Jibu moja na tuiambiye dunia kwa pamoja
- Mmeteka watu
- Mnatesa na kulawiti Watanzania wenzenu
- Mnaua Watanzania kupitia Wambura na magaidi wenzake
- Mmechezea sheria inayounda Usalama wa Taifa na kuifanya taasisi inayodhibiti wananchi badala ya jukumu lake la kisheria na kikatiba
- Mmeunda Tume haramu ya uchaguzi
- Mmeharibu mfumohaki wote
- Mmeua demokrasia na kuharibu uchaguzi
- Oktoba 29+ mmefanya mauaji ya halaiki na kuharibu miili ya wahanga
- Mmejiapisha jeshini
- Mmegeuza vyombo vya ulinzi na usalama kuwa KILLING MACHINERY
- Mmeteuana koo zenu kila nafasi za juu za utawala
- Na kadhalika...
Samuya and Co. Ninyi ni kundi haramu kuendelea kutawala Tanzania.
Desemba 19 tuna jambo letu
- Mmeteka watu
- Mnatesa na kulawiti Watanzania wenzenu
- Mnaua Watanzania kupitia Wambura na magaidi wenzake
- Mmechezea sheria inayounda Usalama wa Taifa na kuifanya taasisi inayodhibiti wananchi badala ya jukumu lake la kisheria na kikatiba
- Mmeunda Tume haramu ya uchaguzi
- Mmeharibu mfumohaki wote
- Mmeua demokrasia na kuharibu uchaguzi
- Oktoba 29+ mmefanya mauaji ya halaiki na kuharibu miili ya wahanga
- Mmejiapisha jeshini
- Mmegeuza vyombo vya ulinzi na usalama kuwa KILLING MACHINERY
- Mmeteuana koo zenu kila nafasi za juu za utawala
- Na kadhalika...
Viongozi Ninyi ni haramu kuendelea kutawala Tanzania.
Desemba 19 tuna jambo letu
We don't play someone's game
Hiyo tarehe wapeleke familia yako
Keyboard Mnazidi kupoteana
I want to show them how the different person I'm
Hata tarehe 29 Oktoba ilikuwa ya kifamilia.
Tulia wanaume tukukomboe