Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Kubadilika kwa sera kwa ghafla kumesababisha benki nyingi kupata hasara na kuwa na bad debts kiasi cha kuzifanya taasisi hizo zipunguze uwezo wake wa kutoa mikopo au kupunguza shughuli hizo ili ku manage risks...
Kwa kuwa serikali imechangia kwa kiasi kikubwa kwa kuyumba kwa taasisi za fedha, serikali iwajibikke kuzikopesha fedha bila riba taasisi za fedha na deni hilo lilipwe ndani ya miaka kumi... Fedha hizo ziwe hadi asilimia hamsini ya bad debts za benki husika.
Hii itasaidia kusisimua uchumi na kuzikwamua benki zilizo katika kipindi kigumu...
Kwa kuwa serikali imechangia kwa kiasi kikubwa kwa kuyumba kwa taasisi za fedha, serikali iwajibikke kuzikopesha fedha bila riba taasisi za fedha na deni hilo lilipwe ndani ya miaka kumi... Fedha hizo ziwe hadi asilimia hamsini ya bad debts za benki husika.
Hii itasaidia kusisimua uchumi na kuzikwamua benki zilizo katika kipindi kigumu...