toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Hivi inawezekana kila nyumba kuwa na mita yake?Maana hapo nilipo tupo saba nyumba mbili
Nyumba ya kwanza ni ya vyumba vya ndani ambayo humo kuna vyumba vinne na kila chumba kina sebule na chumba cha kulala na huko wanakaa wapangaji na familia zao na wasichana wao kazi
Nyumba ya pili ni vyumba vya nje na tupo watatu tu wote ni mabachela na hatuna matumizi makubwa ya umeme wote tuna tv,redio na feni.
Wale kule wapo familia wana hadi mafriji na wanashinda nyumbani muda wote mafriji yanalia
Tunanunua umeme wa elfu 70 unakaa siku 18 tu....Sasa imekua ni changamoto kweli kweli
Sisi wa nyumba vya nje tupo watatu wote hatushindi nyumbani ni watu wa kurudi jioni tu lakini unaisha tu umeme wa elfu kumi siku mbili ushaisha
Mimi naombeni mnijuze utaratibu wa Separate mita unakuaje
Sisi wa vyumba vya nje watatu tunataka tuwe na mita yetu wenyewe, na wa ndani nao wawe na yao wenyewe nia ni kuhakikisha tunakuwa na two separate mita japokua mita kuu itakuepo
Swali jee hili linawezekana?Utaratibu upoje?Na jee umeme ukiisha vp?
Nyumba ya kwanza ni ya vyumba vya ndani ambayo humo kuna vyumba vinne na kila chumba kina sebule na chumba cha kulala na huko wanakaa wapangaji na familia zao na wasichana wao kazi
Nyumba ya pili ni vyumba vya nje na tupo watatu tu wote ni mabachela na hatuna matumizi makubwa ya umeme wote tuna tv,redio na feni.
Wale kule wapo familia wana hadi mafriji na wanashinda nyumbani muda wote mafriji yanalia
Tunanunua umeme wa elfu 70 unakaa siku 18 tu....Sasa imekua ni changamoto kweli kweli
Sisi wa nyumba vya nje tupo watatu wote hatushindi nyumbani ni watu wa kurudi jioni tu lakini unaisha tu umeme wa elfu kumi siku mbili ushaisha
Mimi naombeni mnijuze utaratibu wa Separate mita unakuaje
Sisi wa vyumba vya nje watatu tunataka tuwe na mita yetu wenyewe, na wa ndani nao wawe na yao wenyewe nia ni kuhakikisha tunakuwa na two separate mita japokua mita kuu itakuepo
Swali jee hili linawezekana?Utaratibu upoje?Na jee umeme ukiisha vp?