Ni hivi punde tu imeshinda kwa Torino 4-2. Mabao ya AC Milan yamefungwa na Robinho,Nocerino,Pazzini na El Shaarawy.Hatahivyo,Milan wanabakia nafasi ya saba na pointi zao 24. Mapambano yanaendelea
na kama hiyo haitoshi kijana El shaarawy amepachika goli lake la 13 katika ligi msimu huu.
Ikumbukwe anayemfuata El Farao kwa magoli ni Edinson Cavani mwenye magoli 10 huku magoli 3 yakiwa ya penati wakati el farao hana goli la penati.
na kama hiyo haitoshi kijana El shaarawy amepachika goli lake la 13 katika ligi msimu huu.
Ikumbukwe anayemfuata El Farao kwa magoli ni Edinson Cavani mwenye magoli 10 huku magoli 3 yakiwa ya penati wakati el farao hana goli la penati.
Mi nlivyosikia milan kashinda 4 nkajua atakua ametuovertake kawa wa kwanza!asa nashangaa sie tumepiga kamoja tu tunaongoza ligi milan wako bondeni huko hata ukiwaita hawasikii!soccer is not fair...kwi..kwi..kwii!
Mi nlivyosikia milan kashinda 4 nkajua atakua ametuovertake kawa wa kwanza!asa nashangaa sie tumepiga kamoja tu tunaongoza ligi milan wako bondeni huko hata ukiwaita hawasikii!soccer is not fair...kwi..kwi..kwii!