Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Wakuu matokeo ya urais yametangazwa nchini Senegal na mpinzani mkuu wa rais aliyekuwa madarakani kwa muda mrefu ametangazwa mshindi.
MY TAKE:
Zambia waliweza, hawa tena wameweza tena wameshindana na marais walioko madarakani, je sisi TZ tutashindwa nini kukitoa CCM madarakani itakayokuwa imevurugika na makovu kibao ya mbio za rais?
MY TAKE:
Zambia waliweza, hawa tena wameweza tena wameshindana na marais walioko madarakani, je sisi TZ tutashindwa nini kukitoa CCM madarakani itakayokuwa imevurugika na makovu kibao ya mbio za rais?