GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,421
- 120,743
Kusema kweli leo nalia na Serikali na hasa Mamlaka zake hasa katika hili suala la huyu Tabibu Mwaka kwani sasa inaonekana dhahiri kuwa huyu Tabibu ni " Genius " kuliko hao wanaomfungia mara kwa mara.
Mlianza kumfuata fuata huyu Tabibu muda tu lakini kama kawaida yenu ya KUKURUPUKA bila kujipanga nyie mkija hivi yeye anawapelekeni kule na kiukweli anawashinda na mnaumbuka mno na leo najitokeza hapa kuwapeni " makavu " yenu.
Kiukweli mnatuchanganya sana kwani huku mnasema mmefungia kutoa huduma zake lakini wakati huo huo MWANAMUME Tabibu Mwaka anasikika tu " akitiririka " katika Vituo mbalimbali vya redio na hata tv tena akijipamba kabisa huku body language yake ikionyesha Jamaa ANAVYOWADHARAU na Mimi GENTAMYCINE leo nasema kwa aina hii ya UKURUPUKAJI wenu ambao sasa nauhisi kuwa ni CHUKI BINAFSI ZILIZOCHANGANYIKA NA WIVU DHIDI YAKE nasema Tabibu Mwaka ANASTAHILI KUWADHARAU na KUWAPELEKESHA.
Haya MATAMKO yenu yasiyo na KICHWA wala MIGUU yanatuchanganya na hata muda mwingine kutufanya TUMCHUKIE bure Baba wa Watu kumbe wakati mwingine inawezekana yeye ndiyo akawa yupo sahihi na labda nyie ( Mamlaka ) mliyomfungia ndiyo MNAUMWA!
Hata Mimi naomba nikiri kuwa NILIAMBUKIZWA chuki dhidi yake kwa haya MATAMKO yenu ambayo nayaita ya KIPUUZI na kiukweli nikawa namchukia Baba wa Watu Tabibu Mwaka lakini kwa aina ya UCHUNGUZI wangu nilioufanya natamka rasmi kuwa sasa nipo au naungana nae Tabibu Mwaka bega kwa bega na kuanzia sasa NITAMTETEA kwa nguvu zangu zote hadi muache KUMUONEA na kupitia bandiko langu hili hili nichukue nafasi hii kumuomba radhi Tabibu Mwaka kwa yale yote niliyokuwa nikimtakia humu kwani NILILEWESHWA CHUKI DHIDI YAKE na hizo MAMLAKA zenye CHUKI, WIVU na HASIRA dhidi yake na naamini hata Mwenyezi Mungu atakuwa amenisamehe pia.
Haingii AKILINI Mtu mnafungia asubuhi tena kwa kumpiga MIKWARA halafu baada tu ya Saa kadhaa anawazidi KIFIKRA na KIMAARIFA na kutoka kivingine. Mlikuwa MNAMDHARAU kuwa hana Elimu na ni " mjanja mjanja " ila sasa ninachokiona ni kwamba Tabibu Mwaka ndiyo " Kipanga " na nyie MAMLAKA mliyemfungia juzi ndiyo MAPOPOMA MLIOTUKUKA.
Huu OUNEVU wa aina hii hatutauruhusu hivyo basi kuanzia sasa TUTAUNGANA na Tabibu Mwaka na kumpigania hadi apate HAKI zake na kama kweli mnajua ana MAKOSA basi ni vyema mkayaweka na yawe na MANTIKI mbele yetu zaidi ya hapo TUNACHOKIONA ni kwamba SERIKALI hasa kupitia MAMLAKA zake zinazomfungia mara kwa mara ndiyo MNAMUONEA Tabibu Mwaka.
Hivi mnamfungiaje Mtu ambaye Watu wengi walioenda kupata TIBA kwake wamesema kuwa WAMEFANIKIWA na dawa zake na hakuna hata mmoja ambaye ameshajitokeza kusema kuwa AMEATHIRIKA na dawa zake sana sana ni Watu tu wenye JICHO LA HUSUDA dhidi yake ndiyo wanampakazia na kumchukia.
Principle yangu siku zote ni kuwa huwa SIPENDI UNAFIKI na NINAPOKUWA na DONGE MOYONI huwa SILIBAKISHI hata kama litamuhusu Mtu wangu wa karibu hivyo basi tunaomba nyie SERIKALI hasa kupitia MAMLAKA zenu huko Wizara ya AFYA hii nguvu mnayoitumia kumfuata fuata huyu Tabibu Mwaka basi mngeihamishia katika TAASISI au Hospitali nyingi za SERIKALI ambazo nadhani huko ndiko kuna UOZO na UMAGUMASHI ya kila aina ambao hupelekea Wagonjwa wengi kupoteza maisha huku wengine wakidhulumiwa na kunyanyaswa na Watendaji wenu wengi.
Nimemaliza!
Mlianza kumfuata fuata huyu Tabibu muda tu lakini kama kawaida yenu ya KUKURUPUKA bila kujipanga nyie mkija hivi yeye anawapelekeni kule na kiukweli anawashinda na mnaumbuka mno na leo najitokeza hapa kuwapeni " makavu " yenu.
Kiukweli mnatuchanganya sana kwani huku mnasema mmefungia kutoa huduma zake lakini wakati huo huo MWANAMUME Tabibu Mwaka anasikika tu " akitiririka " katika Vituo mbalimbali vya redio na hata tv tena akijipamba kabisa huku body language yake ikionyesha Jamaa ANAVYOWADHARAU na Mimi GENTAMYCINE leo nasema kwa aina hii ya UKURUPUKAJI wenu ambao sasa nauhisi kuwa ni CHUKI BINAFSI ZILIZOCHANGANYIKA NA WIVU DHIDI YAKE nasema Tabibu Mwaka ANASTAHILI KUWADHARAU na KUWAPELEKESHA.
Haya MATAMKO yenu yasiyo na KICHWA wala MIGUU yanatuchanganya na hata muda mwingine kutufanya TUMCHUKIE bure Baba wa Watu kumbe wakati mwingine inawezekana yeye ndiyo akawa yupo sahihi na labda nyie ( Mamlaka ) mliyomfungia ndiyo MNAUMWA!
Hata Mimi naomba nikiri kuwa NILIAMBUKIZWA chuki dhidi yake kwa haya MATAMKO yenu ambayo nayaita ya KIPUUZI na kiukweli nikawa namchukia Baba wa Watu Tabibu Mwaka lakini kwa aina ya UCHUNGUZI wangu nilioufanya natamka rasmi kuwa sasa nipo au naungana nae Tabibu Mwaka bega kwa bega na kuanzia sasa NITAMTETEA kwa nguvu zangu zote hadi muache KUMUONEA na kupitia bandiko langu hili hili nichukue nafasi hii kumuomba radhi Tabibu Mwaka kwa yale yote niliyokuwa nikimtakia humu kwani NILILEWESHWA CHUKI DHIDI YAKE na hizo MAMLAKA zenye CHUKI, WIVU na HASIRA dhidi yake na naamini hata Mwenyezi Mungu atakuwa amenisamehe pia.
Haingii AKILINI Mtu mnafungia asubuhi tena kwa kumpiga MIKWARA halafu baada tu ya Saa kadhaa anawazidi KIFIKRA na KIMAARIFA na kutoka kivingine. Mlikuwa MNAMDHARAU kuwa hana Elimu na ni " mjanja mjanja " ila sasa ninachokiona ni kwamba Tabibu Mwaka ndiyo " Kipanga " na nyie MAMLAKA mliyemfungia juzi ndiyo MAPOPOMA MLIOTUKUKA.
Huu OUNEVU wa aina hii hatutauruhusu hivyo basi kuanzia sasa TUTAUNGANA na Tabibu Mwaka na kumpigania hadi apate HAKI zake na kama kweli mnajua ana MAKOSA basi ni vyema mkayaweka na yawe na MANTIKI mbele yetu zaidi ya hapo TUNACHOKIONA ni kwamba SERIKALI hasa kupitia MAMLAKA zake zinazomfungia mara kwa mara ndiyo MNAMUONEA Tabibu Mwaka.
Hivi mnamfungiaje Mtu ambaye Watu wengi walioenda kupata TIBA kwake wamesema kuwa WAMEFANIKIWA na dawa zake na hakuna hata mmoja ambaye ameshajitokeza kusema kuwa AMEATHIRIKA na dawa zake sana sana ni Watu tu wenye JICHO LA HUSUDA dhidi yake ndiyo wanampakazia na kumchukia.
Principle yangu siku zote ni kuwa huwa SIPENDI UNAFIKI na NINAPOKUWA na DONGE MOYONI huwa SILIBAKISHI hata kama litamuhusu Mtu wangu wa karibu hivyo basi tunaomba nyie SERIKALI hasa kupitia MAMLAKA zenu huko Wizara ya AFYA hii nguvu mnayoitumia kumfuata fuata huyu Tabibu Mwaka basi mngeihamishia katika TAASISI au Hospitali nyingi za SERIKALI ambazo nadhani huko ndiko kuna UOZO na UMAGUMASHI ya kila aina ambao hupelekea Wagonjwa wengi kupoteza maisha huku wengine wakidhulumiwa na kunyanyaswa na Watendaji wenu wengi.
Nimemaliza!