyo?
anhaaainaruhusiwa kuhama,lakini kama unahama na kwenda kupata post yenye mshahahara mkubwa kuliko ulionao sasa hawaruhusu uhamisho wa hivyo
Hapana mkuu ni kweliHilo haliwezekani, itakuwa unafurahisha kijiwe tu mkuu.
ndio hicho nilicho bahatisha ila kama kuna ukweli tutajua.Hebu toa vimaelezo kidogo wengine simu zetu za tochi