Sera Mbadala za CHADEMA ziliishia wapi?

sheiza

JF-Expert Member
Sep 29, 2010
7,565
11,480
Nakumbuka ilikuwa 25 septemba 2018 tuliposhuhudia hekaheka za uzinduzi wa zilizoitwa sera mbadala za Chadema.

Zoezi hili liliendana na sherehe zilizofana katika hotel ya Bahari Beach jijini Dar es salaam ikiwemo matumizi makubwa ya fedha yaliyoambatana na uchapishaji wa vitabu pamoja na ununuzi wa magari kadhaa aina ya ford ranger ili yatumike katika zoezi hilo.

Leo haijamaliza hata miaka miwili toka uzinduzi huo mkubwa ufanyike. Hatuoni sera mbadala wala machapisho yoyote kama ilivyoahidiwa.

Mbaya zaidi hata wale viongozi na wabunge ambao tuliona siku za mwanzo wako bize akiwemo heche na kilewo kupost mitandaoni kwa sasa hatuoni tena wakizinadi kwenye kurasa zao.

Kibaya zaidi hakuna hata mrejesho wa hiyo program yenyewe.

Sasa tujiulize je; sera mbadala
1. zilikosa mvuto kwa wananchi?
2. Hazikuwa na kitu kipya?
3. Zilikosa uungwaji mkono kwa viongozi na wabunge wa chadema?
4. Au ilikuwa utaratibu wa kawaida wa mwenyekiti kuhalalisha matumizi mabaya ya ruzuku? Maana hata machapisho yake haikutangazwa tender yeyote.

Labda watajitetea walizuiliwa kufanya mikutano. Lakini zuio la mikutano limetoka 2015 na sera zimezinduliwa 2018 kwa gharama kubwa. Pia hata mitandaoni waliacha kupost au nako walizuiliwa pia?

Hili nalo limepita wana ufipa wameshasahau.
Safari bado ndefu sanaaa.

Nawakilisha.
images%20(21).jpeg
images%20(20).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo gari zitakuwa marangu zinabeba ndizi
Nakumbuka ilikuwa 25 septemba 2018 tuliposhuhudia hekaheka za uzinduzi wa zilizoitwa sera mbadala za Chadema.

Zoezi hili liliendana na sherehe zilizofana katika hotel ya Bahari Beach jijini Dar es salaam ikiwemo matumizi makubwa ya fedha yaliyoambatana na uchapishaji wa vitabu pamoja na ununuzi wa magari kadhaa aina ya ford ranger ili yatumike katika zoezi hilo.

Leo haijamaliza hata miaka miwili toka uzinduzi huo mkubwa ufanyike. Hatuoni sera mbadala wala machapisho yoyote kama ilivyoahidiwa.

Mbaya zaidi hata wale viongozi na wabunge ambao tuliona siku za mwanzo wako bize akiwemo heche na kilewo kupost mitandaoni kwa sasa hatuoni tena wakizinadi kwenye kurasa zao.

Kibaya zaidi hakuna hata mrejesho wa hiyo program yenyewe.

Sasa tujiulize je; sera mbadala
1. zilikosa mvuto kwa wananchi?
2. Hazikuwa na kitu kipya?
3. Zilikosa uungwaji mkono kwa viongozi na wabunge wa chadema?
4. Au ilikuwa utaratibu wa kawaida wa mwenyekiti kuhalalisha matumizi mabaya ya ruzuku? Maana hata machapisho yake haikutangazwa tender yeyote.

Labda watajitetea walizuiliwa kufanya mikutano. Lakini zuio la mikutano limetoka 2015 na sera zimezinduliwa 2018 kwa gharama kubwa. Pia hata mitandaoni waliacha kupost au nako walizuiliwa pia?

Hili nalo limepita wana ufipa wameshasahau.
Safari bado ndefu sanaaa.

Nawakilisha.View attachment 1459005View attachment 1459006

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka ilikuwa 25 septemba 2018 tuliposhuhudia hekaheka za uzinduzi wa zilizoitwa sera mbadala za Chadema.

Zoezi hili liliendana na sherehe zilizofana katika hotel ya Bahari Beach jijini Dar es salaam ikiwemo matumizi makubwa ya fedha yaliyoambatana na uchapishaji wa vitabu pamoja na ununuzi wa magari kadhaa aina ya ford ranger ili yatumike katika zoezi hilo.

Leo haijamaliza hata miaka miwili toka uzinduzi huo mkubwa ufanyike. Hatuoni sera mbadala wala machapisho yoyote kama ilivyoahidiwa.

Mbaya zaidi hata wale viongozi na wabunge ambao tuliona siku za mwanzo wako bize akiwemo heche na kilewo kupost mitandaoni kwa sasa hatuoni tena wakizinadi kwenye kurasa zao.

Kibaya zaidi hakuna hata mrejesho wa hiyo program yenyewe.

Sasa tujiulize je; sera mbadala
1. zilikosa mvuto kwa wananchi?
2. Hazikuwa na kitu kipya?
3. Zilikosa uungwaji mkono kwa viongozi na wabunge wa chadema?
4. Au ilikuwa utaratibu wa kawaida wa mwenyekiti kuhalalisha matumizi mabaya ya ruzuku? Maana hata machapisho yake haikutangazwa tender yeyote.

Labda watajitetea walizuiliwa kufanya mikutano. Lakini zuio la mikutano limetoka 2015 na sera zimezinduliwa 2018 kwa gharama kubwa. Pia hata mitandaoni waliacha kupost au nako walizuiliwa pia?

Hili nalo limepita wana ufipa wameshasahau.
Safari bado ndefu sanaaa.

Nawakilisha.View attachment 1459005View attachment 1459006

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo magari yalifutwa hayo maandishi yakabaki mawili tu. Mengine wakagawana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani unampandisha bondia ulingoni,unamfunga kamba mikononi na miguuni,halafu unamuacha apigwe kisha unamuambia hajui kupigana,wachawi bhana hawajawahi kuwa na akili.
 
Chadema huwa wanakuja na project nzuri sana ambazo hukosa uendelevu na kuishia hewani. Operation kama m4c kama ingekuwa endelevu huenda leo tungekuwa tunaongelea stori nyingine.

Mwanzoni sikujua ni kwa nini huwa na nguvu ya soda tu. Ila sasa hivi baada ya expendables kuanza kumwaga ugali imekuwa bayana kuwa project kama hizo huwa ni namna ya kupiga hela na si kujenga chama. Kwamba pesa zikiisha kupitishwa kipindi kinajifunga. Baada ya muda "mfanyabiashara mwenye ubunifu mkubwa" huja na business idea nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka ilikuwa 25 septemba 2018 tuliposhuhudia hekaheka za uzinduzi wa zilizoitwa sera mbadala za Chadema.

Zoezi hili liliendana na sherehe zilizofana katika hotel ya Bahari Beach jijini Dar es salaam ikiwemo matumizi makubwa ya fedha yaliyoambatana na uchapishaji wa vitabu pamoja na ununuzi wa magari kadhaa aina ya ford ranger ili yatumike katika zoezi hilo.

Leo haijamaliza hata miaka miwili toka uzinduzi huo mkubwa ufanyike. Hatuoni sera mbadala wala machapisho yoyote kama ilivyoahidiwa.

Mbaya zaidi hata wale viongozi na wabunge ambao tuliona siku za mwanzo wako bize akiwemo heche na kilewo kupost mitandaoni kwa sasa hatuoni tena wakizinadi kwenye kurasa zao.

Kibaya zaidi hakuna hata mrejesho wa hiyo program yenyewe.

Sasa tujiulize je; sera mbadala
1. zilikosa mvuto kwa wananchi?
2. Hazikuwa na kitu kipya?
3. Zilikosa uungwaji mkono kwa viongozi na wabunge wa chadema?
4. Au ilikuwa utaratibu wa kawaida wa mwenyekiti kuhalalisha matumizi mabaya ya ruzuku? Maana hata machapisho yake haikutangazwa tender yeyote.

Labda watajitetea walizuiliwa kufanya mikutano. Lakini zuio la mikutano limetoka 2015 na sera zimezinduliwa 2018 kwa gharama kubwa. Pia hata mitandaoni waliacha kupost au nako walizuiliwa pia?

Hili nalo limepita wana ufipa wameshasahau.
Safari bado ndefu sanaaa.

Nawakilisha.View attachment 1459005View attachment 1459006

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya SACCOS za watu waachieni wenyewe jmni
 
Yani unampandisha bondia ulingoni,unamfunga kamba mikononi na miguuni,halafu unamuacha apigwe kisha unamuambia hajui kupigana,wachawi bhana hawajawahi kuwa na akili.
Umeshafungwa mikono kabla hata hujapanda ulingoni. Kisha unataka kupanda ulingoni. Kama uliona mazingira hayaruhusu kwa nini ulisaini mkataba ukala mpunga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeshafungwa mikono kabla hata hujapanda ulingoni. Kisha unataka kupanda ulingoni. Kama uliona mazingira hayaruhusu kwa nini ulisaini mkataba ukala mpunga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani niliposema kufungwa kamba kabla ya kupanda ulingoni we ulielewa nini ?
maana umeongea kitu kama vile hukusoma maandishi yangu vizuri.
 
Chadema huwa wanakuja na project nzuri sana ambazo hukosa uendelevu na kuishia hewani. Operation kama m4c kama ingekuwa endelevu huenda leo tungekuwa tunaongelea stori nyingine.
Unakumbuka kwamba Operesheni ya M4C iliishia wapi. Unakumbuka kwamba mwisho wake ulikuwa Iringa kwa kuuawa kwa Daudi Mwangosi? Ulitaka CHADEMA wafanye nini?

Tatizo la CHADEMA ni kuendesha siasa za kistaarabu wakati wapinzani wao wako bize na siasa za kihuni na za kutumia mabavu ya kidola!!
 
Unakumbuka kwamba Operesheni ya M4C iliishia wapi. Unakumbuka kwamba mwisho wake ulikuwa Iringa kwa kuuawa kwa Daudi Mwangosi? Ulitaka CHADEMA wafanye nini?

Tatizo la CHADEMA ni kuendesha siasa za kistaarabu wakati wapinzani wao wako bize na siasa za kihuni na za kutumia mabavu ya kidola!!
Sasa waliizindua ya nini na kununua magari?
Ndio maana tukahoji namba 4 kuwa au ni kuhalalisha upigaji wa ruzuku unaofanywa na mwenyekiti.

Hoja yako imetupa jibu namba nne.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna matusi ..mmejenga viwanda vingapi , mlisema 2015 serikali itakuwa ya viwonder mbona haipo tena ....vipi kuhusu mil 50 kila kijiji ..yaani safari hii hats mkivaa bullet proof tunapiga vichwa vyenu.
 
Sasa waliizindua ya nini na kununua magari?
Ndio maana tukahoji namba 4 kuwa au ni kuhalalisha upigaji wa ruzuku unaofanywa na mwenyekiti.

Hoja yako imetupa jibu namba nne.
Yale magari yapo kwenye Kanda na baadhi ya mikoa. Wewe siyo CHADEMA utajuaje matumizi ya mali za CHADEMA? Ili ufahamu matumizi ya yale magari ni lazima uwe unayasimamia.
 
Back
Top Bottom