Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,761
- 121,810
Wanabodi,
Leo katika kipindi Cha Maswali ya Papo Kwa Papo na Waziri Mkuu, kumeibuka swali kuhusu "the doctrine of the Separation of Powers"
Waziri Mkuu amesema Tanzania ni nchi inayofuata Katiba na sheria kupitia mihimili mitatu ya dola ambayo iko sawa iko huru na haiingiliani.
Lakini kwenye Mkutano wa Rais na waandishi wa habari alisema japo mihimili hii mitatu inaelezwa kuwa sawa, lakini kuna muhimili mmoja umejichimbia chini zaidi!.
Haiwezekani wote wawili wakawa sawa, Haiwezekani mihimili hii ikawa sawa halafu hapo hapo ikawa si sawa kama kuna muhimili uliojichimbia chini zaidi.
Hapo kuna mmoja ni mkweli na kuna mmoja ni muongo.
Sasa Kati ya Rais na Waziri Mkuu, nani mkweli na nani ni muongo?
Angalizo: Katika kuchangia uzi huu naomba kutoa angalizo muhimu kuhusu ukosoaji
Soma pia: Mwito Kwa Wana JamiiForums Kuhusu Ukosoaji wa Rais Magufuli
Paskali
Rejea
Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki ...
Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of ...
Leo katika kipindi Cha Maswali ya Papo Kwa Papo na Waziri Mkuu, kumeibuka swali kuhusu "the doctrine of the Separation of Powers"
Waziri Mkuu amesema Tanzania ni nchi inayofuata Katiba na sheria kupitia mihimili mitatu ya dola ambayo iko sawa iko huru na haiingiliani.
Lakini kwenye Mkutano wa Rais na waandishi wa habari alisema japo mihimili hii mitatu inaelezwa kuwa sawa, lakini kuna muhimili mmoja umejichimbia chini zaidi!.
Haiwezekani wote wawili wakawa sawa, Haiwezekani mihimili hii ikawa sawa halafu hapo hapo ikawa si sawa kama kuna muhimili uliojichimbia chini zaidi.
Hapo kuna mmoja ni mkweli na kuna mmoja ni muongo.
Sasa Kati ya Rais na Waziri Mkuu, nani mkweli na nani ni muongo?
Angalizo: Katika kuchangia uzi huu naomba kutoa angalizo muhimu kuhusu ukosoaji
Soma pia: Mwito Kwa Wana JamiiForums Kuhusu Ukosoaji wa Rais Magufuli
Paskali
Rejea
Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki ...
Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of ...