VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ni hivi punde tu imeshinda kwa Torino 4-2. Mabao ya AC Milan yamefungwa na Robinho,Nocerino,Pazzini na El Shaarawy.Hatahivyo,Milan wanabakia nafasi ya saba na pointi zao 24. Mapambano yanaendelea