Serikali imepata funzo kutokana na DP World

Serikali imepata funzo kutokana na DP World

Kiranja wa jamii

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2023
Posts
1,152
Reaction score
2,753
Ukitazama viongozi wanavyoongea utabaini yafuatayo:-

i. Wamejua kumbe siku hizi si rahisi kuwadanganya watanzania

ii. Watanzania si waoga tena kuhoji mambo makubwa ya nchi

iii. Oya oya za vijana wa mitandaoni hazimaanishi ni watu wa kuchukulia poa, wakiamua kuliamsha inawezekana

Pamoja na juhudi kubwa inayotumika kufunika kombe mwanaharamu apite, hìi haizuii ukweli kuwa Hamza Johari na Timu yake kuna jambo wameliona

Kitu cha kipuuzi nilichokibaini ni timu hii kuendelea kujiona wao wana akili sana na wakosoaji wote.hawana uelewa na mambo ya mikataba. Huu utamaduni wa kudhani kwasababu wào ni viongozi hawakosei inatakiwa ufike mwisho.

Hadi sasa timu Shivji 2 - timu Johari 0 na mpira ni dk ya 65. Timu yoyote inaweza kuibuka mshindi, tusubiri kipenga cha mwisho
 
Huyu jamaa atakuwa aliiba jina la binti ili aendelee na elimu ya sekondari
 
Siyo kwa serikali ya ccm. Wana kiburi kuliko shetani
 
Back
Top Bottom