Serekali ya Kikwete yaanza kazi rasmi Moshi

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Jul 27, 2008
3,173
476
Leo asubuhi wafanyabiashara kwenye soko la Mbuyuni manispaa ya Moshi wameshikwa na butwaa baada ya kuja na kukuta vibanda vyao vimevunjwa na askari wa manispaa wakishirikiana na askari polisi. Vijana hao walipofika kwenye biashara zao hawakuamini kilichotokea. Wakiwa katika hali ya kutafakari polisi nao walifika na kuanza kurusha risasi hewani. Hii sio mara ya kwanza kwa wafanyabiashara wa Moshi kufanyiwa uhuni kama huu. Soku kuu la Moshi liliwahi kuungua na kusadikika kuwa lilichomwa makusudi na maafisa wa manispaa. Soko la juu nalo liliunguzwa na watu haohao. Wafanyabiashara wa eneo kwenye kiwanja cha CCM maarufu kama shimoni karibu na stendi kuu ya Moshi kilitokea kituko kama hicho pia. Stendi kuu ya mabasi ya Moshi pia iliwahi kuunguzwa ili manispaa waweze kujenga upya. Matukio yote haya yaliacha hasara kubwa kama sio watu kufa kwa shinikizo la damu.
Tukio la usiku wa kuamkia leo limetafsiriwa na wakaazi wa Moshi kama KULIPIZA KISASI kwa serekali iliyoko madarakani kwa kuwapa upinzani kura nyingi na kuinyima CCM. Wanahoji walikuwa wapi siku zote wksti wa kampeni wafanyabiashara walipanga biashara zao karibu kabisa na kituo cha polisi na hakuna aliyewauliza kitu! Je ruksa ya wakati huo ailikuwa HONGO ama ni nini? Hivi ndivyo serekali imeanza kazi?
 

Kunta Kinte

JF-Expert Member
May 18, 2009
3,684
1,270
Leo asubuhi wafanyabiashara kwenye soko la Mbuyuni manispaa ya Moshi wameshikwa na butwaa baada ya kuja na kukuta vibanda vyao vimevunjwa na askari wa manispaa wakishirikiana na askari polisi. Vijana hao walipofika kwenye biashara zao hawakuamini kilichotokea. Wakiwa katika hali ya kutafakari polisi nao walifika na kuanza kurusha risasi hewani. Hii sio mara ya kwanza kwa wafanyabiashara wa Moshi kufanyiwa uhuni kama huu. Soku kuu la Moshi liliwahi kuungua na kusadikika kuwa lilichomwa makusudi na maafisa wa manispaa. Soko la juu nalo liliunguzwa na watu haohao. Wafanyabiashara wa eneo kwenye kiwanja cha CCM maarufu kama shimoni karibu na stendi kuu ya Moshi kilitokea kituko kama hicho pia. Stendi kuu ya mabasi ya Moshi pia iliwahi kuunguzwa ili manispaa waweze kujenga upya. Matukio yote haya yaliacha hasara kubwa kama sio watu kufa kwa shinikizo la damu.
Tukio la usiku wa kuamkia leo limetafsiriwa na wakaazi wa Moshi kama KULIPIZA KISASI kwa serekali iliyoko madarakani kwa kuwapa upinzani kura nyingi na kuinyima CCM. Wanahoji walikuwa wapi siku zote wksti wa kampeni wafanyabiashara walipanga biashara zao karibu kabisa na kituo cha polisi na hakuna aliyewauliza kitu! Je ruksa ya wakati huo ailikuwa HONGO ama ni nini? Hivi ndivyo serekali imeanza kazi?

Nilidhani kwa kuwa Chadema walipata viti17 vya udiwani na CCM 3 basi halmashauri ya mji wa Moshi ingekuwa inaongozwa na Chadema, sasa inakuwaje haya yanatokea? Naomba kueleweshwa isije ikawa tunailaumu CCM hata pale ambapo tunaweza kurekebisha mambo wenyewe
 

kaburunye

JF-Expert Member
May 12, 2010
674
73
Nilidhani kwa kuwa Chadema walipata viti17 vya udiwani na CCM 3 basi halmashauri ya mji wa Moshi ingekuwa inaongozwa na Chadema, sasa inakuwaje haya yanatokea? Naomba kueleweshwa isije ikawa tunailaumu CCM hata pale ambapo tunaweza kurekebisha mambo wenyewe

Uchaguzi wa mameya bado mkuu. Nadhani halmashauri itakabidhiwa kwa Chadema baada ya kupatikana meya
 

Ndachuwa

JF-Expert Member
Mar 8, 2006
6,271
4,544
Nilidhani kwa kuwa Chadema walipata viti17 vya udiwani na CCM 3 basi halmashauri ya mji wa Moshi ingekuwa inaongozwa na Chadema, sasa inakuwaje haya yanatokea? Naomba kueleweshwa isije ikawa tunailaumu CCM hata pale ambapo tunaweza kurekebisha mambo wenyewe

Mabazara ya madiwani bado hajaanza kazi, michakato ya kuchagua mameya inaendelea na sehemu nyingin wanafanya uchaguzi wa madiwani J2 tarehe 28/11/2010
 

Mabel

JF-Expert Member
Sep 1, 2010
1,271
663
Leo asubuhi wafanyabiashara kwenye soko la Mbuyuni manispaa ya Moshi wameshikwa na butwaa baada ya kuja na kukuta vibanda vyao vimevunjwa na askari wa manispaa wakishirikiana na askari polisi. Vijana hao walipofika kwenye biashara zao hawakuamini kilichotokea. Wakiwa katika hali ya kutafakari polisi nao walifika na kuanza kurusha risasi hewani. Hii sio mara ya kwanza kwa wafanyabiashara wa Moshi kufanyiwa uhuni kama huu. Soku kuu la Moshi liliwahi kuungua na kusadikika kuwa lilichomwa makusudi na maafisa wa manispaa. Soko la juu nalo liliunguzwa na watu haohao. Wafanyabiashara wa eneo kwenye kiwanja cha CCM maarufu kama shimoni karibu na stendi kuu ya Moshi kilitokea kituko kama hicho pia. Stendi kuu ya mabasi ya Moshi pia iliwahi kuunguzwa ili manispaa waweze kujenga upya. Matukio yote haya yaliacha hasara kubwa kama sio watu kufa kwa shinikizo la damu.
Tukio la usiku wa kuamkia leo limetafsiriwa na wakaazi wa Moshi kama KULIPIZA KISASI kwa serekali iliyoko madarakani kwa kuwapa upinzani kura nyingi na kuinyima CCM. Wanahoji walikuwa wapi siku zote wksti wa kampeni wafanyabiashara walipanga biashara zao karibu kabisa na kituo cha polisi na hakuna aliyewauliza kitu! Je ruksa ya wakati huo ailikuwa HONGO ama ni nini? Hivi ndivyo serekali imeanza kazi?

Mambo ya moshi ni siasa. Siku nne tu baada ya uchaguzi mkuu na halimashauri ya moshi kwenda Chadema, mkulugenzi aliagiza wafanyabishara hao waondolewe mara akidai kuwa ni agizo la madiwani wa Chadema.

Baada ya madiwani wa chadema kusikia waliandamana hadi kwa mkurugenzi wa manispaa ya moshi kujua kulikoni na kwa nini watumie jina la chadema?

Alichojibu mkurugenzi ni kwamba kwa mda wa miezi minne alikuwa bize na uchaguzi hivyo hakuweza kuwaondoa wafanyabiashara hao, lakini baada ya uchaguzi amepata nafasi hivyo ni utekelezaji wa kazi zake na si suala la kisiasa. Lakini ukweli ni kwamba swala hilo lipo kisiasa zaidi ili kuwagombanisha madiwani wa chadema na wafanyabiashara hao
 

MpendaTz

JF-Expert Member
May 15, 2009
2,110
808
Uzuri watu wa Moshi si watu rahisi kudanganya namna hiyo. Atajikuta anaaibika tu mwisho wa siku. Huo ni ubabe waliouzowea kuutumia sehemu nyingi nchi hii lakini ni bora akafahamishwa tu kuwa "its not applicable" hapo Moshi. Moshi hawakuanza kuinyima CCM kura leo, walianza zamani sana na adhabu walishazizowea, kuna wakati hata miradi ya maendeleo iliminywa saana. Uwt ikatumia kikosi cha ku-strungle wakazi wa huo mji. Watu waliipata maana ilikuwa hakuna mzunguko wa pesa kwenye hicho kimji. lakini hao wachaga hapo CCM wangejua tu wangebadilisha tactic. And so long as Ndesamburo yuko bado ndani ya shughuli za ubunge ni ushauri wa bure, waache tu wataaibika bure! They should talk business in Moshi and not too much politics involving mountains of promises. Hapo watampata mchaga. Nawashangaa kwanini hawajifunzi? Na huku wanaona hizi hisia zimeshawasili karibu kona zote za nchi sasa hivi. Kuifanya hali iwe mbaya sana kwao kisiasa ngoja meya apatikane. Itabidi mameya wa sehemu nyingine, kama kweli wanayapenda maendeleo, kwenda kupata somo pale.
 

Popompo

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
409
91
umesahau adhabu ya kuondolewa soko la mitumba kiboroloni!palivunjwa usiku wa manane!asubuhi wanakuta hola wanaelekezwa memorial yet wamewanyima chichiemu kula!
 

Katavi

Platinum Member
Aug 31, 2009
41,956
12,591
Haya ni matatizo ambayo yataikumba miji mingi ambayo CCM imeangushwa.
 

Kigogo

JF-Expert Member
Dec 14, 2007
20,518
6,109
Nilidhani kwa kuwa Chadema walipata viti17 vya udiwani na CCM 3 basi halmashauri ya mji wa Moshi ingekuwa inaongozwa na Chadema, sasa inakuwaje haya yanatokea? Naomba kueleweshwa isije ikawa tunailaumu CCM hata pale ambapo tunaweza kurekebisha mambo wenyewe

wanaanzaje kazi ya udiwani wakati hawajaapishwa bado??
 

Kiranga

Platinum Member
Jan 29, 2009
63,231
80,668
Nilifikiri CCM wamekuja napolicy mpya ya kutowaondoa wafanya biashara wadogo, bali kuwawezesha?

Au ndiyo kisasi cha kupigia kura CHADEMA ?
 

Charles1990

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
245
39
Nimeskia kwenye redio muda si mrefu kwamba polisi wawili wamejeruhiwa vibaya na wafanya biashara,nadhani ni kwa sababu ya kisa hicho hicho.Moshi kama kazi kweli tunayo!Lakini ngoja kidogo habari zimfikie Ndesa (unaweza ukamuita Ndessa Pesa kama unapenda) pale mjengoni,nadhani wote tunafamu mziki wa huyu mzee na anavyoijali moshi kama familia yake. Makend* atachoka.
 

MAMA POROJO

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
4,977
776
Sheria za miji/manispaa lazima ziheshimiwe na wafanyabiashara.

CHADEMA iwe makini kwenye kutetea haki ya raia, kama raia kavunja sheria, hakikisha sheria inachukua mkondo wake.

Kama raia kaonewa na watawala CHADEMA ingilia kati haki ya raia ipatikane.
 

superfisadi

JF-Expert Member
May 22, 2009
553
51
wamachinga wenyewe wanawaambia mgambo na polisi 'msitufunze uoga' wanataka walipwe mali zao kwani wanakuwa wanalipia ushuru maeneo hayo na hawakuwapa barua za kuwataka waondoke zaidi
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom