GE2025 Sera za Samia ni zipi?

GE2025 Sera za Samia ni zipi?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Rais gani hapa Tanzania ambaye alikuwa sio mnyaji wa pombe????
Sio kwa kiwango cha kuhitaji kuwa tungi kabla ya kupanda jukwaani kuhutubia kama mdau anavyosema.

Ndio maana tunaona kavaa kanga ikulu akimkumbatia Wicknell Chivayo. Na zile picha zake na Makonda na Juma nature.
 
Sera zipo,tena nzuri tu.
1.kumtua Mama ndoo kichwani,
2.Kudumisha huduma za afya,
3.Kuongeza mtandao wa barabara,reli na viwanja vya ndege,
4.kuongeza hudma ya nishati vijijini,
5.Kuongeza kupato cha mtu moja moja na Taifa kwa ujumla,na
6.Kudumisha amani na umoja wa nchi.
Sera ni nzuri tu labda ungesema huna uhakika na utekelezaji wake,ndio tungekuelewa.
 
Jamani nyie mnasikiliza radio zisizo na betri. Hamkumsikia akisema maiti hazitazuiliwa tena, kwa hivyo usiogope kufa ukiwa Dar, huwezi kuganda kwenye friji la Muhimbili
 
Afrika nzima watu wenye sera zenye maslahi kwa ajili ya waafrika mpaka sasa ni Julius Malema na Ibrahim Traore. Wengine wote hawajui wanapigania nini. Hata Tundu Lisu akichaguliwa kuwa rais first trip ni white house kupiga picha na Trump. Mimi nakwambia, hata hao Gen Z wakenya wanapewa sifa lakini they don't know what they are fighting for. Hii Afrika yetu kila mtu bado ni kipofu na viongozi wa serikali zetu, majority are uneducated fools and some of them know the truth but they're agents of the devil.
 
Sera zipo,tena nzuri tu.
1.kumtua Mama ndoo kichwani,
2.Kudumisha huduma za afya,
3.Kuongeza mtandao wa barabara,reli na viwanja vya ndege,
4.kuongeza hudma ya nishati vijijini,
5.Kuongeza kupato cha mtu moja moja na Taifa kwa ujumla,na
6.Kudumisha amani na umoja wa nchi.
Sera ni nzuri tu labda ungesema huna uhakika na utekelezaji wake,ndio tungekuelewa.
Ulimsikia lini akizungumzia hizo katika mikusanyiko ya wasombwa na malori.
Hizi zinatofautiana nini na zile 4R ambazo hata hakujuwa zina maana gani.

Leo hii ukimuuliza hata hizo R zinasimamia maneno gani hawezi kukujibu.
Sasa hapa unasema sera zipo, kumbe mtu mwenyewe hata hawezi kutaja hata moja; achilia mbali na kuzifafanua na kueleza utekelezaji wake utakavyo fanyika.

Huyu hana la ziada, bali kufaidika tu na nafasi aliyo ishikilia yeye, basi.
 
Afrika nzima watu wenye sera zenye maslahi kwa ajili ya waafrika ni so far ni Julius Malema na Ibrahim Traore. Wengine wote hawajui wanapigania nini. Hata Tundu Lisu akichaguliwa kuwa rais first trip ni white house kupiga picha na Trump. Mimi nakwambia, hata hao Gen Z wakenya wanapewa sifa lakini they don't what they are fighting for. Hii Afrika yetu kila mtu bado ni kipofu na viongozi wa serikali zetu, majority are uneducated fools and some of them know the truth but there're agents of the devil.
Hawa wamejitahidi kidogo kupigania maslahi ya nchi zao. Adam Barrow wa Gambia, Hichlema wa Zambia, Boko wa Botswana, Kagame wa Rwanda, Gokhool wa Mauritius, Faye wa Senegal, Nandi- Ndaitwah pale Namibia.
 
Back
Top Bottom