Serikal ya ccm inawadharau sana walimu, wakati walimu ndo kila kitu maana hata huyo rais kafundishwa na walimu,
Halafu ndo wanadharaulila kwl serekal.
Walimu kuwen na mshikamano tanzania nzima, gomen hata mwezi naamin watakopa hata nje,
Mbona wabunge wakikohoa kidogo tu wanaongezwa maposho kibao,
Ifikie mahala walimu muungane kudai haki zenu,
DHAMBI KUMBWA KULIKO ZOTE DUNIAN NI UOGA!!