hakuna hadithi tamu kwa sasa..tuangalie njia ingineJana Waziri Kingwangalla alitangaza kukamatwa kwa Jangili akiwa na Risasi takribani 365 pamoja na Magazine 2 na Msumeno kwaajili ya kikatia pembe ya Faru.
Jangili huyo inadaiwa anauhusiano wa kimafia na huyu Ndugu aliyetangaza kujivua vyeo vyote mchana huu....
Hakika amechukua maamuzi komavu kwasababu sasa hata akituhumiwa kuhusika na huyu Jangili basi atakuwa chini ya kivuli cha Upinzani na itaonekana ni chuki.....
Kongole kwa kuwa mjanja......
alipoanzia kuzungumzia katiba mpya huyo jangili alishakamatwa? Hawa inzi wa kijani buana!Jana Waziri Kingwangalla alitangaza kukamatwa kwa Jangili akiwa na Risasi takribani 365 pamoja na Magazine 2 na Msumeno kwaajili ya kikatia pembe ya Faru.
Jangili huyo inadaiwa anauhusiano wa kimafia na huyu Ndugu aliyetangaza kujivua vyeo vyote mchana huu....
Hakika amechukua maamuzi komavu kwasababu sasa hata akituhumiwa kuhusika na huyu Jangili basi atakuwa chini ya kivuli cha Upinzani na itaonekana ni chuki.....
Kongole kwa kuwa mjanja......
Wenye tuhuma wanakimbilia ccm sio kuikimbia.Amekimbia tuhuma huyo
jana hukuandika hii....!!Jana Waziri Kingwangalla alitangaza kukamatwa kwa Jangili akiwa na Risasi takribani 365 pamoja na Magazine 2 na Msumeno kwaajili ya kikatia pembe ya Faru.
Jangili huyo inadaiwa anauhusiano wa kimafia na huyu Ndugu aliyetangaza kujivua vyeo vyote mchana huu....
Hakika amechukua maamuzi komavu kwasababu sasa hata akituhumiwa kuhusika na huyu Jangili basi atakuwa chini ya kivuli cha Upinzani na itaonekana ni chuki.....
Kongole kwa kuwa mjanja......
Mkuu habari za huyu ndugu kuhama chama ni za siku nyingi saaaana. Zilikuwepo nyingi za under the carpet sio amekurupuka ni wazo la siku nyingi. Ziara zake zilikuwa na KUSUDI.Jana Waziri Kingwangalla alitangaza kukamatwa kwa Jangili akiwa na Risasi takribani 365 pamoja na Magazine 2 na Msumeno kwaajili ya kikatia pembe ya Faru.
Jangili huyo inadaiwa anauhusiano wa kimafia na huyu Ndugu aliyetangaza kujivua vyeo vyote mchana huu....
Hakika amechukua maamuzi komavu kwasababu sasa hata akituhumiwa kuhusika na huyu Jangili basi atakuwa chini ya kivuli cha Upinzani na itaonekana ni chuki.....
Kongole kwa kuwa mjanja......
hadi wewe unaandikaga thread za kijingaUkweli huo mjomba utakuja kuniambia mimi
Ndio siasaJana Waziri Kingwangalla alitangaza kukamatwa kwa Jangili akiwa na Risasi takribani 365 pamoja na Magazine 2 na Msumeno kwaajili ya kikatia pembe ya Faru.
Jangili huyo inadaiwa anauhusiano wa kimafia na huyu Ndugu aliyetangaza kujivua vyeo vyote mchana huu....
Hakika amechukua maamuzi komavu kwasababu sasa hata akituhumiwa kuhusika na huyu Jangili basi atakuwa chini ya kivuli cha Upinzani na itaonekana ni chuki.....
Kongole kwa kuwa mjanja......
TUMIA AKILI VIZURIBaada ya kukosa uwaziri, ndugu yetu alionekana kuwa a distressed person... Now as he has resigned, sijui yule miss atamlisha nini!